Hamas: Hatutafuata masharti ya Rais Trump kuwaachia mateka siku ya Jumamosi mchana

Siku zote ukitwa zwazwa Sababu kichwani kwako kumejaa ujinga nmm Wanafiki wafanya propaganda kama ww nitabaki kuwaumbua popote nionapo Uzi wenu wakipuuzi Mnaitumia JAMII FORUMS kama kikanisa cha propaganda!!!!! Mizwazwa mzigo kwa taifa
 
Mnadanganya watu uko kwenye Vijiwe vyenu mnaviita kanisa sawa uko mtajuana wenyewe!!! lkn mlivo mizwazwa mnakuja na JAMII FORUMS kuleta ujinga uwongo propaganda kutoka kwenye vijiwe vyenu uku
tutawachana mchana kweupe Akuna pakujifichia
Jamii forum ya watu Wote mkitaka kujitekenya na kucheka Wenyewe fanyie Ujinga wenu uko kwenye Vijiwe Vyenu na mizwazwa yenu!!!
Umu muwe Tayali kupigwa za USO. Mtu yoyote akisoma UZi wa uyu anajiita Bams
utagundua ni mfanya propaganda zakitoto zileee za zama zileee viwete Watatembea vipofu wataona viziwi watasikia propaganda za ovyo ovyo

kwenye zama mpya Dunia imekuwa kijiji, Uko Israel kwenyewe mnawaomba mungu wao kwenyewe kuna walemavu kuna masikini !!!!
 
Anadanganya nini?
 
Nikishaona hii ID najua ni Shudu miksa pumba
 
Una elim duniyah shekhe?
Sasa Baada kuona nimekuwa mwiba kwenu sasa mmeamua kujifichia kwenye kichaka cha uandishi !!!!!!!

Bado uko mbele mtaongeza na elimu bahari!!! Lkn nipo nanyi hii ndio Jamii forum muwe wapole jehova!!!!!!
 
Washalegea wamesema jmos wanawaachia hostages
 
Kama wanajiamini kiasi hicho mbona wanaficha nyuso zao...Pumbavu
 
Wewe na ukristo wako unanufaika vipi na hayo maendeleo ya kiteknolojia unayojinasibisha nayo? Hii teknolojia inauzwa au tunatumia Bure.unaonekana una IQ ndogo sana
Nanufaika nayo kwasababu ni teknolojia ambayo imetengenezwa na makafiri. Wewe ambaye una IQ kubwa ya dini ya mudi. Metengeneza nini mpaka sasa zaidi ya?
1. Quran
2. Mkojo wa ngamia
3. Maji ya zamzam
4. Kibaghrashia
5. Tende
7. Kisima cha kujitawazia
8. Kuwaita watu makafiri
9. Msikiti
 
Kama wanajiamini kiasi hicho mbona wanaficha nyuso zao...Pumbavu
Tatizo sio wanaojificha!! tatizo kuwe na Taifa Huru la Palestina ndio utaona tena mtu kaficha nyuso yake!!

Ilo tatizo la Israel yeye anataka Wale tuwaone kama migambo au Magaidi lkn ikiudwa Taifa huru manake Watakuwa na JESH huru

sasa NETANYAHU
+ Israel wanagomea awataki kusikia kabisa!! Kwaiyo wale lazima Wajifiche pengine ni kutoka UK au Misri Russian china au uko uko Israel awataki wafaamike kama Wanasaidia Palestina!!!!
 
Mlokole uyo bin jehova ndio jibu lake!!!!@ afu wanajiona wanajua kenge maji awa!!!
 
Washalegea wamesema jmos wanawaachia hostages
Kwani Hamas walisema tu awatowaachia au Walisema wao wanagomea kuwaachia kwasababu tena KWASABABU kadhaa wa kadhaa ikiwa Israel italekebisha ayo kwanini Wasiwaachie na ndio walikubaliana ivyo uko Qatar tatizo nI Israel ilipindisha kilichomo kwenye mkataba sasa wamejilekebisha kwanini Hamas wasiendelee na Mkataba wao????
 
Wamerekebisha wap. Unaweza kutuambia mpaka muda huu zimeingiq gar ngap kat ya zilizohtajika mkuu
 
Sasa hiki mbona ni kichekesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…