Punguza hasira kijana acha kufananisha uislam na uarabu. Huo utumwaKwisha habari yako.
Hizo siku trump angewapa israel . Na sio hamaasiWashapewa siku 3 na Trump tunasubiri j1 tujue nani mbabe, sisi yetu macho tu! Nipo Tandale nachoma chips dume, na naogopa vita sana
Unaiaibisha dini yako kwa kukosa hoja.Hivi ndivyo waislamu mlivyo?Mtume wenu naye alikuwa anatukana hivi?Ama.kweli huu ni msiba!Sasa wewe shoga upo Ikizu unajua Hamas walipojifika sasa kwa nini usiwaambie mabasha zako walipo Hamas😅
Wewe punguani kweli yaani mlokole mwenzako ananitukana ujaona mimi kumjibu unaleta unafiki wako nitolee upuuzi wako.Unaiaibisha dini yako kwa kukosa hoja.Hivi ndivyo waislamu mlivyo?Mtume wenu naye alikuwa anatukana hivi?Ama.kweli huu ni msiba!
Nguvu za israel zipo wapi mbona sasa Wameuza mzozo kwa Marekani na sisi tuliambiwa israel ni Zaid ya Marekani au mm ndio sikuwaelewa awa Walokole wa Kitopeni!!!!!Ndugu wa mateka wa Israel katika Knesset:
"Trump anawatishia Hamas na kuzimu duniani - ningependekeza anapaswa kumtishia Netanyahu.
View: https://x.com/megatron_ron/status/1889359900599329236?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
LOKOLE LIMEVURUGWA anadhani kila Binadam Wanafanana akili Wapalestina awataki kwenda popote ata awaambie njooni Marekani Awaendi Sababu wanajua Fika mlokole yule ni GAIDI tu kana ni Mapenzi Awabebe Waisrael kuwapeleka WashingtonHuyu Mfalme wa Jordan muhuni sana kamwambia Trump wao watapokea watoto wagonjwa 2000 tu.
Hiii video ya king Abdullah akiongea tu inaonekana wazi king Abdullah mwenye akili nyingi sana kuliko ilo lizee la Mbunye kichwani kweupe Kabisa!!! Kamwambia Wazi apo akuja kuongelea ilo jambo ni mtambukwa linawausu wadau wengi wakiwemo raia w Jordan!! Nimeipenda hii kichwa kiko sawa cha king Abdullah
Bahati mbaya ndo keshawapa Hamas so tunasubiri tuone nani mbabeHizo siku trump angewapa israel . Na sio hamaasi
Kammwambia mpango wako mzuri ngoja tukakae na Waarabu wataamua😀Hiii video ya king Abdullah akiongea tu inaonekana wazi king Abdullah mwenye akili nyingi sana kuliko ilo lizee la Mbunye kichwani kweupe Kabisa!!! Kamwambia Wazi apo akuja kuongelea ilo jambo ni mtambukwa linawausu wadau wengi wakiwemo raia w Jordan!! Nimeipenda hii kichwa kiko sawa cha king Abdullah