Hamas waungwa mkono na wengi kote duniani

Hamas waungwa mkono na wengi kote duniani

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wasomi mbali mbali kwenye vyuo vikuu kote ulimwenguni wameonekana kutorudishwa nyuma na propaganda za Israel katika kuwaunga mkono wanamgambo wa Hamas na jumuiya ya wapalestina kwa jumla.Hali hiyo imeonekana Marekani,China mpaka Japan.
Huko Uiengereza na Ufaransa kumekuwa na kishindo kikubwa cha uungaji mkono huo kiasi kwamba wizara za mambo ya ndani ya nchi hizo zimetishia kuwafukuza wote wale wanaoonesha hisia hizo ambao ama ni wanagunzi au wanaoishi kwa viza za aina tofauti.Hata hivyo idadi ya wanaoiunga mkono Hamas na kutaja madhila ya Palestina wako ambao wala si wageni wa nchi hizo.
Nionavyo mimi huwezi kuzuia maji ya mbua yasifuate mkondo wake kuelekea baharini.
 
Wasomi mbali mbali kwenye vyuo vikuu kote ulimwenguni wameonekana kutorudishwa nyuma na propaganda za Israel katika kuwaunga mkono wanamgambo wa Hamas na jumuiya ya wapalestina kwa jumla.Hali hiyo imeonekana Marekani,China mpaka Japan.
Huko Uiengereza na Ufaransa kumekuwa na kishindo kikubwa cha uungaji mkono huo kiasi kwamba wizara za mambo ya ndani ya nchi hizo zimetishia kuwafukuza wote wale wanaoonesha hisia hizo ambao ama ni wanagunzi au wanaoishi kwa viza za aina tofauti.Hata hivyo idadi ya wanaoiunga mkono Hamas na kutaja madhila ya Palestina wako ambao wala si wageni wa nchi hizo.
Nionavyo mimi huwezi kuzuia maji ya mbua yasifuate mkondo wake kuelekea baharini.
Imeungwa na miislam mienzako tu.
 
Wasomi mbali mbali kwenye vyuo vikuu kote ulimwenguni wameonekana kutorudishwa nyuma na propaganda za Israel katika kuwaunga mkono wanamgambo wa Hamas na jumuiya ya wapalestina kwa jumla.Hali hiyo imeonekana Marekani,China mpaka Japan.
Huko Uiengereza na Ufaransa kumekuwa na kishindo kikubwa cha uungaji mkono huo kiasi kwamba wizara za mambo ya ndani ya nchi hizo zimetishia kuwafukuza wote wale wanaoonesha hisia hizo ambao ama ni wanagunzi au wanaoishi kwa viza za aina tofauti.Hata hivyo idadi ya wanaoiunga mkono Hamas na kutaja madhila ya Palestina wako ambao wala si wageni wa nchi hizo.
Nionavyo mimi huwezi kuzuia maji ya mbua yasifuate mkondo wake kuelekea baharini.
Na wanasemaje kuhusu Hamas walipoanza kwa kuua na kuteka Waisrael?
 
Na wanasemaje kuhusu Hamas walipoanza kwa kuua na kuteka Waisrael?
wao walishangilia na kuwapa burudani ya kicheko. ingawa wanwake walirepiwa lakini hawakujali hilo ila ni kufurahia vifo na huzuni za wayahudi tuu. wewe ngoja zamu yao ya kuandamana mitaani kulilia lia kichapo apatacho Hamas inakuja.
 
wao walishangilia na kuwapa burudani ya kicheko. ingawa wanwake walirepiwa lakini hawakujali hilo ila ni kufurahia vifo na huzuni za wayahudi tuu. wewe ngoja zamu yao ya kuandamana mitaani kulilia lia kichapo apatacho Hamas inakuja.
Patiently, waiting for it!
 
Wasomi mbali mbali kwenye vyuo vikuu kote ulimwenguni wameonekana kutorudishwa nyuma na propaganda za Israel katika kuwaunga mkono wanamgambo wa Hamas na jumuiya ya wapalestina kwa jumla.Hali hiyo imeonekana Marekani,China mpaka Japan.
Huko Uiengereza na Ufaransa kumekuwa na kishindo kikubwa cha uungaji mkono huo kiasi kwamba wizara za mambo ya ndani ya nchi hizo zimetishia kuwafukuza wote wale wanaoonesha hisia hizo ambao ama ni wanagunzi au wanaoishi kwa viza za aina tofauti.Hata hivyo idadi ya wanaoiunga mkono Hamas na kutaja madhila ya Palestina wako ambao wala si wageni wa nchi hizo.
Nionavyo mimi huwezi kuzuia maji ya mbua yasifuate mkondo wake kuelekea baharini.
Title yako Ilipaswa kusomeka"

Hamas waungwa mkono na Waislam wengi kote duniani"​

 
Title yako Ilipaswa kusomeka"

Hamas waungwa mkono na Waislam wengi kote duniani"​

Naona kila mmoja kati yenu amechanganyikiwa wakiwemo moderators.Kuna sehemu niliandika waislamu mkasema Sema ni Waarabu na moderatori akakubali akabadili jina la uzi. Hapa nimesema ni watu wengi unasema Sema ni waislamu
Hebu soma habari hii uniambiae umewezaje kujua watu hao kuwa ni waislamu peke yao.

US Student Groups Blaming Israel for Violence Face Backlash

 
Wasomi mbali mbali kwenye vyuo vikuu kote ulimwenguni wameonekana kutorudishwa nyuma na propaganda za Israel katika kuwaunga mkono wanamgambo wa Hamas na jumuiya ya wapalestina kwa jumla.Hali hiyo imeonekana Marekani,China mpaka Japan.
Huko Uiengereza na Ufaransa kumekuwa na kishindo kikubwa cha uungaji mkono huo kiasi kwamba wizara za mambo ya ndani ya nchi hizo zimetishia kuwafukuza wote wale wanaoonesha hisia hizo ambao ama ni wanagunzi au wanaoishi kwa viza za aina tofauti.Hata hivyo idadi ya wanaoiunga mkono Hamas na kutaja madhila ya Palestina wako ambao wala si wageni wa nchi hizo.
Nionavyo mimi huwezi kuzuia maji ya mbua yasifuate mkondo wake kuelekea baharini.
Pumba tupu, hakuna mtu mwenye akili akaunga mkono unyama unaofanywa na wale magaidi.
 
Pumba tupu, hakuna mtu mwenye akili akaunga mkono unyama unaofanywa na wale magaidi.
Wewe unaona pumba .Maprofesa wa nchi za magharibi wanaojua historia lawama wanaiangushia Israel.Unyama wa Hamas kama ni unyama umeuona mara moja.Viongozi wao wanasema wamefanyiwa hivyo wao mwanzo na kwa muda mrefu zaidi ya miaka 75.
Kumbe Israel inajua watoto na wanawake kwenye vita wana thamani sana.Haraka wamegeuza kibao kuonesha Hamas imeuwa watoto na wenyewe wamekanusha na video za mwanzo waisrael wenyewe walithibitisha hilo.Lakini kama watoto wana thamani mbona wamewauwa watoto wa kipalestina wazi wazi kwa mabomu na hata jana wamewauwa kwenye msafara wa kuhama kutoka kaskazini kuelekea kusini.
 
Naona kila mmoja kati yenu amechanganyikiwa wakiwemo moderators.Kuna sehemu niliandika waislamu mkasema Sema ni Waarabu na moderatori akakubali akabadili jina la uzi. Hapa nimesema ni watu wengi unasema Sema ni waislamu
Hebu soma habari hii uniambiae umewezaje kujua watu hao kuwa ni waislamu peke yao.

US Student Groups Blaming Israel for Violence Face Backlash

Wapi nmesema wote wanaosuport ni waislamu tu!?

Unaelewa nlichoandika!?

Ukweli ni kwamba Hao wengi unaowasemea wewe ni Waislam

Ulipaswa kuanza kulaani yale waliyoyafanya Hamas hata kabla ya Israel 🇮🇱 kujibu (then ndo turudi kuangaza yanyuma)
 
Wapi nmesema wote wanaosuport ni waislamu tu!?

Unaelewa nlichoandika!?

Ukweli ni kwamba Hao wengi unaowasemea wewe ni Waislam

Ulipaswa kuanza kulaani yale waliyoyafanya Hamas hata kabla ya Israel 🇮🇱 kujibu (then ndo turudi kuangaza yanyuma)
Hapa JF hatuna kanuni hizo unazozitaka wewe.Eti kwanza nilaumu Hamas halafu ndio niseme mengineyo. Uzi huu hapa zaidi umeripoti taarifa sahihi cha kinachosemwa nje. Na kama JF itasema kabla mtu kuripoti au kutoa maoni yake lazima kwanza atoe msimamo wake ya upande anauunga mkono basi mimi nitakuwa upande wa hao watu wa Ulaya na mashariki ya kati wanaoilaan Israel kwa unyama wake.
 
Hapa JF hatuna kanuni hizo unazozitaka wewe.Eti kwanza nilaumu Hamas halafu ndio niseme mengineyo. Uzi huu hapa zaidi umeripoti taarifa sahihi cha kinachosemwa nje. Na kama JF itasema kabla mtu kuripoti au kutoa maoni yake lazima kwanza atoe msimamo wake ya upande anauunga mkono basi mimi nitakuwa upande wa hao watu wa Ulaya na mashariki ya kati wanaoilaan Israel kwa unyama wake.
Yaani pamoja na kuandika kwangu kote nludhani utanielewa kwanini nmeandika hayo yote,

Andiko lako lipo kidini zaidi,

Andiko lako lipo katika kutetea upande mmoja hasa wa kiislamu

Mtizamo wako wa kidini umekamata reasoning yako yote ndiyo maana huelewi hata.

Na ni lazima tu utaona kwamba hao Hamas (magaidi) wao jawana kosa.

Unaelewa hilo

Ili uwe neutral katika maongezi yako, Nmekwambia unapaswa kulaani unyama uliofanywa na Hamas week iliyopita, then ndo utoe hoja yako,

Kutokufanya hivyo maana yake ni kwamba unakubali na kusuport ugaidi uliofanywa na Hamas.

"Tunataka dunia iliyostaarabika"
 
Sema wanaungwa mkono na waarabu wenzao. Yani mvamizi ndio aungwe mkono.
 
Sema wanaungwa mkono na waarabu wenzao. Yani mvamizi ndio aungwe mkono.
Tuseme wanaungwa mkono na wapenda haki kote duniani.Kuna vitu vikitokea huwezi kubadili ukweli wake.
 
Tupo pamoja na ndugu zetu wapalestina mpaka haki ipatikane na ardhi ilirudi.

#prayforpalestina[emoji1193]
 
Utakuta kuna muislam wa buguruni au kimboka aliye kosa futari baada ya kushinda njaa eti kafunga na yeye anaumia kwa vita ya wayaudi na wa gaza.........
 
Tupo pamoja na ndugu zetu wapalestina mpaka haki ipatikane na ardhi ilirudi.

#prayforpalestina[emoji1193]
Koran 5:21. Enyi watu wangu!(waisrael) Ingieni katika nchi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuandikieni.
 
Back
Top Bottom