Hamas yaendelea kuwaachia mateka ambao si waisrael bure kabisa

Hamas yaendelea kuwaachia mateka ambao si waisrael bure kabisa

Kuonesha kuwa Hamas vita vyao ni baina ya Palestina na Israel imeendelea kuwaachia mateka ilionao ambao ni raia wa mataifa mengine bure kabisa. Hii inaonekana kuwakamata kwao ilikuwa ni kwa bahati mbaya tu.

Hapo jana raia 10 wa Thailand na mfilipino mmoja waliachiwa kwa mshtuko wa wengi pamoja na waisrael wanawake na watoto 13 kwa kubadililishana na wafungwa 39 wa kipalestina kwenye magereza ya Israel
Leo kabla ya ukorofi ulioletwa na Israel ,Hamas wamepanga kuwaachia mateka 13 wa Israel na raia wa kigeni karibu 20 kwa mabadilishano na idadi ile ile ya wapalestina 39 kwenye magereza hayo.

Kwa hali inavyokwenda inaonesha Hamas ina mateka wengi kuliko wanaojulikan na Israel na wako ambao Israel ilikwishatanga wamefariki miongoni mwa raia wake lakini jana ghafla mmoja akatoka akiwa hai na kurudishwa kwa watu wake huko Israel.
Kwanini sasa iliwateka?
Kwanini amekaa nao muda wote huo?
 
Walikamatwa kwa sababu walikuwa ndani ya Israel na enro la mission.
Na hawakuwajua kwa muda ule wa kimbunga.Hata polisi wetu. wanafanya hivyo hivyo wakati wa kukamata wahalifu.
Sisi polisi wetu baada ya hapo wanaweza wakakusababishia madhara lakini Hamas wamewatunza vizuri ukiondoa hao waliouliwa na mabomu ya IDF.
 
Mateka wa mwisho kuachiwa watakuwa Wamarekani
Hamas katika majadiliano na mayahudi wako vizuri sana.Wakitaka kuvunja makubaliano wako macho kabisa.
Israel imeendelea kuwepo kutokana na uhalifu na hadaa.
Kabla mwaka 1948 walikuja kama maskini wanaotaka kufanya kazi kwenye mashamba ya mayahudi,halafu wakapewa pesa wakajifanya wanunuzi wa ardhi.Na hatimae wakawa wanawafukuza majirani zao kwa nguvu na mwishowe kwa jeshi.
Hivyo wataachia akinamama na watoto wote isipokuwa hao magaidi.
 
Back
Top Bottom