Hamas walivyozivuruga sherehe za mwaka mpya Israel. Mvua ya makombora kutoka Gaza yawatoa mbio na kuwanyamazisha washerehekeaji

Bila kideo ni umbea
 
When the baby killer army is not making TikTok videos or stealing toys in a toy store or desecrating a mosque or humiliating Palestinian civilians....

This picture is when they have to face real men like Johnny Hamas who had his all family killed by IDF, Johnny Hamas had his dignity and land stolen, nothing to lose, he is a beast who will eat you alive because he has been at war his all life, in a struggle for survival living in an open air concentration camp.... while average Zionist "wannabe Rambo" closest contact with war was playing with playstation and occasional paintball games.
"Johnny Hamas will come after you IDF POS, he will aunt your dreams, you will need your diapers at night"
 
Vidio za Rambo sio vita halisi walivyokutana navyo Gaza.
 
usikae mbali sana na dunia kisa hujui kiingereza,hakuna asiyejua israel wamepeleka jeshi GAZA kuua raia,ila juzi zile rocket 20+ zilizorushwa tel aviv wakati wa sherehe za mwaka mpya hata km hazijaua mtu ila zitwafikirisha sana raia wenye akili timamu pale israel kwamba hawa watu kumbe wanaweza kutua vibaya km jeshi letu linavyoua watu wao huko GAZA
Idadi ya vifo vilivyosababishwa na israel GAZA si kitu kwa wapambania uhuru kwa sababu hiyo kamwe haitawafanya wanyooshe mikono juu na kuiacha ardhi yao ila je,HAMAS wakiua raia 1000 tu pale tel aviv itakuwa kitu cha kawaida kwa waisrael au wataomba yeshe!!!
 
@MK254 ngoja huyu mzayuni aje atwambie kama yale maji yalijaa ama bahari ilikauka maana hawachelewi hawa majama
Enheee kwako mzayuni
 
Sasa wanashindwa vip kuua hao watu? Nilichoandika na ulichoandika ni vitu viwili tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…