Hamas waziambia nchi 18 vita visimame kwanza kabla ya chochote

Hamas waziambia nchi 18 vita visimame kwanza kabla ya chochote

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Nchi kumi na nane zimejaribu kuwalaghai viongozi wa Hamas kwamba waachie mateka wote ilionao.

Hata hivyo nchi hizo zimekutana na kigingi kutoka viongozi hao wakisema ili mateka hao waachiliwe ni lazima kwanza vita visimame na Israel iondoke Gaza sambamba na watu kuruhusiwa kurudi majumbani kwao.

Nchi hizo kwa mara nyengine zimejisahau kwa kujaribu kuwatisha Hamas bila kuikemea Israel kuiambia iache unyama wake.
 
Waliwa'dogosha' Hamas. Six months later and Billions of dollars, technology and all, bado tu wanahangaika nao.

Msisikie vita tu, watu wamekufa huko, na katika Uwiano huu 1:400? sasa imebakia savagery.
 
Mateka wanaoshikiliwa na Hamas wana thamani kuliko wanajeshi ambao wamefia vitani na wananchi waliotekwa October 7 ,2023, Ukiangalia kwa undani Israel anatumia uhalali wa mateka kuiangamiza Gaza ili irudi nyuma miaka 50 iliyopita, Calculation za vita zimewashinda Hamas, inashika mateka 100 halafu unapoteza watu 34,000 na nchi inaharibika kwa kiwango cha 99% halafu nguvu kazi ya Gaza wengi wamedakwa na jeshi la Israel kama wafungwa wa vita.
 
Mateka wanaoshikiliwa na Hamas wana thamani kuliko wanajeshi ambao wamefia vitani na wananchi waliotekwa October 7 ,2023, Ukiangalia kwa undani Israel anatumia uhalali wa mateka kuiangamiza Gaza ili irudi nyuma miaka 50 iliyopita, Calculation za vita zimewashinda Hamas, inashika mateka 100 halafu unapoteza watu 34,000 na nchi inaharibika kwa kiwango cha 99% halafu nguvu kazi ya Gaza wengi wamedakwa na jeshi la Israel kama wafungwa wa vita.
Ndio vizuri itajengwa upya baadaye. Israel iana mateka wengi na huwa inawaachia wengi halafu inauwa wengi inaposhusha mabomu.

Sioni sababu ya kubadilishana mateka, kila mmoja auwe alio nao. Kuna maana gani kuwaachilia halafu unakuja kuwaua kwa mabomu wengi zaidi ya uliokuwa umewashikilia.

Assume HAMAS ingewaua wote iliowateka, kungekuwa na tofauti gani, maana kama nivita tayari wako vitani. Kutunza mateka ni gharama kubwa sana zisizo na msingi wowote. Kwani waliouwawa na waliotekwa wanatofauti gani, ikiwa wote ni binadamu?

Waache hizi story za mateka, waendelee na vita mpaka tupate mshindi wa kweli.
 
Mateka wanaoshikiliwa na Hamas wana thamani kuliko wanajeshi ambao wamefia vitani na wananchi waliotekwa October 7 ,2023, Ukiangalia kwa undani Israel anatumia uhalali wa mateka kuiangamiza Gaza ili irudi nyuma miaka 50 iliyopita, Calculation za vita zimewashinda Hamas, inashika mateka 100 halafu unapoteza watu 34,000 na nchi inaharibika kwa kiwango cha 99% halafu nguvu kazi ya Gaza wengi wamedakwa na jeshi la Israel kama wafungwa wa vita.
Inasikitisha
 
Nchi kumi na nane zimejaribu kuwalaghai viongozi wa Hamas kwamba waachie mateka wote ilionao.

Hata hivyo nchi hizo zimekutana na kigingi kutoka viongozi hao wakisema ili mateka hao waachiliwe ni lazima kwanza vita visimame na Israel iondoke Gaza sambamba na watu kuruhusiwa kurudi majumbani kwao.

Nchi hizo kwa mara nyengine zimejisahau kwa kujaribu kuwatisha Hamas bila kuikemea Israel kuiambia iache unyama wake.
Mbona wafia dini walishasema hamas wameshinda vita na jeshi la israel limeshindwa vita hapo gaza sasa mnaomba cease fire ya nini? Wakati hamas wameshinda
 
Mateka wanaoshikiliwa na Hamas wana thamani kuliko wanajeshi ambao wamefia vitani na wananchi waliotekwa October 7 ,2023, Ukiangalia kwa undani Israel anatumia uhalali wa mateka kuiangamiza Gaza ili irudi nyuma miaka 50 iliyopita, Calculation za vita zimewashinda Hamas, inashika mateka 100 halafu unapoteza watu 34,000 na nchi inaharibika kwa kiwango cha 99% halafu nguvu kazi ya Gaza wengi wamedakwa na jeshi la Israel kama wafungwa wa vita.
itakuwa hujup thamani ya utu ma uhuru wa binadanu
 
Mateka wanaoshikiliwa na Hamas wana thamani kuliko wanajeshi ambao wamefia vitani na wananchi waliotekwa October 7 ,2023, Ukiangalia kwa undani Israel anatumia uhalali wa mateka kuiangamiza Gaza ili irudi nyuma miaka 50 iliyopita, Calculation za vita zimewashinda Hamas, inashika mateka 100 halafu unapoteza watu 34,000 na nchi inaharibika kwa kiwango cha 99% halafu nguvu kazi ya Gaza wengi wamedakwa na jeshi la Israel kama wafungwa wa vita.
Acha kuwa na akili ya kijinga sio kilakitu mpaka utumie hesabu za kiuchumi kitu unachojisahau parestina ndio taifa pekee halijapata uhuru mpaka hii Leo imebadilika tu mbinu ya kulitawala kwahiyo hamas ni wapigania Uhuru kwahiyo unapopigania Uhuru upo tayar kwa chochote mpaka upate Uhuru wako ww unataka kupiga hesabu za usawa kwan hapo mwanzo huo usawa ulikuwepo ? Parestina bado koloni la muingereza mpaka leo sema wameitawala kwa muundo mwengine ndio maana ukiigusa Israel lazima wawe wakali na Isreal hata afanye nn awawez kulaan uliona wapi mtu anajilaan mwenyewe? Ukolon bado upo vile vile ila umeboreshwa zinduka kijana hata cc tutakuja kusomwa kwenye vitabu kama tunavyowasoma wenzetu huku tukihisi kama walikua watu wajinga
 
Ivi kwanini hawakumshika na mtoto wa Netanyahu
 
Mateka wanaoshikiliwa na Hamas wana thamani kuliko wanajeshi ambao wamefia vitani na wananchi waliotekwa October 7 ,2023, Ukiangalia kwa undani Israel anatumia uhalali wa mateka kuiangamiza Gaza ili irudi nyuma miaka 50 iliyopita, Calculation za vita zimewashinda Hamas, inashika mateka 100 halafu unapoteza watu 34,000 na nchi inaharibika kwa kiwango cha 99% halafu nguvu kazi ya Gaza wengi wamedakwa na jeshi la Israel kama wafungwa wa vita.
Usisikilize propaganda za Hamas.. gazan waliuwawa Magaidi na raia hawafiki hiyo idadi inayokuzwa kwa manufaa ya Hamas ili kuichafua Israel.. uongo huwa hauna nguvu dhidi ya ukweli.. Israel haichafuki kwenye mioyo ya watu wazuri au wenye kuelewa.

Kiufupi Hamas wao hawana cha loose so watafanya kila wawezalo uongo na ukweli kumix alimradi waonekane wanaonewa.. walishasema wazi kulinda raia wao si jukumu lao ni la UN na Dunia mahandaki ni for themselves only.. so eneo au popote watatumia kumshambulia adui wao.. na wamesema hata vita ikiisha wanajipanga tena kufanya tukio kama la October 7.

Mateka ni mtaji mkubwa wa magaidi wote duniani.

Hamas must go
 
Back
Top Bottom