Hamas waeleza sababu za kuchelewa kuachiwa kwa kundi la pili la mateka

Hamas waeleza sababu za kuchelewa kuachiwa kwa kundi la pili la mateka

BREAKING: CHILD HOSTAGE YASER ZAAMIYEH FREED AND SPEAKS OUT

Zaamiyeh was jailed at 16 and said;

The prison administration was horrible.

They treated us violently. They've beaten up a lot of people, some of them died in their own [Israeli guards'] hands.

Some people's heads were split open in our section of the prison, little children - 10 years old, 12 years old - are being treated with extreme violence.”

He said that they are fed dry rice, and are kept in freezing temperatures that prevent them from being able to sleep for more than a few hours a day
 

Attachments

  • IMG_6800.jpeg
    IMG_6800.jpeg
    30.4 KB · Views: 1
hamas keshawatapika hostages wengine agome unafikiri ni rahisi sana ehhh na IDF alishasema magaidi hamas wangeendelea kugoma kuwatapika ikifika 21.00 hrs Israel time kichapo kingeendelea.
Hahahaha unajiliwaza Israel kila saa anakiimbilia Qatar wawambeleze Hamas wasibadili maamuzi unadhani Hamas anafanya hivi kuonyesha dunia alikuwa anaweza kupiga risasi wote, hii jana Israel watu wanalia na Waziri Mkuu hapo mbele ya makazi yake hawamtaki wewe Muisrael mweusi wa Chanika povu linakutoka.
 

Attachments

  • twidown.mp4
    2.8 MB
BREAKING: CHILD HOSTAGE YASER ZAAMIYEH FREED AND SPEAKS OUT

Zaamiyeh was jailed at 16 and said;

The prison administration was horrible.

They treated us violently. They've beaten up a lot of people, some of them died in their own [Israeli guards'] hands.

Some people's heads were split open in our section of the prison, little children - 10 years old, 12 years old - are being treated with extreme violence.”

He said that they are fed dry rice, and are kept in freezing temperatures that prevent them from being able to sleep for more than a few hours a day
Nadhani hatorudia tena Kufanya fujo dhidi ya watu wa Kitabu according to Koran asome vizuri
 
Wapalestina Walioachiliwa Wazungumza Juu ya Masharti na Matibabu

Muhammad Abu Auun:
"Vikosi vya uvamizi vilitupiga na kutupiga risasi mbwa

Vikosi vya kazi vilitutendea unyama na kututukana.

Vikosi vya kazi vilitutendea unyama na kututukana.

Vikosi vya kazi vilitushambulia, vilitupiga, na kutufanyia kila aina ya matusi."

Yasser Zaaymeh:
“Sikupata matibabu yoyote wakati nikiwa kizuizini licha ya kujeruhiwa.

Vikosi vya kazi vilitushughulikia kwa ukali wakati wa kizuizini.

Vikosi vya uvamizi vilitushughulikia kwa jeuri wakati wa kuwekwa kizuizini na walitutendea kwa ukali.

Nilishuhudia vifo vya wafungwa kadhaa wa Kipalestina wakati wa kukamatwa kwao.

Vikosi vya uvamizi vilivamia na kuwapiga watoto kadhaa waliokuwa wakizuiliwa katika gereza la Megido

Tuliteseka sana kwa sababu ya hali ya kizuizini isiyo ya kibinadamu katika magereza ya uvamizi."

Israa Jaabis:
"Wasichana wadogo wa Kipalestina walikabiliwa na mambo mengi katika jela za uvamizi

Wasichana wadogo wa Kipalestina walifanyiwa vitendo visivyoelezeka katika magereza ya ukaaji

Tulinyanyaswa na kupigwa katika magereza ya uvamizi

Kuna wengi waliojeruhiwa ndani ya magereza ya uvamizi

Ni lazima tufanye kazi ya kuwakomboa wafungwa wote kutoka katika magereza ya uvamizi"

Chanzo: Al Jazeera
 
🚨🇵🇸 Al Qassam's Abu Obeida last month:

"The era of selling illusions to the world about the myth of the invincible army, the invulnerable Merkava tank, and alleged military and intelligence superiority has ended after we shattered it in front of the world in the ‘Gaza envelope’ and all of Palestine.

The era of Zionism’s decline has begun, and the curse of the eighth decade will befall them."
 

Attachments

  • IMG_6802.jpeg
    IMG_6802.jpeg
    59.4 KB · Views: 1
Takataka tu
BREAKING: MTOTO WA KIKRISTO WA PALESTINA AFUNGULIWA ATOA MAHOJIANO KUHUSU UDHALILISHAJI KUTOKA KWA ISRAELI

Ha’aretz: “Wangemwita ‘Mkristo’ ili kumtukana. Wangempiga tena na tena na kumfedhehesha akiwa jela. Wakati wa kutekwa nyara alfajiri kutoka nyumbani kwake Jerusalem Mashariki, maafisa wa polisi waliovalia mavazi meusi [Waisraeli] walimpiga hadi akavuja damu.”

Mnamo 2022, Waisraeli waliingia kwa nguvu kwenye makazi ya Mkristo Mpalestina mwenye umri wa miaka 16, na kumjeruhi kwa kuvunja pua na jino baada ya kukataa kuvua nguo mbele yao.

Baadaye, walimkamata Shadi Khoury ambaye aliwekwa kizuizini na kuteswa kimwili kwa siku 41 katika jela ya Israel, kwa sababu alituhumiwa kwa kurusha mawe.
 

Attachments

  • IMG_6803.jpeg
    IMG_6803.jpeg
    23 KB · Views: 1
Nzuri. Dunia yote jana imeona wema wa Hamas na ukatili wa Isreal.
Ishakuwa TENA ni WEMA kufanya Biashara Kati ya wahalifu Walio magerezani Kwa Makosa yao na watu wasio na hatia ambao walikuwa kwenye Ibada yao! [emoji15][emoji12]
Mkiambiwa Hamas ni magaidi mnabishia! [emoji12]
 
[emoji599][emoji1193] Al Qassam's Abu Obeida last month:

"The era of selling illusions to the world about the myth of the invincible army, the invulnerable Merkava tank, and alleged military and intelligence superiority has ended after we shattered it in front of the world in the ‘Gaza envelope’ and all of Palestine.

The era of Zionism’s decline has begun, and the curse of the eighth decade will befall them."
Huyo ni Myahudi KTK ngozi ya AL qassam! [emoji56][emoji38][emoji38]
Take care fifth column...
 
Wanaukumbi.

[emoji1630] Kiongozi wa Hamas Osama Hamdan, katika mahojiano na Al Mayadeen:

• Kuna ukiukwaji uliofanywa na Israel katika kutekeleza usitishaji vita, baadhi ulitokea jana na ulirudiwa leo.

• Hamas waliamua kusimamisha kuachiliwa kwa kundi la 2 la wafungwa, tunawasiliana kushughulikia na kukomesha ukiukwaji huo.

• Ukiukaji unaofanywa na uvamizi huo unahusiana na suala la lori za misaada, pamoja na ufyatuaji risasi na kusababisha vifo vya Wapalestina.

[emoji1630] Hamas leader Osama Hamdan, in an interview with Al Mayadeen:

• There are violations committed by Israel in implementing the ceasefire, some occurred yesterday and were repeated today.

• Hamas decided to suspend the release of the 2nd batch of prisoners, we are in contact to address and end the violations.

• The violations committed by the occupation are related to the issue of aid trucks, in addition to shooting leading to the loss of lives among Palestinians.


MAELEZO YA KUCHELEWA KWA KUTOLEWA KWA MATEKA
Kuachiliwa kwa mateka kunaweza kuanza saa sita usiku, lakini kutokuwa na uhakika ikiwa hata leo

Wapatanishi (Wakatari, Wamisri) wakishughulikia suluhisho

Masuala muhimu: uhamisho wa misaada hadi kaskazini mwa Gaza (umekamilika) na vigezo vya kuachiliwa kwa wafungwa wa Palestina

Hamas inadai ahadi ambazo hazijatekelezwa, Israel inakanusha ukiukaji wa makubaliano

Israel inadai walikuwa tayari kwa mbinu za kuchelewesha Hamas

Maafisa wa Qatar wakijaribu kuongeza muda wa kusitisha mapigano

Mawazo yangu: mambo yanaonekana kutetereka, lakini yanaelekea katika mwelekeo sahihi.

Israeli inaonekana kuwa ngumu, hata hakika, vita vitaendelea.

Safi sana ! Magaidi washughulikiwe bila kupepesa macho wala huruma.
 
Nilichoona mimi ni hao rwd cross kulachika vi GPS ili wajue mateka wapo wapi,lkn ninachoona JEW Roho zinawauma sana.
 
Back
Top Bottom