Hamas wapigana kiume Gaza nzima. Warusha makombora ndani ya Israel. Yafukuzana na IDF na kuwaua kadhaa

Hamas wapigana kiume Gaza nzima. Warusha makombora ndani ya Israel. Yafukuzana na IDF na kuwaua kadhaa

Hamas wanawasababishia wapalestina mateso makubwa na gaza imeharibika na wanaendelea kuirushia israel maroketi na israrl ndio anazidi kuichakaza gaza
Baada ya dhiki ni faraja.hayo mateso ni ya muda tu.
 
Hao Wahouthi wa Yemen wanafunga Bahari yanini ndio wanaotuongezea bei za bidhaa kwasababu meli zinazokuja Afrika Mashariki zinabidi kuzungukia Cape Town.
 
Mapigano makali yasiyotarajiwa yametokea juzi siku ya Jumamosi maeneo yote ya Gaza,kaskazini mpaka kusini.

Katika purukushani hiyo kikosi cha Qassam kimesema kimewaua askari wengi wa Israel.

Hata hivyo Israel imekiri kupoteza askari wawili tu na kudai imewaua wapiganaji kadhaa wa Hamas na wengine kuwakamata.

Hali hiyo imeshangaza kwani imetokea maeneo mpaka ya jiji la Gaza ambako awali IDF walitangaza kuusafisha mji huo kutokana na wapiganaji wa Hamas.

Ving'ora vilisikika kwenye miji ya kusini ya Israel kuashirria kurushwa kwa makombora ya Hamas kutoka Gaza.

Matukio hayo ya kukatisha tamaa kwa IDF yametokea wakati vita vikiingia mwezi wa 5 bila kufikiwa malengo ya vita yaliyotangazwa na huku juhudi kubwa zikifanyika vita visitishwe moja kwa moja.

Israel, Hamas skirmish throughout Gaza as talk of truce resurfaces

Wapewe Pole magaid wa kiisrael.
 
Mapigano makali yasiyotarajiwa yametokea juzi siku ya Jumamosi maeneo yote ya Gaza,kaskazini mpaka kusini.

Katika purukushani hiyo kikosi cha Qassam kimesema kimewaua askari wengi wa Israel.

Hata hivyo Israel imekiri kupoteza askari wawili tu na kudai imewaua wapiganaji kadhaa wa Hamas na wengine kuwakamata.

Hali hiyo imeshangaza kwani imetokea maeneo mpaka ya jiji la Gaza ambako awali IDF walitangaza kuusafisha mji huo kutokana na wapiganaji wa Hamas.

Ving'ora vilisikika kwenye miji ya kusini ya Israel kuashirria kurushwa kwa makombora ya Hamas kutoka Gaza.

Matukio hayo ya kukatisha tamaa kwa IDF yametokea wakati vita vikiingia mwezi wa 5 bila kufikiwa malengo ya vita yaliyotangazwa na huku juhudi kubwa zikifanyika vita visitishwe moja kwa moja.

Israel, Hamas skirmish throughout Gaza as talk of truce resurfaces

Kiume ndio nini?
 
Hii ngoma bado mbichi Iran ndio anawahenyesha hapo middle east yeye anadhani Gaza ndio tatizo unless taifa la Iran lifutike ndio atapata aman vinginevyo zayuni hatoboi
 
Hii ngoma bado mbichi Iran ndio anawahenyesha hapo middle east yeye anadhani Gaza ndio tatizo unless taifa la Iran lifutike ndio atapata aman vinginevyo zayuni hatoboi
Ndio
 
Back
Top Bottom