Tetesi: Hamas kukutana kuchagua mrithi wa Kiongozi wao Mkuu aliyeuawa, wanaotajwa Khaled Mashaal na Khalil al-Hayya

Yes, ni kuua tu kila adui yake alipo, kwasababu asipowamaliza wataendeleza michezo yao ya kitoto ya kuvizia, sasa dawa ni kuwapekua na kuwapukutisha popote walipo ilimradi ndege na mabomu ya kufanya hivyo yanatengenezwa kila siku.
Kama ataweza kufuta kabisa madai ya wapalestina kudai nchi yao na ku annex eneo liliboki la Wapalestina kuwa sehemu ya Israel atafanikiwa, vinginevyo vurugu hazitakaa ziishe hilo eneo.
 
Atakaeteuliwa asisahau kuvaa nikabu na viatu mchuchumio huku akitembea kwa madaha kila aendapo out,hili linaweza kuwa ni kosa kubwa lililosababisha wakutane leo

Mzayuni mara hii anamaanisha!
 
Kifo kinaogopwa na watenda Zambi waliokufuru sio waislamu ndugu poleni huu moto haupoi viongozi wapo wengi wanatafuta thawabu na haki yao sio pesa
Kwa hiyo waislam hawatendi dhambi?!
 
hata Mbowe aliitwa GAIDI. Kama sio Busara za mama hivi sasa tungalimwita marehemu
 
Na hao magaidi wa kiislam wanauwa watu kwa jina la Allah nao wakitubu wanasamehewa na nani?!
hata mandela aliitwa gaidi. Mkiristo kama wewe kumwita Gaidi Muislam sio tatizo ni haki yake. kwa sababu ndani ya moyo wake kuna chuki ndani yake
 
hata mandela aliitwa gaidi. Mkiristo kama wewe kumwita Gaidi Muislam sio tatizo ni haki yake. kwa sababu ndani ya moyo wake kuna chuki ndani yake
Hujajibu swali?? Hao waislam wanaoua watu kwa jina la allah hawana dhambi kwa sababu ni waislam sio? Au Allah anawasemehe kwa sababu wanaua makafir kwa jina lake
 
Na wao wakileta ushenzi tunawatungua
 
Hujajibu swali?? Hao waislam wanaoua watu kwa jina la allah hawana dhambi kwa sababu ni waislam sio? Au Allah anawasemehe kwa sababu wanaua makafir kwa jina lake
jibu lipo hapo juu. wewe kama mkiristo uliobebeshwa ajenda ndani ya moyo wako hufahamu kitu
 
End game ya Netanyahu kwa Palestina na Hamas ni ipi? Ni vita na kuua tu??
Kusafisha Gaza, UAE, Saudi Arabia, Israel na Nchi zingine kuioccupy kijeshi huku wakiibadili kuwa Singapore au Dubai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…