Hamas imesema imeidhinisha orodha ya mateka 34 wa Israel kwa makubaliano Israel waondoe majeshi yao Gaza.

Wanaosema hivyo hawajui IDF wanaisikia tu kwenye vyombo vya habari wanaoijua vizuri ni Hassan Nasrallah, Ismail Hanniyeh,Yahya Sinwar na Magaidi wengine wengi tu. Wakitaka wakawaulize hao huko Jehanam!!
 
Hao ni wapumbavu wameipa Israel nafasi ya kuwaangimjza wapalestina,wameng'aning'ania watu 200 na kuponza video na majeruhi ma elf
 
Hutaaamini hao hawakufichwa Gaza, watakuwa walitichwa katika makundi rafiki
 

View: https://x.com/TalkTV/status/1876253283653992744
 
Wanaosema hivyo hawajui IDF wanaisikia tu kwenye vyombo vya habari wanaoijua vizuri ni Hassan Nasrallah, Ismail Hanniyeh,Yahya Sinwar na Magaidi wengine wengi tu. Wakitaka wakawaulize hao huko Jehanam!!
Kuna mwengine anaijua iyo IDF zaid ya Hamas,, aya tuambie ww HAMAS kauwa IDF kibao na bado anaendelea kuuwa kias cha Israel kuchagua mazungumzo na HAMAS vipi unawaita Magaid afu tena umakao nao mezani!!! Yeye si silis3
 
Wanaosema hivyo hawajui IDF wanaisikia tu kwenye vyombo vya habari wanaoijua vizuri ni Hassan Nasrallah, Ismail Hanniyeh,Yahya Sinwar na Magaidi wengine wengi tu. Wakitaka wakawaulize hao huko Jehanam!!
Kuna mwengine anaijua iyo IDF zaid ya Hamas,, aya tuambie ww Israel kuchagua mazungumzo na HAMAS vipi unawaita Magaid afu tena umakao nao mezani!!! Yeye si mwamba yeye ndio Entebe yeye vita Siku6 wapi sasa miezi 15 na anazika IDF kibao!!!!!!
 
katiika suala la kusitisha mapigano nakuunga mkono. Lakini sidhan kama waisrael walishindwa kujua wakipo mateka. Nadhani waliwaacha ili hamas waendelee kuwashikilia ili iwe sababu ya wao kuendeleza opareshen yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…