Hamas inasema hakuna mazungumzo zaidi hadi Israel isitishe mashambulizi yake dhidi ya Gaza

Hamas inasema hakuna mazungumzo zaidi hadi Israel isitishe mashambulizi yake dhidi ya Gaza

Kwa records za Dunia Wakimbizi wa palestina asilimia 90 waligeuka waharifu ndio maana hawatakiwa na nchi yeyote haswa za kiarabu
 
Kwa records za Dunia Wakimbizi wa palestina asilimia 90 waligeuka waharifu ndio maana hawatakiwa na nchi yeyote haswa za kiarabu
Jordan
More than two million Palestinian refugees are registered with UNRWA.
Lebanon
Around 450,000 Palestinian refugees are registered with UNRWA
Syria
Around 526,000 Palestine refugees are registered with UNRWA
Egypt
Palestinians fled to Egypt during the 1948, 1956 and 1967 wars.
It is estimated that there are up to 50,000 Palestinians in Egypt.
Iraq
Up until May 2006, UNHCR estimated that 34,000 Palestinians lived in Iraq
Chile 500,000 (largest Palestinian community outside the Middle East).
Saudi Arabia 280,245
United States 255,000 (the largest concentrations in Chicago, Detroit and Los Angeles; History of Palestinians in Los Angeles).
Honduras 250,000
Guatemala est. 200,000
Mexico 120,000
Qatar 100,000
Germany 80,000
Kuwait 80,000
El Salvador 70,000
Brazil 59,000
Iraq 57,000
Yemen 55,000
Canada 50,975
Australia 45,000
Libya 44,000
Puerto Rico est. 30,000
Greece est. 30,000
United Kingdom 20,000
Peru 19,000
Denmark 15,000
Colombia 12,000
Japan est. 10,000
Paraguay 10,000
Netherlands 9,000
Sweden 7,000
Algeria 4,030
Austria 4,010
Norway 3,825
Nimekupa hiyo data kiduchu tu , hivi huwa mmapata faida gani kusema uongo au huko shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga.
 
Shida huwa unakurupuka kugoogle mtoa mada anazungumzia currently ndo maana akasema "hawatakiwi" means this time kama una hoja toa data tangu vita imeanza ni nchi gani imepokea wakimbizi wa kipalestina soma vizuri elewa ndo umwite mwenzio mjinga
 
Shida huwa unakurupuka kugoogle mtoa mada anazungumzia currently ndo maana akasema "hawatakiwi" means this time kama una hoja toa data tangu vita imeanza ni nchi gani imepokea wakimbizi wa kipalestina soma vizuri elewa ndo umwite mwenzio mjinga
Uisiwe punguani weka basi hizo data
za basha wako unayemtetea eti currenty labda nikuulize wewe toka vita imeanza kuna mpaka upi ambao umefunguliwa wapelestina wametoka? Maana Misri na Jordan wote wamekataa kufungua mipaka yao baada ya kuambiwa na Israel.
Nasubiri majibu carrenty nipo nimekaa nakunywa kahawa
 
Uisiwe punguani weka basi hizo data
za basha wako unayemtetea eti currenty labda nikuulize wewe toka vita imeanza kuna mpaka upi ambao umefunguliwa wapelestina wametoka? Maana Misri na Jordan wote wamekataa kufungua mipaka yao baada ya kuambiwa na Israel.
Nasubiri majibu carrenty nipo nimekaa nakunywa kahawa
Kumbe unalijua hilo halafu unatuletea data zako za miaka ya nyuma ambayo so kusudio la mchangiaji sasa umemwelewa alichokua anazungumza mchangiaji siku nyingine soma elewa ndo ulete data zinazohusika
NB:KAWAHA NJEMA NA IKUSAIDIE KUPUNGUZA MAKASIRIKO
 
Kumbe unalijua hilo halafu unatuletea data zako za miaka ya nyuma ambayo so kusudio la mchangiaji sasa umemwelewa alichokua anazungumza mchangiaji siku nyingine soma elewa ndo ulete data zinazohusika
NB:KAWAHA NJEMA NA IKUSAIDIE KUPUNGUZA MAKASIRIKO
Nimekuambia weka hizo data za nchi zilizokataa wakimbizi wa Palestina acha porojo.
 
Kwa records za Dunia Wakimbizi wa palestina asilimia 90 waligeuka waharifu ndio maana hawatakiwa na nchi yeyote haswa za kiarabu
Kwani huyu jamaa hukumwelewa?Inshort waarabu wamestuka kuwapokea wapalestina ni kumsaidia muisrael kwenye malengo yake punguza hasira ostadhi
 
Kwani huyu jamaa hukumwelewa?Inshort waarabu wamestuka kuwapokea wapalestina ni kumsaidia muisrael kwenye malengo yake punguza hasira ostadhi
Jamaa kasema hivi sona hapa chini na wewe ukatetea ukaongeza na yako.

Kwa records za Dunia Wakimbizi wa palestina asilimia 90 waligeuka waharifu ndio maana hawatakiwa na nchi yeyote haswa za kiarabu

Ndiyo nimekuambia kwa faida ya JF tufahamishe hizo nchi ambazo zimewakataa?
 
Jamaa kasema hivi na wewe utatetea.

Kwa records za Dunia Wakimbizi wa palestina asilimia 90 waligeuka waharifu ndio maana hawatakiwa na nchi yeyote haswa za kiarabu

Ndiyo nimekuambia kwa faida ya JF tufahamishe hizo nchi ambazo zimewakataa?
Jordan nchi ya kwanza wamekataa kwasababu wanayo namba kubwa tayari ya wakimbizi wa kipalestina ya pili misri na sababu ni kwamba kuwapokea ni kama wamewahamisha which is ndo lengo mojawapo la muisrael
 
Jordan nchi ya kwanza wamekataa kwasababu wanayo namba kubwa tayari ya wakimbizi wa kipalestina ya pili misri na sababu ni kwamba kuwapokea ni kama wamewahamisha which is ndo lengo mojawapo la muisrael
Unakwepa kujibu manneo ya mwenzako umehamia Jordan pia unaongea uongo fikra zako soma sababu ya Jordan kukataa kufungua mpaka wake pamoja Misri.

Jordanian King Abdullah II says that neither his country nor Egypt will accept Palestinian refugees, declaring it a “red line.”

At a press conference held after meeting German Chancellor Olaf Scholz in Berlin, Abdullah says that “some of the usual suspects are trying to create facts on the ground,” according to Sky News Arabia.

“There will be no refugees in Jordan and no refugees in Egypt.”


Abdullah references Israeli calls for Gazans to evacuate toward the south of the Strip, near the Rafah border crossing with Egypt, ahead of an expected IDF ground offensive in the north.

Khaled Mashaal, a prominent Hamas figure and the former political leader of the group, said in an interview yesterday that Gazans will not leave the Strip no matter what, and that their displacement would harm Egyptian national security and would pose a danger for Jordan, implying that a mass exodus of Palestinians to a neighboring country could set also a precedent for the West Bank.
 
Unafurahisha sana sasa hapo nimekwepa nini umetaka nchi nimekutajia wewe ulichofanya nikuchua vipande vipande vya online magazine umekata zile unazozita the rest umeziacha anyway wheither you like it or you dont ndo iko hivo
 
wao si walianza , ss wanataka Israel asitishe ili iweje ? hawa hamas hawawajali wananchi wake na miislam mishetan haiwajal wapalestina inajali kuisikia wayaudi 100 wsmekufa ila hawajali kusikia majibu yameua wapalestina 1000 , hii dini imekaa kishetan kbs
Kunywa maji ya kutosha dogo
 
Hao watu waliokua wanaomba mafuta ili watembelee makundi mengine wakusanye mateka inshort hamas hawana cha kuwapa israel ukiaacha askari walionao ambao wanajua kabisa wakiwatoa hao wanabaki empty kabisa wacha tuendelee kuhesabu vifo tu hakuna namna

Wacha tuendelee kuhesabu vifo vya IDF,mpaka msemee
 
40,650 wounded
7,500 under rubble
15,207 murdered
  • 6,387 children
  • 75 journalists
  • 280 medical staff
  • 0 Hamas
 
Hakuna shida kabisa acha inyeshe tujue panapovuja mpaka jana 700+ ngoja kukuche maana akili zenu idf moja ni sawa wapelestina mia mpaka nyooke safari hii

Nani mwanaume hapo? Anaepigana na jeshi, au anaepiga majumba hovyo na kuuwa watoto, wamama, wazee!
 
Nani mwanaume hapo? Anaepigana na jeshi, au anaepiga majumba hovyo na kuuwa watoto, wamama, wazee!
Vita haina principle kama unavyowaza wewe vitani chochote unachohisi ni threat kwako unapiga hata ukisi huyu kuku anaweza ni zuia nsikamilishe lengo unafagia. Hiyo ndo sura ya vita we endelea kumtafuta mwanaum
 
Vita haina principle kama unavyowaza wewe vitani chochote unachohisi ni threat kwako unapiga hata ukisi huyu kuku anaweza ni zuia nsikamilishe lengo unafagia. Hiyo ndo sura ya vita we endelea kumtafuta mwanaum

Huo sio uanaume
 
Back
Top Bottom