Waswali Ijumaa huwa hazimo kichwaniHawa watu Wana hadaa sana. Hivi hao mateka 70 au 200 Wana thamani kubwa kuliko maelfu ya wanaoendelalea kufa?, Wana thamani kubwa kuliko Waisraeli zaidi 1400 waliokwisha kufa?, Wana thamani kubwa kuliko Wapalestina zaidi ya elfu 11 waliokwisha kufa?.
Hao mateka Wana kosa gani la kivita kwa mfano?
Kwanini waandamane wakati kipigo chaonekana?Sijasikia wazungu wakiandamana kuwapinga Hamas kwa utekaji.
Hao viongozi wa Hamas wako wapi? Au wako nje ya nchiJamaa wameongeza idadi, mwanzo walisema wataachia 15, sasa wameongeza idadi hadi 70.
---
Hamas Says Ready To Release 70 Hostages In Return For 5-Day Truce
The armed wing of Palestinian group Hamas said on Monday they told Qatari mediators that the group is ready to release up to 70 women and children held in Gaza in return for a five-day truce.
"The truce should include a complete ceasefire and allowing aid and humanitarian relief everywhere in the Gaza Strip," Abu Ubaida, the spokesman for the armed wing of Hamas, Alqassam Brigades,. said in a recorded audio published on the group's Telegram channel.
He went on to accuse Israel of "procrastinating and evading" the price of the deal.
Wasiwape pumzi hata sekunde magaidi hao, wanataka muda wa kuandaa makombora mengine, Shwaini hao.Jamaa wameongeza idadi, mwanzo walisema wataachia 15, sasa wameongeza idadi hadi 70.
---
Hamas Says Ready To Release 70 Hostages In Return For 5-Day Truce
The armed wing of Palestinian group Hamas said on Monday they told Qatari mediators that the group is ready to release up to 70 women and children held in Gaza in return for a five-day truce.
"The truce should include a complete ceasefire and allowing aid and humanitarian relief everywhere in the Gaza Strip," Abu Ubaida, the spokesman for the armed wing of Hamas, Alqassam Brigades,. said in a recorded audio published on the group's Telegram channel.
He went on to accuse Israel of "procrastinating and evading" the price of the deal.
Israel isikubali kabisa huu mpango. Wanezidiwa,hawana chakula ,madawa, maji ,hawana umeme kwenye mashimo, wanakuja na sharti misaada itolewe maeneo yote ya Gaza, hii imelenga nao wapate ama kwa kuipokea na kuipeleka mashimoni.Jamaa wameongeza idadi, mwanzo walisema wataachia 15, sasa wameongeza idadi hadi 70.
---
Hamas Says Ready To Release 70 Hostages In Return For 5-Day Truce
The armed wing of Palestinian group Hamas said on Monday they told Qatari mediators that the group is ready to release up to 70 women and children held in Gaza in return for a five-day truce.
"The truce should include a complete ceasefire and allowing aid and humanitarian relief everywhere in the Gaza Strip," Abu Ubaida, the spokesman for the armed wing of Hamas, Alqassam Brigades,. said in a recorded audio published on the group's Telegram channel.
He went on to accuse Israel of "procrastinating and evading" the price of the deal.
Warabu ni bora wengi ni wa kweli 80% Wazungu lini walikuwa wa kweli ukipata ni 10% wa Israel ni 5% ndio wa kweli.Mkuu source yako waarabu 🤣🤣🤣🤣???
Dah! Njemba kanigwa kweli kweli (hapo ujue ni almost three fold ya idadi ya awali).Jamaa wameongeza idadi, mwanzo walisema wataachia 15, sasa wameongeza idadi hadi 70.
---
Hamas Says Ready To Release 70 Hostages In Return For 5-Day Truce
The armed wing of Palestinian group Hamas said on Monday they told Qatari mediators that the group is ready to release up to 70 women and children held in Gaza in return for a five-day truce.
"The truce should include a complete ceasefire and allowing aid and humanitarian relief everywhere in the Gaza Strip," Abu Ubaida, the spokesman for the armed wing of Hamas, Alqassam Brigades,. said in a recorded audio published on the group's Telegram channel.
He went on to accuse Israel of "procrastinating and evading" the price of the deal.
NAKAZIA.Hakuna ceasefire hao magaidi wawaachilie hao mateka bila masharti na wao ni nani kuwapa Israel masharti, hata hawana aibu hawajui hilo ni taifa teule la Mungu wa ukweli (Jehova). Bogus kabisa.
Hanas hawasikii maandamano wanachojua Risasi tu.Masikio wameziba na super glueSijasikia wazungu wakiandamana kuwapinga Hamas kwa utekaji.
Hata wakiachia wote bado kibano kitaendelea kuwapata hadi watimize sharti la kujisalimisha wao (in person)na silaha zao zote.. Vinginevyo wanaenda kufutwa kwenye uso wa dunia. Chezea mwingine Usicheze na Myahudi - Atakupasua bandama broo.Kwanini 70?
Achieni wote au kibano kiendelee kuwapata hadi mtoweke ktk uso wa dunia!
Myahudi sio mjinga ki-vile. Tusubiri.
View: https://youtu.be/ANKSbhVK-4E?si=D3Gch-ccRJXCO1xV
Abu Obaida anajibu uwongo wa mtoa mada, anasema kwenye dealing ambayo Israel ka offer ni atawachia watoto wa Palestine 200 na wanawake 275 na watasimamisha vita wao siku tano ili Hamasi awachie wanawake 70 wa Israel
Hawana jinsi vita vinaenda vibaya upande wakeMyahudi sio mjinga ki-vile. Tusubiri.
Hatujamsikia Israel akilia-lia lia kama HAMAS. Huo ni uthibitisho kuwa amemkamatia HAMAS chini na kamkunja kweli kweli. Hana sababu ya kulia lia kwani vita anavimudu sawia.Hawana jinsi vita vinaenda vibaya upande wake
Waambie mabasha zako si ndiyo wanauwa watoto na mama zaoWaonee huruma hiki kizazi chenu....usivimbiwe ubwabwa hapo na kubweteka.
Yote hayo (kama ni kweli hiyo picha) HAMAS; HAMAS ndio kimsingi walio pelekea hayo yatokee kwa kitendo chao cha tar.7/10/2023. Halafu inashangaza sana wamefanya tukio hadharani na kujisifu, lakini leo wanakuja na kauli fikirishi wanakataa eti hawakufanya hivyo ila ni Israel. Ajabu.Waambie mabasha zako si ndiyo wanauwa watoto na mama zao