Hamas kusitisha makubaliano kuachiliwa mateka kutokana wa Israel kushindwa kutimiza makubaliano

Hamas kusitisha makubaliano kuachiliwa mateka kutokana wa Israel kushindwa kutimiza makubaliano

Toka lini mipango ya kishetani utafanikiwa.

Umeishauwa watu zaidi ya 60.000 mmefanikiwa nini.


View: https://x.com/clashreport/status/1891094234268069939?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Mengi tu yaliyofanikiwa chini ya Benjamin Netanyahu:
1. Hamas sasa hivi si tishio tena kwa Israel viongozi wake waandamizi walishafyekelewa mbali.
2. Magaidi wa Hezbollah cha moto walishakipata Gaidi Hassan Nasrallah na Chain of Command yake yote walifyekelewa mbali si tishio tena kama mlivyokuwa mnawasifia hapo mwanzo.
3. Assad kapinduliwa na sasa Supply Chain ya magaidi wa Hezbollah kutoka kwa Bwana wao Iran imeshazibwa.
4. Wale waasi waliokuwa wanaishambulia Israel kila mara kutokea Syria sasa hivi hawa po tena.
5. Wale waasi waliokuwa wanaishambulia Israel kutokea Iraq walishafyekelewa mbali.
6. Wahouth waliokuwa wakisema hawataacha kuishambulia Israel baada ya bandari yao pendwa ya Hodeidar kushambuliwa mara mbili akili zimewarudia.
7. Baada ya Iran kuishambulia Israel kwa tuhuma za kulipiza kisasi kuuwawa Gaidi aliyefurahia sana mauaji ya Oct 07,2023 Ismail Hanniyeh Majeshi hodari ya Israel yalijibu na kuharibu mifumo ya ulinzi ya Iran hivyo kuiacha nchi hiyo ucho wa mnyama waliahidi kuipiga Israel tena kwa kutumia Operatio The Promise-3 lakini mpaka leo Operation hiyo imebuma sababu mifumo ya ulinzi ya Iran inapumulia mashine hayo ni mafanikio makubwa.
 
Shoga mzee wewe nimeishakupuuza siku nyingi..

Mfungwa aliyeachiliwa Mazen Al-Qadi anakutana na familia yake baada ya kuachiliwa kama sehemu ya makubaliano ya kubadilishana fedha.

Mazen alihukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kudaiwa kushiriki katika operesheni ya ufyatuaji risasi mwaka 2002 huko Tel Aviv, ambapo walowezi 3 waliuawa na wengine 35 kujeruhiwa.

View: https://x.com/menchosint/status/1890716662015406168?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hapo ushoga umeingiaje? Au ndiyo unatutangazia?
 
ikosi vya Al-Qassam:

Tazama: Kukabidhiwa kwa kundi la sita la wafungwa wa Kizayuni huko Gaza kama sehemu ya awamu ya kwanza ya mpango wa kubadilishana wafungwa wa mafuriko ya Al-Aqsa.

Vikosi vya Al-Qassam vilimkabidhi binti yake aliyezaliwa pete za dhahabu za mwisho.

Mfungwa wa kwanza alisema:

"Naitwa Yair Horn. Walinifahamisha kuwa nitaenda nyumbani. Ninapaswa kuwa na furaha, lakini sivyo - kwa sababu ninamuacha nyuma kaka yangu Etan. Sio tu kaka yangu Etan bali mateka wote bado wako Ukanda.

Bw. Netanyahu, kama mateka, hali yetu inazidi kuwa mbaya kila kukicha—kimwili na kiakili. Muda unakwenda. Wakati unaenda kwangu, kwa wafungwa wote, na kwa familia zetu. Wakati wetu unaisha."

Mfungwa wa pili kwa dakika 1 alisema: "Jina langu ni Sagi Dekel Han kutoka Kibbutz Nir Oz. Siku chache zilizopita, marafiki watano na mimi tuliketi pamoja. Tumekuwa hapa kwa zaidi ya mwaka mmoja. Ghafla, wapiganaji waliingia na kutufahamisha kwamba wawili kati yetu wangeenda nyumbani-watatu hawangeenda.

Katika vita hivi vyote, tumekuwa tukipigania maisha yetu na afya zetu. Katika kesi yangu, hali ni ngumu zaidi baada ya upasuaji mara nyingi, na majeraha ambayo yanabaki wazi. Nina binti ambaye alizaliwa mwaka mmoja na miezi miwili iliyopita—hata simfahamu. Yuko na wasichana wangu wengine wawili warembo na mke wangu. Hii ilikuwa ishara ya kwanza ya maisha ambayo nimepokea juu yao.

Sasa, nina kitu cha kufanya na pete hizi."


View: https://x.com/suppressednws/status/1890814486006689806?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Mateka ameshikiwa bunduki unatarajia atasemaje?
 
Waambie wajipange upya Israel ya 1967 si ya sasa 2025 watachakazwa vizuri sana tena bila huruma
Mgambo wa Gaza wa pili wamewashindwa Gaza yenyewe inazidiwa ukubwa na Kigamboni wanamgambo wapo 25.000 tu leo wameapa masharti mabwana zako wanafuata😂
 
Back
Top Bottom