Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Anapenda aisikie kuwa Palestine imeteka na kuvamia kambi za IDFHizo ni taarifa za ndaaniii... Just chill and wait
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapenda aisikie kuwa Palestine imeteka na kuvamia kambi za IDFHizo ni taarifa za ndaaniii... Just chill and wait
Marekani tayari kesha ingiaHamas wasema Ijumaa hii wataitisha maandamano ya nchi za kiarabu kulaani mashambulizi anayofanya Israel huko Gaza tokea jumapili.
Waziri Netanyahu wa Israel alisikika akisema Israel inatarajia kupiga mashambulizi ya kutosha katika Mji wa Gaza yatakayofanya Wapalestina wasiyasahu kwa zaidi ya miaka 50
Kwa upande mwingine Israel inaonesha kujitosa kwa nguvu zote kuishambulia Palestina huku Marekani nayo ikiahidi kutoa msaada wa kijeshi
😂😂😂😂😂😁😁😁😂😂😀😀 Wameyatimba makobazi. Watoto wa Yakobo hawanaga shughuli ndogo i see.opportunity ya kuyapiga yakiwa yamekusanyika
... tena Sabato ya Bwana Mungu wa Majeshi - Amri ya Milele! Wamewavizia wana wa Yakobo wamelala hawana hili wala lile wakawapiga ambush style ya kale kabisa ya mababu zao! Waache unafiki wao.Mwanakulitafuta,mwanakulipata!Maandamano ya nini tena!Si walianza wao,!Siku ya Sabato.
Warabu washamshindwa IsraelWaisraeli hawawezi kuwapiga raia, wa mataifa mengi la sivyo watake vita vya tatu vya Dunia... Maana waarabu wanamtamani Israeli kwa muda mrefu, kitendo cha israeli kushambulia waandamanaji tena nchi nyingine itakuwa ni ugomvi mkubwa
Safi sana. Hakuna haja ya kulialia wapambane tu waache uzembe.Hamas waache kulia lia Kama watoto. Mwanaume ukishaamua kulianzisha unalimaliza.
😃😃😃, Hii imekaa poa sanaopportunity ya kuyapiga yakiwa yamekusanyika
Naona hata wewe umeshsngaa bibieUshahidi?
Hahahaaa, wanalaani mashambilizi kwa maandamano! Nasubiri nione waarbu walivyo wapumbavu !Hamas wasema Ijumaa hii wataitisha maandamano ya nchi za kiarabu kulaani mashambulizi anayofanya Israel huko Gaza tokea jumapili.
Waziri Netanyahu wa Israel alisikika akisema Israel inatarajia kupiga mashambulizi ya kutosha katika Mji wa Gaza yatakayofanya Wapalestina wasiyasahu kwa zaidi ya miaka 50
Kwa upande mwingine Israel inaonesha kujitosa kwa nguvu zote kuishambulia Palestina huku Marekani nayo ikiahidi kutoa msaada wa kijeshi
Nisishangae na uongo huo?Naona hata wewe umeshsngaa bibie
Wamelianzisha dubu lililolala na njaa!... tena Sabato ya Bwana Mungu wa Majeshi - Amri ya Milele! Wamewavizia wana wa Yakobo wamelala hawana hili wala lile wakawapiga ambush style ya kale kabisa ya mababu zao! Waache unafiki wao.
Israel ilikuwa inatoa msaada kimya kimya Uikrane WA siraha,zilipoisha Hamas wakabonyezwa🤣🤣🤣Vita vya urusi na ukrine vimehamia huko!
Imekuaje Tena mpaka aombe msaada?si tunaambiwa Israel Ina jeshi Bora duniani?Marekani tayari kesha ingia
Maandamano yatasaidia nini ikiwa mpaka sasa unyama wao umeonesha kuwa wao ni magaidi?Hamas wasema Ijumaa hii wataitisha maandamano ya nchi za kiarabu kulaani mashambulizi anayofanya Israel huko Gaza tokea jumapili.
Waziri Netanyahu wa Israel alisikika akisema Israel inatarajia kupiga mashambulizi ya kutosha katika Mji wa Gaza yatakayofanya Wapalestina wasiyasahu kwa zaidi ya miaka 50
Kwa upande mwingine Israel inaonesha kujitosa kwa nguvu zote kuishambulia Palestina huku Marekani nayo ikiahidi kutoa msaada wa kijeshi