Hamas ni kisiki kwa Israel1. Kwamba Israel na Marekani walihitaji mapumziko uchwara ya wiki 6 kurejelewa vita baada ya Ramadhani.
2. Kwamba katika kipindi hicho waachiliwe mateka wao wote nao wataachia mamia ya wafungwa.
View attachment 2927238
Mpango gani huo?
Truce maana yake vita kusimama, Israel kuondoka Gaza, kuwajibishwa kwa mvamizi na hatua thabiti kuchukuliwa sasa kuhikikisha uchokozi kama huu unakoma milele:
Two states solution.
waliokufa 27k bado mnataka wamalize palestina nzima muingie kwene Palestina holocaust.1. Kwamba Israel na Marekani walihitaji mapumziko uchwara ya wiki 6 kurejelewa vita baada ya Ramadhani.
2. Kwamba katika kipindi hicho waachiliwe mateka wao wote nao wataachia mamia ya wafungwa.
View attachment 2927238
Mpango gani huo?
Truce maana yake vita kusimama, Israel kuondoka Gaza, kuwajibishwa kwa mvamizi na hatua thabiti kuchukuliwa sasa kuhikikisha uchokozi kama huu unakoma milele:
Two states solution.
Njia za kudai uhuru ni ngumu saana hata Mandela aliteseka miaka 27 !waliokufa 27k bado mnataka wamalize palestina nzima muingie kwene Palestina holocaust.
Usichezee watu waliosavive genocide wanahasira ukiua mmoja wao wataua 1000
1. Kwamba Israel na Marekani walihitaji mapumziko uchwara ya wiki 6 kurejelewa vita baada ya Ramadhani.
2. Kwamba katika kipindi hicho waachiliwe mateka wao wote nao wataachia mamia ya wafungwa.
View attachment 2927238
Mpango gani huo?
Truce maana yake vita kusimama, Israel kuondoka Gaza, kuwajibishwa kwa mvamizi na hatua thabiti kuchukuliwa sasa kuhikikisha uchokozi kama huu unakoma milele:
Two states solution.
Kwani sasa wana UHURU gani sasa?Njia za kudai uhuru ni ngumu saana hata Mandela aliteseka miaka 27 !
Viongozi wa hamas wanakataa mapumziko huko wao wamejificha lebanon, Qatar, syria wapalestina wanaendelea kukaangwa na mabomu ya israel1. Kwamba Israel na Marekani walihitaji mapumziko uchwara ya wiki 6 kurejelewa vita baada ya Ramadhani.
2. Kwamba katika kipindi hicho waachiliwe mateka wao wote nao wataachia mamia ya wafungwa.
View attachment 2927238
Mpango gani huo?
Truce maana yake vita kusimama, Israel kuondoka Gaza, kuwajibishwa kwa mvamizi na hatua thabiti kuchukuliwa sasa kuhikikisha uchokozi kama huu unakoma milele:
Two states solution.
Kichapo kinaendelea na hakuna kipya Hamas watapata. So sad ujinga ujinga1. Kwamba Israel na Marekani walihitaji mapumziko uchwara ya wiki 6 kurejelewa vita baada ya Ramadhani.
2. Kwamba katika kipindi hicho waachiliwe mateka wao wote nao wataachia mamia ya wafungwa.
View attachment 2927238
Mpango gani huo?
Truce maana yake vita kusimama, Israel kuondoka Gaza, kuwajibishwa kwa mvamizi na hatua thabiti kuchukuliwa sasa kuhikikisha uchokozi kama huu unakoma milele:
Two states solution.
Wazipige tu HAKUNA namnaVita inapisha mfungo wa Ramadhan [emoji23]
waliokufa 27k bado mnataka wamalize palestina nzima muingie kwene Palestina holocaust.
Usichezee watu waliosavive genocide wanahasira ukiua mmoja wao wataua 1000
Msilalamike tu.
Kwani sasa wana UHURU gani sasa?
Kwa mawazo kama yako Tanzania ingekuwa ingali koloni.WAPUUZI wakubwa. Raia wa Gaza wanateketea. Wao hamas wapo mafichoni. Msemaji wa hamas anatoa matamko akiwa Lebanon. Ni upuuzi mkubwa.
Ukombozi gan wwKulalamika kuwa Israel ni mvamizi mwenye kuikalia Gaza kinyume cha sheria za kimataifa kutaendelea hadi ukombozi kamili utakapopatikana:
Two states solution.
Wale masheikh akina Mwaipopo wana undugu na DP WORLD?jitihada zao zilikuwa ni athari za kikoloni na utumwa.1. Waliokufa ni zaidi ya 31k kinachoendelea ni genocide ndiyo maana bazazi kaburuzwa ICJ.
2. Anayeuwa anataka mapumziko ya wiki 6 apewe mateka wake wote kwanza Ili aendelee baada ya hapo.
3. Ungekuwa wewe ungekubaliana naye Hilo?
4. Kumbuka hamas kama maji maji, Mai mau au mapinduzi matukufu ya Zanzibar wako kwenye ukombozi wa nchi yao.
5. Kwa mawazo kama yako ukoloni ungali kuwapo bado Tanzania.