Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Wameshindwa mwaka na miaz 5 Tramp puto marakani imejaa ardhi tupu kibao pia Palestina imekubali kuwe na mataifa 2 lkn Ubabe wa mlokole PUTO kwa watu zaifu zaifu awana air defence systems yoyote ndio ulokole wake kaoteshewa Israel kubwa kupitia Wazaifu masikini
uyo mungu wa mlokole yule atakuwa Shetani sio mungu!!! Palestina inasema Tusigombee ardhi kuudwe mataifa 2 Israel apana Marekani nayo apana wapalestina Wafanye nini zaid ya kushika mtutu Wafe wao lkn wavamizi nawao Wafe ardhi kwa DAMU sio pesa !!!
Kama sio Hamas leo hii pengine Palestina ingeshafutwa mana eti marakani ndio alikuwa mtafuta Amani mkuu leo uyouyo ndio anaitaka Gaza na Wapalestina waondoke apo!!!!
Hamas awakuwai kutaka upumbavu wa mazungumzo ya kutafuta eti Amani ili kuudwe mataifa 2 wkt Israel kila siku anaimega ardhi ya Palestina wanayoimiliki afu uyouyo anakuzuga na mazungumzo uko Marekan!!!!
Hamas wakaja kuzuiya upumbavu huuu kila ukija upande wao wasiojua hiii vita ya sasa chanzo ni iki iki Israel ilianza fujo zake za Ubabe mpakani na Gaza ikitaka kumega ardhi
kukatokea mtafaruku toka apo ikawa ubabe wa apa na pale ndio Hamas ikapanga ile kitu ilikuwa August adi September ndio unaona kikawaka 7 October mana HAMAS awataki upumbavu kwenye maeneo yao
kufa ndio kufa tu lkn heshima muimu kwako nyumbani kwako,, je waisrael wasingewafuata Hamas kuwachokoza tangu ile August Hamas wasingepanga lile shambulizi leo vifo ivi 45000 na uko uko Israel sijui 2000 au 5000 wanajua wao lkn je wote awa wasingekufa
lkn upumbavu wao ubabe wao ndio umewafikisha waisrael ata iwe 1000 tu lkn wamekufa DAMU zao zimeenda milele amina sasa
walichopata akuna kwenye vita ndio unaona wanataka kutafuta ushindi wa lazima tena kuitumia Marekani iyoiyo mpatamishi mkuu wa mgogolo!!!! kwann wasikubali kuudwe mataifa mawili kumshinda Shetani mpenda Damu za watu
vita ikisimama Israel sijui wataenda wapi kuuiba ardhi mana kila mwaka wanajenga nyumba kwenye maeneo ya Palestina pande zote Israel ukingo wa Magharibi ndio zaid kwasasa
lkn kwa ubabe wao wakataka wakachukue na kipande Gaza ndio aya yamewatokea kachapika sana kazika sana ndio wajue galama ya ardhi ama sio. GAZA ya moto wataamia ukouko kwest bank!!Kuiba ardhi lkn uko pia sasa Hamas kashajisogeza kule pia kuna vifo pande zote kenge bila sikio kutoka DAMU aelewi kitu. Ardhi kwa DAMU asubui njema.
Madrasa haifanyi mtu aelimike, eleweni sana nyie watuWameshindwa mwaka na miaz 5 Tramp puto marakani imejaa ardhi tupu kibao pia Palestina imekubali kuwe na mataifa 2 lkn Ubabe wa mlokole PUTO kwa watu zaifu zaifu awana air defence systems yoyote ndio ulokole wake kaoteshewa Israel kubwa kupitia Wazaifu masikini
uyo mungu wa mlokole yule atakuwa Shetani sio mungu!!! Palestina inasema Tusigombee ardhi kuudwe mataifa 2 Israel apana Marekani nayo apana wapalestina Wafanye nini zaid ya kushika mtutu Wafe wao lkn wavamizi nawao Wafe ardhi kwa DAMU sio pesa !!!
Kama sio Hamas leo hii pengine Palestina ingeshafutwa mana eti marakani ndio alikuwa mtafuta Amani mkuu leo uyouyo ndio anaitaka Gaza na Wapalestina waondoke apo!!!!
Hamas awakuwai kutaka upumbavu wa mazungumzo ya kutafuta eti Amani ili kuudwe mataifa 2 wkt Israel kila siku anaimega ardhi ya Palestina wanayoimiliki afu uyouyo anakuzuga na mazungumzo uko Marekan!!!!
Hamas wakaja kuzuiya upumbavu huuu kila ukija upande wao wasiojua hiii vita ya sasa chanzo ni iki iki Israel ilianza fujo zake za Ubabe mpakani na Gaza ikitaka kumega ardhi
kukatokea mtafaruku toka apo ikawa ubabe wa apa na pale ndio Hamas ikapanga ile kitu ilikuwa August adi September ndio unaona kikawaka 7 October mana HAMAS awataki upumbavu kwenye maeneo yao
kufa ndio kufa tu lkn heshima muimu kwako nyumbani kwako,, je waisrael wasingewafuata Hamas kuwachokoza tangu ile August Hamas wasingepanga lile shambulizi leo vifo ivi 45000 na uko uko Israel sijui 2000 au 5000 wanajua wao lkn je wote awa wasingekufa
lkn upumbavu wao ubabe wao ndio umewafikisha waisrael ata iwe 1000 tu lkn wamekufa DAMU zao zimeenda milele amina sasa
walichopata akuna kwenye vita ndio unaona wanataka kutafuta ushindi wa lazima tena kuitumia Marekani iyoiyo mpatamishi mkuu wa mgogolo!!!! kwann wasikubali kuudwe mataifa mawili kumshinda Shetani mpenda Damu za watu
vita ikisimama Israel sijui wataenda wapi kuuiba ardhi mana kila mwaka wanajenga nyumba kwenye maeneo ya Palestina pande zote Israel ukingo wa Magharibi ndio zaid kwasasa
lkn kwa ubabe wao wakataka wakachukue na kipande Gaza ndio aya yamewatokea kachapika sana kazika sana ndio wajue galama ya ardhi ama sio. GAZA ya moto wataamia ukouko kwest bank!!Kuiba ardhi lkn uko pia sasa Hamas kashajisogeza kule pia kuna vifo pande zote kenge bila sikio kutoka DAMU aelewi kitu. Ardhi kwa DAMU asubui njema.
Nani atatuletea habari Acha hizoMi vizuri waanze na huyuhuyu msemaji wao
ho jamaa wana wasemaji milioni 60Mi vizuri waanze na huyuhuyu msemaji wao
Huyu wamemtafuta sana mpaka sasa hawajampata.Mi vizuri waanze na huyuhuyu msemaji wao
Kwanini wewe unataka sura zao zionekane?Kwanini hawa wanajeshi wa hamasi huwa wanaficha surazao
Mkuu nimeuliza tuu kwa nia njema kama unaelewa nieleweshe tuu mkuu syo kwa niaa mbayaKwanini wewe unataka sura zao zionekane?
Kwani yule aliyekuwa akituletea "Eliminated " si yupo? au ameshastaafu?Nani atatuletea habari Acha hizo
Wanaogopa kushughulikiwa na Mossad na mashirika mengine ya kijasusi..Kwanini hawa wanajeshi wa hamasi huwa wanaficha surazao
Ni mojawapo ya camouflage lakini pia wanazingatia ule msemo: "Akumulikaye mchana usiku atakuchoma".Kwanini hawa wanajeshi wa hamasi huwa wanaficha surazao
Kwani wanachoogopa ni nini? Vita sio siri japokuwa vitani kuna siri nyingi.Kwanini wewe unataka sura zao zionekane?
Sawa reporter mkuu wa Hamas unaye-report kutoka Tanzania unayezungumza lugha ya Kiswahili. Trump kama alivyosema, tayari Jordan ataanza kuwapokea wakimbizi wapalestine hivi karibuniWiki hii Rais wa marekani ametoa taarifa kuwa ikiwa Hamas haitawaachia mateka wa Israel jumamosi mchana watavunja makubaliano na kuanzia mashambulizi.
Hamas imetoa taarifa rasmi kuwa haitafuata sharti hilo kutoka kwa Rais Trump. Huu ni mtego wa kwanza kwa Rais Trump tusubiri tuone.
View attachment 3234803
Wewe na ukristo wako unanufaika vipi na hayo maendeleo ya kiteknolojia unayojinasibisha nayo? Hii teknolojia inauzwa au tunatumia Bure.unaonekana una IQ ndogo sanaSawa reporter mkuu wa Hamas unaye-report kutoka Tanzania unayezungumza lugha ya Kiswahili. Trump kama alivyosema, tayari Jordan ataanza kuwapokea wakimbizi wapalestine hivi karibuni
Hivi waarabu (waislamu) kwenye elimu, teknolojia, afya n.k wapo nyuma ndiyo watajua kuwa Marekani ni nani.
Hapo ulipo unatumia tumia software za Marekani. Hiyo simu, Marekani akisema azime android yake. Maandamano dunia nzima
Hata IDF wapo wanaoficha sura zao labda ungeanza kuuliza huko kwanza.Kwani wanachoogopa ni nini? Vita sio siri japokuwa vitani kuna siri nyingi.
Wanaficha adui asiwaone sura zao kwa sababu za kiusalama. Nadhani ni hivyoMkuu nimeuliza tuu kwa nia njema kama unaelewa nieleweshe tuu mkuu syo kwa niaa mbaya
Una elim duniyah shekhe?Wameshindwa mwaka na miaz 5 Tramp puto marakani imejaa ardhi tupu kibao pia Palestina imekubali kuwe na mataifa 2 lkn Ubabe wa mlokole PUTO kwa watu zaifu zaifu awana air defence systems yoyote ndio ulokole wake kaoteshewa Israel kubwa kupitia Wazaifu masikini
uyo mungu wa mlokole yule atakuwa Shetani sio mungu!!! Palestina inasema Tusigombee ardhi kuudwe mataifa 2 Israel apana Marekani nayo apana wapalestina Wafanye nini zaid ya kushika mtutu Wafe wao lkn wavamizi nawao Wafe ardhi kwa DAMU sio pesa !!!
Kama sio Hamas leo hii pengine Palestina ingeshafutwa mana eti marakani ndio alikuwa mtafuta Amani mkuu leo uyouyo ndio anaitaka Gaza na Wapalestina waondoke apo!!!!
Hamas awakuwai kutaka upumbavu wa mazungumzo ya kutafuta eti Amani ili kuudwe mataifa 2 wkt Israel kila siku anaimega ardhi ya Palestina wanayoimiliki afu uyouyo anakuzuga na mazungumzo uko Marekan!!!!
Hamas wakaja kuzuiya upumbavu huuu kila ukija upande wao wasiojua hiii vita ya sasa chanzo ni iki iki Israel ilianza fujo zake za Ubabe mpakani na Gaza ikitaka kumega ardhi
kukatokea mtafaruku toka apo ikawa ubabe wa apa na pale ndio Hamas ikapanga ile kitu ilikuwa August adi September ndio unaona kikawaka 7 October mana HAMAS awataki upumbavu kwenye maeneo yao
kufa ndio kufa tu lkn heshima muimu kwako nyumbani kwako,, je waisrael wasingewafuata Hamas kuwachokoza tangu ile August Hamas wasingepanga lile shambulizi leo vifo ivi 45000 na uko uko Israel sijui 2000 au 5000 wanajua wao lkn je wote awa wasingekufa
lkn upumbavu wao ubabe wao ndio umewafikisha waisrael ata iwe 1000 tu lkn wamekufa DAMU zao zimeenda milele amina sasa
walichopata akuna kwenye vita ndio unaona wanataka kutafuta ushindi wa lazima tena kuitumia Marekani iyoiyo mpatamishi mkuu wa mgogolo!!!! kwann wasikubali kuudwe mataifa mawili kumshinda Shetani mpenda Damu za watu
vita ikisimama Israel sijui wataenda wapi kuuiba ardhi mana kila mwaka wanajenga nyumba kwenye maeneo ya Palestina pande zote Israel ukingo wa Magharibi ndio zaid kwasasa
lkn kwa ubabe wao wakataka wakachukue na kipande Gaza ndio aya yamewatokea kachapika sana kazika sana ndio wajue galama ya ardhi ama sio. GAZA ya moto wataamia ukouko kwest bank!!Kuiba ardhi lkn uko pia sasa Hamas kashajisogeza kule pia kuna vifo pande zote kenge bila sikio kutoka DAMU aelewi kitu. Ardhi kwa DAMU asubui njema.