Hamas wakiuka makubaliano ya kubadilishana mateka kwa kutourudisha mwili wa Shiri Bibas

Hamas wakiuka makubaliano ya kubadilishana mateka kwa kutourudisha mwili wa Shiri Bibas

Jamaa ukijua mungu wako uko Ulaya wanavyomfikilia na vile ana mke ana mchepuko ana mtoto ata wakusingiziwa sio poa!!!

Ngoja nisiendelee uko nisiwaumize Wenye ustaabu wao!!!
Lkn Faam USHOGA ni zao la WAZUNGU nakupa mfano uko Zanzibar kweli kuna shida kias kuusu Ushoga lkn tatizo sio Uslamu sio Mwarabu

tatizo ni WAZUNGU kujaaa pale ZANZIBAR kama ujawai fika Faam Zanzibar kuna WAZUNGU wengi sana tena awana msimu kila siku Wamejaa ndio wanaleta USHOGA

pale ata LAMU uko Mombasa pia Wamejaa Wazungu nao ndio ao Wanatualibia jamii zetu za watanzania na Kenya!!?

kwani mwarabu ayupo Shinyanga ayupo MBEYA DODOMA Mwanza mbona uko akuna Ushoga !!?? Ukidai Sababu UISLAM haaaaa!! mbona Waislam Wamejazana Lindi Rufiji Handeni Mafya mbona uko akuna shutuma za kuenea Ushoga

bado nakupa mfano ili ujue kuwa Mzungu ndio mwenye USHOGA wake angalia ulivotamalaki uko ULAYA NA MAREKANI kwa WAZUNGU sio WARAABU !!?

nakupeleka na Africa apa apa Tafuta nchi ktk AFRICA zimeruusu Ushoga utakutana na Africa kusini utakutana na Zimbabwe

chunguza izo inch kumejaa Waraabu jibu Hapana kumejaaa WAZUNGU !!?

chunguza tena ipo nchi ktk Africa inawazungu wengi lkn akuna Uĥshoga jibu ni Hapana kwanini!!??.

Je Ipo nchi ya Africa ambayo wazungu sio wengi ikaruusu USHOGA jibu ni akuna !!?

kwaiyo Kadai Sadaka yako kwa mchungaji wako kakurisha matango pori Uwongo afu ww ukamdhawadia sadaka yako uku umerishwa pumba!! Mchungaji akuitendea haki pesa yako!!!?

ilitakiwa aseme ukweli mzungu ndio mtu unatakiwa ufiche makalio asiyaone wala kuzoeyana nao awafwai Shubamit zao!!!

Wachungaji Waongo waongo

awawezi kukwambia Ukweli kumuusu mzungu!!!

Kwao mzungu kajivisha heshima milele amina Sababu ndio anafanana na Mungu wao!!!!

UJUMBE WA LEO

WEKA MBALI MAKALIO NA MZUNGU
Una hasira sana dogo, umeguswa wapi mpaka umeumia hivyo? Kwa taarifa yako, nduguzo Waarab wanaendekeza sana ushoga ila kwao wanashindwa kushikishana ukuta hivyo wanakimbilia Ulaya na wengi wakifika kule wanabadilisha majina yao kuogopa kuchomwa moto na wenzao kuficha haibu. Fika Ulaya ukajionee ndugu zako kina Muddy wanavyofinywa pumbu na wazungu pamoja na Waafrika wafilao. Unajidanganya sana dogo, hivi umejiuliza kwanini masheikh wengi wanafuga na kuflla kina Aunty Muddy?
 
Back
Top Bottom