Hamas wakiuka makubaliano ya kubadilishana mateka kwa kutourudisha mwili wa Shiri Bibas

Hamas wakiuka makubaliano ya kubadilishana mateka kwa kutourudisha mwili wa Shiri Bibas

Hao magaidi wa kipalestina hiyo ndio sababu hakuna nchi inawataka kwa sababu sio watu hao kwani ni wabaya kuliko hata wanyama.

Sasa miili ya wale watanzania iko wapi. Israel nao hawafai kabisa yaani wanakubali kukaa na hao wanyama jirani nao badala ya kuwauwa wote ili ugaidi umalizike duniani.
 
Kwa hiyo kwa akili yako kiduchu unataka kutuaminisha kuwa wayahudi hakuna wakristo? Si waisrael wote ni Judaism kama unavyofikiri!! Nilichomaanisha Mimi hapo ni kuwa mdogoye yeye katanguliza mbele maslahi ya uislamu wake kuliko facts
Ufafanuzi wako wa mwisho umeeleweka vema. Kuhusu ukristo Israel upo lakini dini ya kiyahudi na kiislam ndio yenye waumini wengi.
 
❎ The daily routine of Zionist officials:

Day 1: “We will destroy Hamas; it will be eliminated.”
Day 2: “We sent a delegation to negotiate.”
Day 3: Hamas released war prisoners.
Day 4: “We will destroy Hamas.”
Day 5: “We sent another delegation to negotiate.”

.... ♾️

🔹@enemywatch
 
❎ The daily routine of Zionist officials:

Day 1: “We will destroy Hamas; it will be eliminated.”
Day 2: “We sent a delegation to negotiate.”
Day 3: Hamas released war prisoners.
Day 4: “We will destroy Hamas.”
Day 5: “We sent another delegation to negotiate.”

.... ♾️

🔹@enemywatch
Kwa faida ya Wamatumbi wenzangu akina mdogoye napenda nikujibu Kiswahili kama ifuatavyo=
Day 1: “ We will destroy Hamas: it will be eliminated” Kwa taarifa yako tu Hamas hawezi kuendelea kuwepo mara tu Israel itakapowarudisha nyumbani mateka wake wote waliobakia unavyoona Israel inaendelea na mazungumzo na Hamas ni kwa ajili ya kupata watu wake tu na wakiwapata wote wakiwa hai au wafu ndipo utajua wayahudi wakisema kweli au la.
Day 2: We send delegation to negotiate Israel nia yake kubwa ni kupata watu wake kwa Njia yoyote ile wakiwa hai au wafu ikiwa ni pamoja na njia ya Mazungumzo njia ambayo israel imeweza kupata watu wake zaidi ya 100 kwa akili yako ulitaka wasiende kwenye mazungumzo ili wasiweze kuwapata hata hao 100? Kama ulikuwa unafikiri hivyo basi Israel inawaza tofauti na wewe unavyowaza. Israel ilishasema itafanya kila njia watu wake wote warudishwe nyumbani. njia mojawapo ni njia ya mazungumzo.
Day 3: Hamas to release war Prisoners Kwa taarifa yako tu Hamas haina wafungwa wa kivita bali inao Mateka iliyo wateka Oct 07,2023. Israel ndiyo ina wafungwa waliofungwa kwa makosa mbalimbali yakiwemo wizi,ubakaji,mauaji na Ugaidi uliofanywa na watu hao hivyo walifungwa na ndiyo maana wanaitwa ni wafungwa.
*Day 4 & 5 hoja hizo zimejirudia nimezijibu hapo juu.
 
Kufuatia kukamilika kwa mchakato wa utambulisho na Taasisi ya Kitaifa ya Tiba ya Uchunguzi kwa kushirikiana na Polisi wa Israeli, wawakilishi wa IDF wamefahamisha familia ya Bibas kwamba wapendwa wao, Ariel na Kfir Bibas miili yao imetambuliwa.

Kulingana na tathmini zilizofanywa na wataalamu, kulingana na taarifa za kijasusi zinazopatikana kwetu na matokeo ya kitaalamu kutoka kwa mchakato wa kuwatambua, Ariel na Kfir Bibas waliuawa kikatili wakiwa wanashikiliwa mateka na magaidi mnamo Novemba 2023.

Wakati wa mchakato wa utambulisho, ilibainika kuwa maili wa Mama yao uliopokewa jana si wa Shiri Bibas na si wa mateka mwingine yoyote. Hili ni kulingana na vipimo vya kitaalamu.

Huu ni ukiukwaji mkubwa wa shirika la kigaidi la Hamas, ambalo, kulingana na makubaliano, linalazimika kuwarudisha mateka wanne waliowauwa. Tunadai Hamas warejeshe mwili wa SHIRI BIBAS pamoja na mateka wetu wote.

Ariel Bibas, mwenye umri wa miaka minne wakati wa kifo chake, na Kfir Bibas, mwenye umri wa miezi kumi wakati wa kifo chake, walitekwa nyara pamoja na mama yao, Shiri Bibas, kutoka nyumbani kwao huko Nir Oz. Yarden Bibas, baba wa familia, alitoka kuwatetea naye alitekwa nyara mbele ya Shiri na watoto.

Yarden ilirejeshwa kama sehemu ya makubaliano ya kuachiliwa kwa mateka mnamo Februari 1, 2025. Magaidi wanaendelea kuchezea moto na ukiwaunguza dunia isilalamike kuwa wana one wa!!!

Tunashiriki katika huzuni kubwa ya familia ya Bibas katika wakati huu mgumu na tutaendelea kufanya kila juhudi kumrudisha Shiri na mateka wote nyumbani haraka iwezekanavyo.-Msemaji wa IDF

Utasikia propaganda zaKiislamu ooooh Israel wanaua wanawake na watoto
 
Mgogoro wa waisrael ni wa kugombea ardhi sio wa kidini. Hata ungekuwa wa kidini bado waisrael wana dini yao ya uyahudi sio ukristo.
Bila yule Kanjanja kuwadanganya mazombie kuwa kasafiri kwenda mbinguni kupitia Jelusalem kusingekuwa na mgogoro hapo.
 
Kwa faida ya Wamatumbi wenzangu akina mdogoye napenda nikujibu Kiswahili kama ifuatavyo=
Day 1: “ We will destroy Hamas: it will be eliminated” Kwa taarifa yako tu Hamas hawezi kuendelea kuwepo mara tu Israel itakapowarudisha nyumbani mateka wake wote waliobakia unavyoona Israel inaendelea na mazungumzo na Hamas ni kwa ajili ya kupata watu wake tu na wakiwapata wote wakiwa hai au wafu ndipo utajua wayahudi wakisema kweli au la.
Day 2: We send delegation to negotiate Israel nia yake kubwa ni kupata watu wake kwa Njia yoyote ile wakiwa hai au wafu ikiwa ni pamoja na njia ya Mazungumzo njia ambayo israel imeweza kupata watu wake zaidi ya 100 kwa akili yako ulitaka wasiende kwenye mazungumzo ili wasiweze kuwapata hata hao 100? Kama ulikuwa unafikiri hivyo basi Israel inawaza tofauti na wewe unavyowaza. Israel ilishasema itafanya kila njia watu wake wote warudishwe nyumbani. njia mojawapo ni njia ya mazungumzo.
Day 3: Hamas to release war Prisoners Kwa taarifa yako tu Hamas haina wafungwa wa kivita bali inao Mateka iliyo wateka Oct 07,2023. Israel ndiyo ina wafungwa waliofungwa kwa makosa mbalimbali yakiwemo wizi,ubakaji,mauaji na Ugaidi uliofanywa na watu hao hivyo walifungwa na ndiyo maana wanaitwa ni wafungwa.
*Day 4 & 5 hoja hizo zimejirudia nimezijibu hapo juu.
Sawa wataachiwa wote then tuone kama wanasema kweli au la hakuna njia kwa sasa mzayuni anaweza kummaliza hamas unless waYemen wangekua wachovu na wajinga kama waarabu wengine, subiri tuone
 
Sawa wataachiwa wote then tuone kama wanasema kweli au la hakuna njia kwa sasa mzayuni anaweza kummaliza hamas unless waYemen wangekua wachovu na wajinga kama waarabu wengine, subiri tuone
What is Yemen and Hezbollah? Mwanzo wa vita Oct 08,2023 waliapa kuwa hawataacha kuishambulia Israel mpaka itakapoondoa majeshi yake huko Gaza kwani walifika wapi? Tuanze na Hezbollah ambaye yuko jirani kabisa baada ya kupigwa na kuguara gazowa na kuuwawa kwa viongozi karibu wote akiwemo Gaidi Hassan Nasrallah walisalimu amri na kuingia mkataba wa Amani.wakaufyata mika matakoni mpaka sasa hivi huwezi kusikia Fyoko-fyoko ya magaidi hao. Tu rudzi kwa hao unaowasifia Wahouth wa huko Yemen 🇾🇪 nao kama kawaida walisema hivyo hivyo lakini baada ya kushambuliwa bandari yao pendwa ya Hodeidar dish lilikaa sawa nao wakaufyata sasa hivi Houthi wanaandamana wakiwa kwao tena siku ya Ijumaa tu huko Yemen 🇾🇪. Magaidi wa Hamas wali Koseła sana kuivamia Israel Oct 07,2023 Waki tęgę Ewa uungwaji mkono kutoka kwa magaidi wenzao waliokuwa Syria,Iraq,Hezbollah,Houthi na Bwana wao Iran. Iran naye alijitutumua kuishambulia Israel mwezi Oct 2024 alichokipata ndicho kilichomfanya kimya mpaka sasa Ana wa wana tu akiwa nyumbani kwake supply-Route ya silaha zake kwenda Hezbollah haipo tena!!!.
 
🇮🇱🇵🇸📻📰 "israeli" Army Radio: The four dead hostages that were released today by Hamas were held east of Khan Yunis directly under an area where the army operated for about 4 months, but never found them.

Wafuga midevu na Majini akili zao sijui zikoje tu!!! Kwa hiyo wewe ulitaka wafanyeje? Au wewe Una uhakika gani kuwa mateka hao walishikiliwa sehemu hiyo?
 
Mgogoro wa waisrael ni wa kugombea ardhi sio wa kidini. Hata ungekuwa wa kidini bado waisrael wana dini yao ya uyahudi sio ukristo.
Lakini ni hao hao waisrael na wayahudi ndio wa kwanza kuwa wakristo na wakwanza kueneza ukristo. UNABISHA?

Ndio maana TUNAWAPENDA.

JESUS and ISRAEL First.

JESUS and ISRAEL FOREVER.
 
Mgogoro wa waisrael ni wa kugombea ardhi sio wa kidini. Hata ungekuwa wa kidini bado waisrael wana dini yao ya uyahudi sio ukristo.
Bado ni ngumu kuutenga uyahudi na ukristo, ni sawa na kutenganisha mpaka wa bahari moja na bahari nyingine.

Yesu aitwaye Kristo (masihi)ni myahudi kwa asili kabisa ya kuzaliwa lakini Ndio msingi mkuu wa imani ya kikristo.

Biblia au kitabu kitakatifu cha wakristo, zaidi ya asilimia 95% ya vitabu vyake vimeandikwa na wayahudi (Manabii, wafalme, makuhani, mitume) , So kwa namna yoyote ile huwezi kuuzungumzia ukristo bila kugusa uyahudi unless uwe snitch Pro max .
Kuna watu huwa wanapenda kusema hizo ni dini za wazungu, lakini wanajisahau hamna mzungu hata mmoja ameandika hata doti kwenye biblia, ukristo tunaouona chimbuko lake ni wayahudi wenyewe na sio wazungu, hata wazungu walipelekewa Kama na wao walivyotuletea na Sisi.

Mwaka 1AD paulo ndio anaingia kwa mara ya Kwanza ulaya kwa ajili ya injili.
 
Bado ni ngumu kuutenga uyahudi na ukristo, ni sawa na kutenganisha mpaka wa bahari moja na bahari nyingine.

Yesu aitwaye Kristo (masihi)ni myahudi kwa asili kabisa ya kuzaliwa lakini Ndio msingi mkuu wa imani ya kikristo.

Biblia au kitabu kitakatifu cha wakristo, zaidi ya asilimia 95% ya vitabu vyake vimeandikwa na wayahudi (Manabii, wafalme, makuhani, mitume) , So kwa namna yoyote ile huwezi kuuzungumzia ukristo bila kugusa uyahudi unless uwe snitch Pro max .
Kuna watu huwa wanapenda kusema hizo ni dini za wazungu, lakini wanajisahau hamna mzungu hata mmoja ameandika hata doti kwenye biblia, ukristo tunaouona chimbuko lake ni wayahudi wenyewe na sio wazungu, hata wazungu walipelekewa Kama na wao walivyotuletea na Sisi.

Mwaka 1AD paulo ndio anaingia kwa mara ya Kwanza ulaya kwa ajili ya injili.
Mwenye masikio na asikie ukweli huo uliousema lakini Nina wasi wasi na Wafuga Midevu na Majini wanaweza wasikuelewe maana akili zao zimefungwa!!
 
Kufuatia kukamilika kwa mchakato wa utambulisho na Taasisi ya Kitaifa ya Tiba ya Uchunguzi kwa kushirikiana na Polisi wa Israeli, wawakilishi wa IDF wamefahamisha familia ya Bibas kwamba wapendwa wao, Ariel na Kfir Bibas miili yao imetambuliwa.

Kulingana na tathmini zilizofanywa na wataalamu, kulingana na taarifa za kijasusi zinazopatikana kwetu na matokeo ya kitaalamu kutoka kwa mchakato wa kuwatambua, Ariel na Kfir Bibas waliuawa kikatili wakiwa wanashikiliwa mateka na magaidi mnamo Novemba 2023.

Wakati wa mchakato wa utambulisho, ilibainika kuwa maili wa Mama yao uliopokewa jana si wa Shiri Bibas na si wa mateka mwingine yoyote. Hili ni kulingana na vipimo vya kitaalamu.

Huu ni ukiukwaji mkubwa wa shirika la kigaidi la Hamas, ambalo, kulingana na makubaliano, linalazimika kuwarudisha mateka wanne waliowauwa. Tunadai Hamas warejeshe mwili wa SHIRI BIBAS pamoja na mateka wetu wote.

Ariel Bibas, mwenye umri wa miaka minne wakati wa kifo chake, na Kfir Bibas, mwenye umri wa miezi kumi wakati wa kifo chake, walitekwa nyara pamoja na mama yao, Shiri Bibas, kutoka nyumbani kwao huko Nir Oz. Yarden Bibas, baba wa familia, alitoka kuwatetea naye alitekwa nyara mbele ya Shiri na watoto.

Yarden ilirejeshwa kama sehemu ya makubaliano ya kuachiliwa kwa mateka mnamo Februari 1, 2025. Magaidi wanaendelea kuchezea moto na ukiwaunguza dunia isilalamike kuwa wana one wa!!!

Tunashiriki katika huzuni kubwa ya familia ya Bibas katika wakati huu mgumu na tutaendelea kufanya kila juhudi kumrudisha Shiri na mateka wote nyumbani haraka iwezekanavyo.-Msemaji wa IDF

Waarab kwa kweli si watu, nashangaa huko Zanzibar mtu anakubali kufilwa na mwarab kisa dini inamruhusu. Ujinga mwingine huu shida kwa kweli.
 
Back
Top Bottom