Hamas Official: There are no Palestinian People. They are Egyptian and Saudis


Just simple question....Mwingereza alipowaleta nani alikuwa kiongozi/ Utawala gani wa Wapelestina ulikuwepo hapo?
 

Samson" Kukubali madai ya Waarabu....Christianity is fake.....Judaism is fake.....Only Moslem narrative is the Truth....Ni ujinga wa hali ya juu....! Uislamu ni dini ya juzi tu....Hawataki kabisa kusikia...ambao huo ni ukweli wa Historia....Jerusalem haiko ndani ya Qurran.....Labda imetajwa baadaye mno....!
 

Nimerudia huo ukweli mara nyingi humu ndani! Two states solution wanayolilia leo, ndio waliyopewa na UN 1947, ujinga, jazba za kidini, kutokubali facts na reality kuwa Wayahaudi hapo ni kwao! Na ukweli ni kwamba Waarabu waliokuwa uhamishoni nchi nyingi za Kiarabu walianza kurudi hata kabla ya Mandate ya Waingereza! Ni facts ziko kwenye historical records....Hawataki kusikia, jazba ya Imani ndio inayosimama......
 
Sio kuwa hawajui kuwa pale ni eneo la Israel wanajua sana lakini hawawezi kukubali tu na wakibanwa sana wanasema eneo ni la israel lakini wale akina netanyahu ni feki Sasa wakiulizwa original wako wapi wanaishia kutoa tu macho.Hao uongo ni ibada kabisa wanaita taqiya.
 

Hata kuangalia historia tu Hawataki....Uislamu mahali hapo umeingia baadaye sana...



This is not the rocket science...!
 
Kuna Msomi humu anasema Wapalestina ndiyo wayahudi halisi.
Walislim baada ya Umma ya uislamu kuivamia Israel.
 
Kuna Msomi humu anasema Wapalestina ndiyo wayahudi halisi.
Walislim baada ya Umma ya uislamu kuivamia Israel.
Hizo nadhalia anajitungia mwenyewe kichwani ukisema alete japo kaushahidi hawezi kuonekana,yaani waliposililmu wakajibadilisha na jina kuwa wapalestina wakasahau na uyahudi wao na hawakutaka kujiita Israel tena,makubwa haya.
 

Your browser is not able to display this video.
 


View: https://www.youtube.com/watch?v=7S17Fr8z_Oo
 



View: https://www.youtube.com/watch?v=me4FqdrmVBs
 
Your browser is not able to display this video.
 


Your browser is not able to display this video.
 
Israel haijawahi kuwa ardhi ya waislamu boss.Historia unakataa janja janja ya kiislam kujinasibisha na mitume wa Kiyahudi.
 
So means that Palestinians ndiyo wavamizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…