Hamas yakubali pendekezo la kusitisha mapigano, wananchi wa Rifah washangilia

Hamas yakubali pendekezo la kusitisha mapigano, wananchi wa Rifah washangilia

Wakristo wenzangu kwenye hili ndio natofautiana na nyie, huwezi ua watoto na watu wasio na hatia then useme israel taifa teule, huyo Mungu gani?
Israeli lilikuwa taifa teule ila Mungu alishawakataa

Baada ya Wayahudi kuwakataaa na kuwaua manabii wa Mungu
 
Israel leo ilikuwa ianze kupeleka moto kule Rafah ambako ndio pekee kumebaki maana kwingine kote kumebaki magofu tu.

HAMAS wametafakari wameona hapa sasa hakuna pa kukimbilia. Maji yamewafika shingoni.

Kwingineko masenator wa USA wameiambia ICC hivi "if you hurt Israel we will hurt you"
 

Attachments

  • IMG_20240506_210133_786.jpg
    IMG_20240506_210133_786.jpg
    153.8 KB · Views: 3
Kwani Israeli imeshinda vita?

Jibu ni HAPANA

Ninachojua Hamas wamefuata proposal iliyotolewa na Qatar na Egypt ya kusitisha mapambano
 
Gaza kumekucha huko wananchi wanazurura mitaani wakiimba na kumshukuru Mungu baada ya Hamas kukubali masharti ya Israel muda huu.

Kwakweli Mungu ni mwema anajibu wamekufa wengi sana na sasa tuseme imetosha waliobakia waendelee na maisha ila adabu wamekipata walichokitafuta.


======
Kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh ametuma neno la kundi hilo kukubali pendekezo la wapatanishi, Qatar na Misri kusitisha mapigano.
  • Maelfu ya watu wamekimbia mashariki mwa Rafah baada ya Israel kuwataka kuondoka ikijiandaa na mpango wa mashambulizi kwenye mji huo
  • Hamas imesema mashambulizi ya Majeshi ya Israel haitakuwa 'Picnic' na imejiandaa kuwalinda raia wa Palestina.
Chanzo ndani ya Jeshi la Israel kimenukuliwa na Reuters kikisema Hamas wamekubali pendekezo laini la Misri ambalo halikubaliki kwa Israel. Vyombo vya habari vya Israel pia vimesema Serikali ya Israel havijakubali mpango huo.


Kipigo kiko pale pale according to Israel..!!
 
Wakristo wenzangu kwenye hili ndio natofautiana na nyie, huwezi ua watoto na watu wasio na hatia then useme israel taifa teule, huyo Mungu gani? Labda ni Mungu kichaa huyo, ndio maana hizi dini naziona ni vyama vya kisiasa vya kale, uongo ongo mtupu, ila ndio ivyo sunday school na madrasa zimewaminisha na nyie mmekalili
Mtoto wa nyoka ni nyoka na mtoto wa gaidi ni gaidi

Mtoto wa Hamas ni Hamas
 
Pole inaelekea binti palestina huenda akakataliwa na dume Israel maana aljazeera wanasema
unnamed Israeli official quoted by the Reuters news agency says Hamas has approved a “softened” Egyptian proposal that is not acceptable to Israel.

Dah kama itakuwa hivyo basi kweli palestina si rizki ni mbuzi wa maskini asiyezaa.

1. Ushabiki wa Simba na Yanga au dini zenu Si tulishakubaliana mwende vijiweni huko?

2. Kukubali Kwa HAMAS hapa si Bure:

IMG_20240506_212352.jpg


2. HAMAS ametaka guarantee hii siku zote, Kwa nini asi sign?

3. Mpira ulipo anasubiriwa mchumba tu.

IMG_20240506_213402.jpg


4. Naye atabana atabana, ila ataachia tu:

IMG_20240506_213828.jpg
 
06 MAY 2024
Jerusalem, Israel

LEO KUMBUKUMBU YA MAUAJI YA KIMBARI DHIDI YA WAYAHUDI VITA KUU YA DUNIA HILO HATUJASAHAU NA PIA HATUTASINZIA KWA LILOTOKEA OKTOBA 7 2024


View: https://m.youtube.com/watch?v=tSlUbqsJYzM
Israel leo 6 May 2024 imeadhimisha Kumbukumbu ya mauaji ya kimbari wayahudi 6,000,000 yaliyowakumba katika vita kuu ya pili.

Na waziri mkuu wa Israel amesema leo takribani miaka 80 tangu vita kuu ya dunia iliyoisha 1945 bado wayahudi tunakabiliwa na mauaji ya kimbari yaliyotokea 7 October 2023 yaliyoratibiwa na HAMAS dhidi ya wayahudi.

Israel haitalegea kutokana na mbinyo wowote kutoka nje kuwa operasheni dhidi ya HAMAS isitishwe, ni sisi tu ndiyo tuna ufahamu wa kilicho chema kwa usalama wetu. Operasheni yetu kuwafumua HAMAS kutoka maeneo ya Rafah ipo palepale hadi tutapotimiza malengo yetu ya kufanya Israel isiwe na tishio jingine toka kwa maadui wetu kutoka ukanda wa Gaza waziri mkuu Benjamin Netanyahu amesisitiza.
 
Wanakumbi.

BREAKING: HAMAS IMEKUBALI RASMI MKATABA WA KUSIMAMISHA VITA

ISRAEL HAIJAJIBU NDIYO

MASHARTI YA MAPENZI:

1. Kusitisha mapigano mara moja:
Pande zote zinakubali kusitishwa kwa mapigano mara moja, ambayo ni pamoja na kusitisha uhasama na hatua za kupambana.

2. Uondoaji wa Hatua kwa Hatua kutoka Gaza ya Kati:
Utaratibu umeanzishwa wa uondoaji wa taratibu wa vikosi kutoka kwa mhimili wa Netsarim na Mtaa wa Al-Rashid kwa muda maalum.

3. Uondoaji Kamili kwa Mipaka ya Kabla ya Oktoba 7:
Vikosi vyote viliondoka nyuma ya mipaka inayotambulika kimataifa kabla ya Oktoba 7, na kusababisha kutoshiriki kabisa.

4. Mkataba wa Kubadilishana Wafungwa:
Mabadilishano ya wafungwa hufanyika ndani ya siku, ikifuatiwa na mazungumzo zaidi ya kujadili kubadilishana kwa askari na wafungwa waliohukumiwa kifungo cha maisha.

5. Baada ya kupata dhamana, makubaliano hayo yatatekelezwa ndani ya saa 48 kuanzia sasa.


View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1787541916009074980?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
ISRAELI MILITARY SAYS IT IS 'EXAMINING' GAZA CEASEFIRE PROPOSAL ACCEPTED BY HAMAS
 
Watulie sasa, sio wamekubali kuacha vita kwasababu wameishiwa silaha na siku wamezipata tuanze kusikia wameanza vita tena
 
Back
Top Bottom