Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makampun ya kutengeneza mabom na yanayofanya marekebisho ya ndege vita yataendelea kushangiliaVipi wakiendelea na mashambulizi ya angani tu
JordanKwa records za Dunia Wakimbizi wa palestina asilimia 90 waligeuka waharifu ndio maana hawatakiwa na nchi yeyote haswa za kiarabu
Uisiwe punguani weka basi hizo dataShida huwa unakurupuka kugoogle mtoa mada anazungumzia currently ndo maana akasema "hawatakiwi" means this time kama una hoja toa data tangu vita imeanza ni nchi gani imepokea wakimbizi wa kipalestina soma vizuri elewa ndo umwite mwenzio mjinga
Kumbe unalijua hilo halafu unatuletea data zako za miaka ya nyuma ambayo so kusudio la mchangiaji sasa umemwelewa alichokua anazungumza mchangiaji siku nyingine soma elewa ndo ulete data zinazohusikaUisiwe punguani weka basi hizo data
za basha wako unayemtetea eti currenty labda nikuulize wewe toka vita imeanza kuna mpaka upi ambao umefunguliwa wapelestina wametoka? Maana Misri na Jordan wote wamekataa kufungua mipaka yao baada ya kuambiwa na Israel.
Nasubiri majibu carrenty nipo nimekaa nakunywa kahawa
Nimekuambia weka hizo data za nchi zilizokataa wakimbizi wa Palestina acha porojo.Kumbe unalijua hilo halafu unatuletea data zako za miaka ya nyuma ambayo so kusudio la mchangiaji sasa umemwelewa alichokua anazungumza mchangiaji siku nyingine soma elewa ndo ulete data zinazohusika
NB:KAWAHA NJEMA NA IKUSAIDIE KUPUNGUZA MAKASIRIKO
Kwani huyu jamaa hukumwelewa?Inshort waarabu wamestuka kuwapokea wapalestina ni kumsaidia muisrael kwenye malengo yake punguza hasira ostadhiKwa records za Dunia Wakimbizi wa palestina asilimia 90 waligeuka waharifu ndio maana hawatakiwa na nchi yeyote haswa za kiarabu
Jamaa kasema hivi sona hapa chini na wewe ukatetea ukaongeza na yako.Kwani huyu jamaa hukumwelewa?Inshort waarabu wamestuka kuwapokea wapalestina ni kumsaidia muisrael kwenye malengo yake punguza hasira ostadhi
Jordan nchi ya kwanza wamekataa kwasababu wanayo namba kubwa tayari ya wakimbizi wa kipalestina ya pili misri na sababu ni kwamba kuwapokea ni kama wamewahamisha which is ndo lengo mojawapo la muisraelJamaa kasema hivi na wewe utatetea.
Kwa records za Dunia Wakimbizi wa palestina asilimia 90 waligeuka waharifu ndio maana hawatakiwa na nchi yeyote haswa za kiarabu
Ndiyo nimekuambia kwa faida ya JF tufahamishe hizo nchi ambazo zimewakataa?
Unakwepa kujibu manneo ya mwenzako umehamia Jordan pia unaongea uongo fikra zako soma sababu ya Jordan kukataa kufungua mpaka wake pamoja Misri.Jordan nchi ya kwanza wamekataa kwasababu wanayo namba kubwa tayari ya wakimbizi wa kipalestina ya pili misri na sababu ni kwamba kuwapokea ni kama wamewahamisha which is ndo lengo mojawapo la muisrael
Kunywa maji ya kutosha dogowao si walianza , ss wanataka Israel asitishe ili iweje ? hawa hamas hawawajali wananchi wake na miislam mishetan haiwajal wapalestina inajali kuisikia wayaudi 100 wsmekufa ila hawajali kusikia majibu yameua wapalestina 1000 , hii dini imekaa kishetan kbs
Hao watu waliokua wanaomba mafuta ili watembelee makundi mengine wakusanye mateka inshort hamas hawana cha kuwapa israel ukiaacha askari walionao ambao wanajua kabisa wakiwatoa hao wanabaki empty kabisa wacha tuendelee kuhesabu vifo tu hakuna namna
Hakuna shida kabisa acha inyeshe tujue panapovuja mpaka jana 700+ ngoja kukuche maana akili zenu idf moja ni sawa wapelestina mia mpaka nyooke safari hiiWacha tuendelee kuhesabu vifo vya IDF,mpaka msemee
Hakuna shida kabisa acha inyeshe tujue panapovuja mpaka jana 700+ ngoja kukuche maana akili zenu idf moja ni sawa wapelestina mia mpaka nyooke safari hii
Vita haina principle kama unavyowaza wewe vitani chochote unachohisi ni threat kwako unapiga hata ukisi huyu kuku anaweza ni zuia nsikamilishe lengo unafagia. Hiyo ndo sura ya vita we endelea kumtafuta mwanaumNani mwanaume hapo? Anaepigana na jeshi, au anaepiga majumba hovyo na kuuwa watoto, wamama, wazee!
Vita haina principle kama unavyowaza wewe vitani chochote unachohisi ni threat kwako unapiga hata ukisi huyu kuku anaweza ni zuia nsikamilishe lengo unafagia. Hiyo ndo sura ya vita we endelea kumtafuta mwanaum