Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Hio kawaida yao tokea mwaka 1948 kwahio waendelee tu kufanya hakuna jipya hapoHata mkiwaua msitangaze maana mtawatia hasira na kuanza kulipizia Kwa kulipua watoto, wagonjwa na wanafunzi
Bwana mdogo shuka uone manzari ya gazaKina Yuda wanazidi kuchomolewa tu huko mmoja bada ya mwingine kutoka kwenye mahandaki yao yanayotembea. View attachment 2843439
Kwenye majumba hayo ndipo wanapojificha hao magaidi na kwa nini wasiende Israel wakapigane kukomboa ardhi wanayodai waliporwa, waoga wakubwa hao kazi kujificha tu kwa raia. Bure kabisa.Mkuu elewa hivi Israel wanaangusha majumba ya raia na kuua raia zaidi, HAMAS walijiandaa hawabahatishi hili ni pigo kubwa Mazayuni na ndio mwisho wa taifa la kupanga la hawa mayahudi
Niambie nyie ndio mnawafahamu.Kwa hiyo majini huwa hayafi?
Image by courtesy of photoshop.36 Zionist soldiers killed, 72 military vehicles destroyed
en.irna.ir/news/85322716/View attachment 2843245
Haiwasaidii kitu maana lengo la hamas ni kuwapa israel sleepless nights na wamefanikiwa kwa hilo miaka yote hawana amani hadi watu wanaogopa kwenda israel si unaona vijana wetu wa tz wameenda wamepoteza maisha sasa nchi gani hiyoHata mkiwaua msitangaze maana mtawatia hasira na kuanza kulipizia Kwa kulipua watoto, wagonjwa na wanafunzi
Ivi una habari mateka wa Israel ndani ya mahandaki ya Hamas? Israel wamekataa kubadilishana watoe wafungwa wa Kipalestina wakabidhiwe maiti zao za wanajeshi wa IDF waliouliwa wa kiyahudiKwenye majumba hayo ndipo wanapojificha hao magaidi na kwa nini wasiende Israel wakapigane kukomboa ardhi wanayodai waliporwa, waoga wakubwa hao kazi kujificha tu kwa raia. Bure kabisa.
Uliza wayahudi wenzako huko Israeli wanachokipata au kwasababu hawatangazi unaona kuna amani[emoji1787]Kwenye majumba hayo ndipo wanapojificha hao magaidi na kwa nini wasiende Israel wakapigane kukomboa ardhi wanayodai waliporwa, waoga wakubwa hao kazi kujificha tu kwa raia. Bure kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hamas wakifa ni faida kwao maana wanaenda kufaidi bikira 72 wenye macho kama vikombe huko kwenye pepo ya allah.
Bila kusahau Heineken za huko ni tamu kuliko za duniani
Silaha za sumu tayari ameshatumia kuwapiga watoto na wanawake kwa mabomu ya Phosphorus, labda useme atumie silaha za maangamizi ya halaiki (Atomic bomb)Israel lazma atafika mahali atatumia silaha za sumu na hili haliepukiki..
Kwakweli maana kakaliwa kooni kwel kweli na majamaaIsrael lazma atafika mahali atatumia silaha za sumu na hili haliepukiki..
Na kiuno Kama nyigu, Makalio uji uji ft.40, na vijana wa KUUME walivaa hariri Dhakari haita sinyaa,.....Hamas wakifa ni faida kwao maana wanaenda kufaidi bikira 72 wenye macho kama vikombe huko kwenye pepo ya allah.
Bila kusahau Heineken za huko ni tamu kuliko za duniani
HAMAS ni ideolog ni vigumu sana hili kundi kulimaliza japo watakufa watu wengiKwakweli maana kakaliwa kooni kwel kweli na majamaa
Ila hata atumie nini hatakaa aifute hamas hata siku moja hilo wasahau
Kumbe kaishatumia tayar white phosphorus Flano kanikumbusha hapo juuu
Kilichobakia ni atumie tu atomic bomb tu hakuna namna
Mafundisho potofu ya mudyHamas wakifa ni faida kwao maana wanaenda kufaidi bikira 72 wenye macho kama vikombe huko kwenye pepo ya allah.
Bila kusahau Heineken za huko ni tamu kuliko za duniani