Hamas Official: There are no Palestinian People. They are Egyptian and Saudis

Hamas Official: There are no Palestinian People. They are Egyptian and Saudis

Makafiri wawe upande wa waislamu kweli!
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 2:120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

Wanajua kama israel hayupo kihalali pale, na wao/uingereza ndio wamewapeleka pale, na wana makusudio yao. Kwanini wasiwaache wakabakia huko huko uingereza n.k! na badala yake wamewapeleka ardhi ya waislamu! Hujiulizi kwanini!!

Just simple question....Mwingereza alipowaleta nani alikuwa kiongozi/ Utawala gani wa Wapelestina ulikuwepo hapo?
 
Israel ipo pale miaka zaidi ya 3000 nyuma na ushahidi wa kihistoria upo,wewe unayesema hawapo kihalali tutajie mfalme hata mmoja tu wa Palestine ili tujue kweli Palestine ilikuwepo na sio waarabu waliovamia eneo wakati wenye nalo wapo kwenye mataifa mbali mbali.

Samson" Kukubali madai ya Waarabu....Christianity is fake.....Judaism is fake.....Only Moslem narrative is the Truth....Ni ujinga wa hali ya juu....! Uislamu ni dini ya juzi tu....Hawataki kabisa kusikia...ambao huo ni ukweli wa Historia....Jerusalem haiko ndani ya Qurran.....Labda imetajwa baadaye mno....!
 
Mwaka 1947 walipewa kuunda taifa lakini waarabu wenzao wakawapa kichwa eti wanataka nchi yote na wayahudi lazima wauawe wote,wakaanzisha vita 1948,wakaangukia pua, Israel ikaunda taifa lao,wakaanzisha vita 1967 wakaangukia pua na nchi kadhaa kupoteza maeneo Yao,wakaanzisha tena 1973 bado wakaangukia pua,kwa sasa kwa unafiki waarabu eti wanataka mataifa mawili tena kwa mipaka ya 1947 wakati mwanzo walikataa eti wawauwe wote,ukweli mchungu mipaka ya 1947 haitakuja itokee tena na wakifanya mchezo wataendelea kupoteza maeneo mengi zaidi.

Nimerudia huo ukweli mara nyingi humu ndani! Two states solution wanayolilia leo, ndio waliyopewa na UN 1947, ujinga, jazba za kidini, kutokubali facts na reality kuwa Wayahaudi hapo ni kwao! Na ukweli ni kwamba Waarabu waliokuwa uhamishoni nchi nyingi za Kiarabu walianza kurudi hata kabla ya Mandate ya Waingereza! Ni facts ziko kwenye historical records....Hawataki kusikia, jazba ya Imani ndio inayosimama......
 
Samson" Kukubali madai ya Waarabu....Christianity is fake.....Judaism is fake.....Only Moslem narrative is the Truth....Ni ujinga wa hali ya juu....! Uislamu ni dini ya juzi tu....Hawataki kabisa kusikia...ambao huo ni ukweli wa Historia....Jerusalem haiko ndani ya Qurran.....Labda imetajwa baadaye mno....!
Sio kuwa hawajui kuwa pale ni eneo la Israel wanajua sana lakini hawawezi kukubali tu na wakibanwa sana wanasema eneo ni la israel lakini wale akina netanyahu ni feki Sasa wakiulizwa original wako wapi wanaishia kutoa tu macho.Hao uongo ni ibada kabisa wanaita taqiya.
 
Mwaka 1947 walipewa kuunda taifa lakini waarabu wenzao wakawapa kichwa eti wanataka nchi yote na wayahudi lazima wauawe wote,wakaanzisha vita 1948,wakaangukia pua, Israel ikaunda taifa lao,wakaanzisha vita 1967 wakaangukia pua na nchi kadhaa kupoteza maeneo Yao,wakaanzisha tena 1973 bado wakaangukia pua,kwa sasa kwa unafiki waarabu eti wanataka mataifa mawili tena kwa mipaka ya 1947 wakati mwanzo walikataa eti wawauwe wote,ukweli mchungu mipaka ya 1947 haitakuja itokee tena na wakifanya mchezo wataendelea kupoteza maeneo mengi zaidi.

Hata kuangalia historia tu Hawataki....Uislamu mahali hapo umeingia baadaye sana...

1708863076383.png


This is not the rocket science...!
 
Huu ndio ukweli, Wapelestina waimbisha ulimwengu kuhusu wao ni nani, Wameipindisha historia na kufanya Uongo kuwa Ukweli.

Sehe hiyo kuitwa Palestina hiyo ni kweli, Utawala wa Warumi uliitwa sehemu inayoitwa Judea Karibia Karne ya pili CE. Na baada ya hapo, sehemu imetawaliwa na watu wengi mno, Utawala wa mwisho ni Ottoman Empire ambao ulitwala kwa miaka karibia 402 na kuondoka baada ya kushindwa vita vya kwanza 1918, Mandate ya Waingereza iliingia kuingalia na kuisimamia sehemu hiyo inayoitwa Palestine na maeneo mengine kama Trans Jordan, Lebanon, Iraq...In actual sense Mwingereza ndio katengeneza mataifa hayo....

Waarabu waliokuwa
Kuna Msomi humu anasema Wapalestina ndiyo wayahudi halisi.
Walislim baada ya Umma ya uislamu kuivamia Israel.
 
Kuna Msomi humu anasema Wapalestina ndiyo wayahudi halisi.
Walislim baada ya Umma ya uislamu kuivamia Israel.
Hizo nadhalia anajitungia mwenyewe kichwani ukisema alete japo kaushahidi hawezi kuonekana,yaani waliposililmu wakajibadilisha na jina kuwa wapalestina wakasahau na uyahudi wao na hawakutaka kujiita Israel tena,makubwa haya.
 


Mkuu Samson, hutakiwi kuleta counter arguments.....Hata kuja na mtazamo mwingine! Israel ndio Mvamizi ndio wimbo baadhi ya watu wanaotaka kuusikia....Facts za UN 1947....Utaambiwaa wale walikuwa Wakristo! Leo Palestina wanapeleka malalamiko yao UN, utafikiri sasa UN imekuwa ya Kiislamu! Leo Wapelestina factions zao zinapatanishwa na Urusi! Sijui Urusi ni taifa la dini gani?
 
Kuna facts za historia hazina ubishi....Hawahui kabisa UN alifanya Partition 1947.....Waarabu Wakaikataa, Israel ikakubali portion yake na kujiundia Taifa....! .Nani alianzisha 1948 War....Nani alianzisha 1973 War.. Kila attempt ya vita wanapoteza more land! Sasa wanaipoteza Gaza tena....Back to zero!
Mwaka 1947 walipewa kuunda taifa lakini waarabu wenzao wakawapa kichwa eti wanataka nchi yote na wayahudi lazima wauawe wote,wakaanzisha vita 1948,wakaangukia pua, Israel ikaunda taifa lao,wakaanzisha vita 1967 wakaangukia pua na nchi kadhaa kupoteza maeneo Yao,wakaanzisha tena 1973 bado wakaangukia pua,kwa sasa kwa unafiki waarabu eti wanataka mataifa mawili tena kwa mipaka ya 1947 wakati mwanzo walikataa eti wawauwe wote,ukweli mchungu mipaka ya 1947 haitakuja itokee tena na wakifanya mchezo wataendelea kupoteza maeneo mengi zaidi.


View: https://www.youtube.com/watch?v=7S17Fr8z_Oo
 
The entire context!

34 “Do not suppose that I have come to bring peace to the earth. I did not come to bring peace, but a sword. 35 For I have come to turn

“‘a man against his father,
a daughter against her mother,
a daughter-in-law against her mother-in-law—
36 a man’s enemies will be the members of his own household.’[c]
37 “Anyone who loves their father or mother more than me is not worthy of me; anyone who loves their son or daughter more than me is not worthy of me. 38 Whoever does not take up their cross and follow me is not worthy of me. 39 Whoever finds their life will lose it, and whoever loses their life for my sake will find it.


40 “Anyone who welcomes you welcomes me, and anyone who welcomes me welcomes the one who sent me. 41 Whoever welcomes a prophet as a prophet will receive a prophet’s reward, and whoever welcomes a righteous person as a righteous person will receive a righteous person’s reward. 42 And if anyone gives even a cup of cold water to one of these little ones who is my disciple, truly I tell you, that person will certainly not lose their reward.”



View: https://www.youtube.com/watch?v=me4FqdrmVBs
 
The entire context!

34 “Do not suppose that I have come to bring peace to the earth. I did not come to bring peace, but a sword. 35 For I have come to turn

“‘a man against his father,
a daughter against her mother,
a daughter-in-law against her mother-in-law—
36 a man’s enemies will be the members of his own household.’[c]
37 “Anyone who loves their father or mother more than me is not worthy of me; anyone who loves their son or daughter more than me is not worthy of me. 38 Whoever does not take up their cross and follow me is not worthy of me. 39 Whoever finds their life will lose it, and whoever loses their life for my sake will find it.


40 “Anyone who welcomes you welcomes me, and anyone who welcomes me welcomes the one who sent me. 41 Whoever welcomes a prophet as a prophet will receive a prophet’s reward, and whoever welcomes a righteous person as a righteous person will receive a righteous person’s reward. 42 And if anyone gives even a cup of cold water to one of these little ones who is my disciple, truly I tell you, that person will certainly not lose their reward.”
 
Israel ipo pale miaka zaidi ya 3000 nyuma na ushahidi wa kihistoria upo,wewe unayesema hawapo kihalali tutajie mfalme hata mmoja tu wa Palestine ili tujue kweli Palestine ilikuwepo na sio waarabu waliovamia eneo wakati wenye nalo wapo kwenye mataifa mbali mbali.


 
Makafiri wawe upande wa waislamu kweli!
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 2:120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

Wanajua kama israel hayupo kihalali pale, na wao/uingereza ndio wamewapeleka pale, na wana makusudio yao. Kwanini wasiwaache wakabakia huko huko uingereza n.k! na badala yake wamewapeleka ardhi ya waislamu! Hujiulizi kwanini!!
Israel haijawahi kuwa ardhi ya waislamu boss.Historia unakataa janja janja ya kiislam kujinasibisha na mitume wa Kiyahudi.
 
Back
Top Bottom