Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Ni fursa adimu sana jeshi la Israel limetoa la kusimamisha vita kwa siku chache ili kupisha zoezi la kubadilishana mateka na kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingiza Gaza kabla ya zoezi la mashambulizi mazito kuendelea mbele ili kuhakikisha hakuna punje inayoitwa Hamas inabakia Gaza.
Kama Hamas wana akili timamu na wale wote wanaowaunga mkono Hamas huku wakiwatakia mema wapalestina wote, huu ndio muda muafaka zaidi wa kutumia fursa ya kuwaokoa wapalestina wote kutoka kwenye mwendelezo wa kipigo kizito kutoka kwa jeshi la Israeli kwa kuamua kujisalimisha.
Mimi sipendi vita.
Mimi sipendi kabisa kuona damu za wapalestina zinaendelea kumwagika kisa Hamas.
Bora Hamas ikajisalimisha kuepusha maafa kwa wapalestina wengi zaidi.
HERI NUSU SHARI KULIKO SHARI KAMILI.
Kama Hamas wana akili timamu na wale wote wanaowaunga mkono Hamas huku wakiwatakia mema wapalestina wote, huu ndio muda muafaka zaidi wa kutumia fursa ya kuwaokoa wapalestina wote kutoka kwenye mwendelezo wa kipigo kizito kutoka kwa jeshi la Israeli kwa kuamua kujisalimisha.
Mimi sipendi vita.
Mimi sipendi kabisa kuona damu za wapalestina zinaendelea kumwagika kisa Hamas.
Bora Hamas ikajisalimisha kuepusha maafa kwa wapalestina wengi zaidi.
HERI NUSU SHARI KULIKO SHARI KAMILI.