Hamas waeleza sababu za kuchelewa kuachiwa kwa kundi la pili la mateka

Hamas waeleza sababu za kuchelewa kuachiwa kwa kundi la pili la mateka

⚡️Hamas ilichapisha matukio yanayoonyesha mabadilishano ya pili ya wafungwa kwenye Msalaba Mwekundu.

Angalia jinsi walivyo na afya njema.
 

Attachments

  • twidown.mp4
    11.9 MB
Such a pretty lady!
 

Attachments

  • IMG_6807.jpeg
    IMG_6807.jpeg
    37.9 KB · Views: 3
hamas keshawatapika hostages wengine agome unafikiri ni rahisi sana ehhh na IDF alishasema magaidi hamas wangeendelea kugoma kuwatapika ikifika 21.00 hrs Israel time kichapo kingeendelea.
Sawa yahudi mweusi msemaji idf wa tawi la kiboroloni wamekusikia
 
hamas keshawatapika hostages wengine agome unafikiri ni rahisi sana ehhh na IDF alishasema magaidi hamas wangeendelea kugoma kuwatapika ikifika 21.00 hrs Israel time kichapo kingeendelea.
Unawatishia kichapo Hamas!?..hizo ni kelele tu za hao machoko Kama kawaida yao
 
hamas keshawatapika hostages wengine agome unafikiri ni rahisi sana ehhh na IDF alishasema magaidi hamas wangeendelea kugoma kuwatapika ikifika 21.00 hrs Israel time kichapo kingeendelea.
Israhell bila msaada na huruma y hamas hao magaidi wake waliotekwa asingempata hata mmoja
 
Hahahaha unajiliwaza Israel kila saa anakiimbilia Qatar wawambeleze Hamas wasibadili maamuzi unadhani Hamas anafanya hivi kuonyesha dunia alikuwa anaweza kupiga risasi wote, hii jana Israel watu wanalia na Waziri Mkuu hapo mbele ya makazi yake hawamtaki wewe Muisrael mweusi wa Chanika povu linakutoka.
Israel hana muda mchafu wa kwenda Qatar kama ambavyo waarab mara waende China, mara waiombe Iran iingilie kati, mara wamuombe nasra wa Hizbollah aingilie kati, waarab kwa umoja wao hawajui wafanyeje maana hawana la kufanya maana wanamjua mkali wa hizi kazi Israel alivyowakungu'ta walipojaribu kujikusanya kumpiga Israel mpaka rais wa Egypt akapata kihoro pressure akafa ! hata belzabul dagon wenu allah naye kaufyata.
 
BREAKING: OLDEST PALESTINIAN HOSTAGE MAYSOON AL-JABALI SPEAKS OUT

“The occupation authorities imposed restrictions on us during detention.

Many female prisoners in the occupation prisons have contracted medical conditions.

Female prisoners were beaten by the occupation prison authorities.

We were suffering during detention, and the prison guards treated us harshly.”
 

Attachments

  • IMG_6808.jpeg
    IMG_6808.jpeg
    68.5 KB · Views: 3
Israel hana muda mchafu wa kwenda Qatar kama ambavyo waarab mara waende China, mara waiombe Iran iingilie kati, mara wamuombe nasra wa Hizbollah aingilie kati, waarab kwa umoja wao hawajui wafanyeje maana hawana la kufanya maana wanamjua mkali wa hizi kazi Israel alivyowakungu'ta walipojaribu kujikusanya kumpiga Israel na rais wa Egypt akapata kihoro pressure akafa ! hata belzabul dagon wenu allah naye kaufyata.
Unaleta porojo za zamani ulizomezeshwa Israel tumewoana wameshindwa eneo dogo la Gaza kama Kigamboni wameshindwa kujua mateka walipo😂
Wanapigina na Wagonjwa na watoto wadogo na wanawake, Hamas leo hii wanawaleta mateka kutoka Gaza wazima wa afya hawo mabwana zako wana nini cha maana? Wameshindwa kuonyesha hata maiti moja ya Hamas, wewe endelea na ushabiki mandazi angalia huu upuuzi.
 

Attachments

  • 04fb3a31-c8df-4223-95ab-8bc527df5bd4.mp4
    4.3 MB
🚨 JUST IN: Released Palestinian Children Speak Out on Conditions and Treatment

Omar Shweiki:
"There are many children in the occupation prisons who are between 13 and 15 years old.

The conditions of our detention in the occupation prison were very harsh.

The detention room contained 12 prisoners, although it was intended for only six.

We did not get time to exercise for 50 days.

When the occupation authorities arrested me, I was 15 years old.

I say to all the prisoners in the occupation prisons, patience, patience."

Shadi:
"The occupation forces did not give us time to exercise during detention for 50 days.

The occupation forces beat us during the arrest.

There are many Palestinian children still in occupation prisons."

Source: Al Jaazera
 
Tunawajua wa imani ile hata huku kibiti wapo with the same goals.Evil at work!
 
Hamas kiboko yani mateka wote wanashikiriwa hapo hapo Gaza na Israel wameshindwa kunusa
 
Back
Top Bottom