Hamas wahojiwa waelezea matumizi ya Ambulance na Jinsi ambavyo wanaitekeza Israel

Hamas wahojiwa waelezea matumizi ya Ambulance na Jinsi ambavyo wanaitekeza Israel

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Israel imekwisha. Hamas wameshaimaliza Israel. Sisi tunasheherekea hapa Tandale kwa Mtogole kwenye Ms..... Wa Ijumaa

Israel... Wamekwisha kabisa. Vita imewashinda..... Hamas wamejificha kwenye mahandaki wakipigana na wadudu kama panya nk. Israel wapo palestine hamas wapo mashimoni. Wakiendelea kupambana.

 
Israel imekwisha. Hamas wameshaimaliza Israel. Sisi tunasheherekea hapa Tandale kwa Mtogole kwenye Ms..... Wa Ijumaa

Israel... Wamekwisha kabisa. Vita imewashinda..... Hamas wamejificha kwenye mahandaki wakipigana na wadudu kama panya nk. Israel wapo palestine hamas wapo mashimoni.

View attachment 2809334
Mkuu dogo kasema ukweli
 
Story imeletwa kwa dhihaka ya wavaa vipedo .

Hao ni Hamas baada ya kutekwa na IDF hapo wanahojiwa ndo wanaelezea matumizi ya ambulance zao na hospital ya shida Kuna Nini na Nini?

Ndo wanatoa Siri za Kambi yao ya Hamas
Kazi kweli kweli
 
Story imeletwa kwa dhihaka ya wavaa vipedo .

Hao ni Hamas baada ya kutekwa na IDF hapo wanahojiwa ndo wanaelezea matumizi ya ambulance zao na hospital ya shida Kuna Nini na Nini?

Ndo wanatoa Siri za Kambi yao ya Hamas
Ahahaaaaa, habari imetoka kwa Israel siyo!!?..Kama walivyowaaminisha wao ni taifa teule na mmeamini,poneni ujinga
 
Israel wanajua wanachokitafuta, hao Hamas lazima watoe Siri zote, halafu vijana wazuri wanajiingiza kwenye ugaidi, wanatia huruma hao , vijana wameamua kusema ukweli kuwa Shifa hospital kuna basement ya Hamas
 
L
Story imeletwa kwa dhihaka ya wavaa vipedo .

Hao ni Hamas baada ya kutekwa na IDF hapo wanahojiwa ndo wanaelezea matumizi ya ambulance zao na hospital ya shida Kuna Nini na Nini?

Ndo wanatoa Siri za Kambi yao ya Hamas
Labda lugha gongana
 
Israel imekwisha. Hamas wameshaimaliza Israel. Sisi tunasheherekea hapa Tandale kwa Mtogole kwenye Ms..... Wa Ijumaa

Israel... Wamekwisha kabisa. Vita imewashinda..... Hamas wamejificha kwenye mahandaki wakipigana na wadudu kama panya nk. Israel wapo palestine hamas wapo mashimoni. Wakiendelea kupambana.

View attachment 2809334

Jamaa wa mwisho kawachoma akina Yahya Sinwar. Ndio maana IDF hawatoki pale.
 
Hao vijana wa Hamas wamekamtwa na IDF. Hivyo wanatoa Siri za Kambi. Na wanaosema Viongozi wote wamejificha hapo kwenye basement ya Shifa Hospital.
 
Back
Top Bottom