HAMAS wayakataa mapumziko uchwara ya vita, Ramadhani

HAMAS wayakataa mapumziko uchwara ya vita, Ramadhani

Amejibu kisiasa; waislamu wenzenu wa Uighur waulizeni China inawafanya nini. Kwa kuona kuwa tatizo ni Quran yenu, waislam wa huko hukusanywa na kupelekwa rehabilitation kusafisha ubongo wao na mafundisho ya kishetani

".. waislam wenzenu .." ??!!

Unausoma wapi uislamu huo kiasi cha kuandika hivyo?

Nitakuwa na tofauti gani nawe nikikuita mmkonde, mrundi au mmasai?

Bure kabisa!
 
mimi km team Hamas naunga mkono swala la kutosimamisha vita kwa mda...kama si parmanent basi kipigwe tu mpk pomoni,kwani wao si ndo taifa teuli wanaogopa nn

Kusimama kwa muda eti poo, kuendelea baadaye ni pendekezo la kijinga kutoka kwa mjinga taslimu. Hayawezi kuwapo maelezo ya kuhalalisha hilo, labda kwa wajinga wenzao.
 
".. waislam wenzenu .." ??!!

Unausoma wapi uislamu huo kiasi cha kuandika hivyo?

Nitakuwa na tofauti gani nawe nikikuita mmkonde, mrundi au mmasai?

Bure kabisa!
IMG_3031.png
 
Mada hii haihusu dini. Jukwaa hili si la dini. Wala hujishangai kushupaa na mambo ya dini kusiko husika ndugu?

Bure kabisa!
Nyinyi Waislam ndiyo mmeifanya vita kati ya Israel na Islamists Hamas kuwa ya kidini; na hiyo yote imasababishwa kitabu chenu Cha Kishetani, Qur'an
 
Viongozi wa hamas wanakataa mapumziko huko wao wamejificha lebanon, Qatar, syria wapalestina wanaendelea kukaangwa na mabomu ya israel
Ndiyo ujue mwaarabu hana akili
Wapalestina wanakufa kama nzige huko Gaza, Hamas wapo mafichoni halafu wanajifanya wapiganaji.
Hamas ningewaona wapiganaji kama
1. Wangetangaza vita na Israel
2. Wangekaa mpakani kuwazuia wanajeshi wa Israel wasiingie Gaza
 
Israel inatambua gaidi ni cancer ya Dunia. Piga ua galagaza.
 
Wangekua wamezoea wangekaa kimya kila siku kulia kwene mitandao, kuandamana

wanaandamana nini? mbona israel hawakuandamana wala kulia lia kila siku.

we na ufala wako ndo unahubiriwa wamezoea ili waendeleze juhudi za kupigana na israel lakini si kweli .Wengi wenye uwezo wamekimbia nchi
Wewe kumbe punguani kweli hao mabasha zako Israel kila siku wanalia wanasema kila anayeungq mkono Palestina ni Hamas mpaka UN wanasema ni hamas halafu unakuja na uharo wako eti mbona Israel hawalalamiki. Hivi kwa nini hawa Waisrael weusi wengi uwa majinga majinga kama ilo pimbi eti wengi wenye uwezo wamekimbia nchi unaleta habari za mbege JF
 
Njia za kudai uhuru ni ngumu saana hata Mandela aliteseka miaka 27 !
Shetani kweli hana rafiki, sidhani kama ni Allah ndio aliwaasukuma hamas ambayo haina uwezo wa kujilinda ivamie Israel, kwa mazingira hayo napata ukakasi kama hamas wako kwa ajili ya Wapalestina, baada ya kuanzisha ilitakiwa wapigane kama ni kufa wafie uwanjani. Ground attack ambayo walisema ndio kaburi la IDF wameenda hola.
 
Hivi mbona sioni hamas wakijibu mashambulizi? Naona israel anawabonda tu hata warushi tena roket
Si wapo huku kwao wanaviziwa mmoja mmoja .. of ni more effective kuliko kurusha rocket
 
Israel kwa sasa kawaamulia haswa
Ila Hamas wabishi mno au majini ya mtume
 
Hao Hamas ubavu wa kusimamisha vita wanautoa wapi na wamejificha kwenye mahandaki, mwenye mamlaka ya kusimamisha vita ni Israel tu maana anapiga popote anapojisikia tena bila upinzani wowote.
 
Wewe kumbe punguani kweli hao mabasha zako Israel kila siku wanalia wanasema kila anayeungq mkono Palestina ni Hamas mpaka UN wanasema ni hamas halafu unakuja na uharo wako eti mbona Israel hawalalamiki. Hivi kwa nini hawa Waisrael weusi wengi uwa majinga majinga kama ilo pimbi eti wengi wenye uwezo wamekimbia nchi unaleta habari za mbege JF
We bi Rita Tuliza kinyeo hicho

Dunia nzima mnalia lia mjitulize mpigwe rocket
 
We bi Rita Tuliza kinyeo hicho

Dunia nzima mnalia lia mjitulize mpigwe rocket
Atulile bi mkubwa wako mwambie hivyo mtoto wa kiume unaitwa Shabaz kuna nini kama siyo punga unatafuta Basha Basha Jf
 
1. Kwamba Israel na Marekani walihitaji mapumziko uchwara ya wiki 6 kurejelewa vita baada ya Ramadhani.

2. Kwamba katika kipindi hicho waachiliwe mateka wao wote nao wataachia mamia ya wafungwa.

View attachment 2927238

Mpango gani huo?

Truce maana yake vita kusimama, Israel kuondoka Gaza, kuwajibishwa kwa mvamizi na hatua thabiti kuchukuliwa sasa kuhikikisha uchokozi kama huu unakoma milele:

Two states solution.
bado waislam hawaon namna gan HAMAS hawaheshimi mfungo wa Ramadhani , na mnaita mapumziko uchwara , HAMAS hajali amani ya dunia bali anaangalia future yake tu
 
Back
Top Bottom