Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Khe.. jamani news za waislamu hazina tofauti na Quran full uongo na ujinga.. rubbish.. matokeo ya mtihani wa Quran haya4. Kwa taarifa yako Sasa hivi Israel anapumulia machine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khe.. jamani news za waislamu hazina tofauti na Quran full uongo na ujinga.. rubbish.. matokeo ya mtihani wa Quran haya4. Kwa taarifa yako Sasa hivi Israel anapumulia machine
Hivi COVID iliishia wapi??1. Kwa asiyekubaliana na nyie ni HAMAS?
Kuelekea Maridhiano kusimamisha vita, Israel yajikuta njia panda!
2. Kwani Hadi Sasa hujui alichokubali HAMAS ni Nini, makubaliano yalikuwa yapi na alichokuwa hataki ni nini?
3. Pia ungali hujui Israel alikuwa hataki Nini na Yuko kwenye Hali Gani?
Mazungumzo ya kusimamisha vita Gaza, hati hati kukwama; Israel, HAMAS yupi ana hoja?
4. Kwa taarifa yako Sasa hivi Israel anapumulia machine!
View attachment 2983097
Khe.. jamani news za waislamu hazina tofauti na Quran full uongo na ujinga.. rubbish.. matokeo ya mtihani wa Quran haya
Kama ni mkristo na unasoma bibleWakristo wenzangu kwenye hili ndio natofautiana na nyie, huwezi ua watoto na watu wasio na hatia then useme israel taifa teule, huyo Mungu gani? Labda ni Mungu kichaa huyo, ndio maana hizi dini naziona ni vyama vya kisiasa vya kale, uongo ongo mtupu, ila ndio ivyo sunday school na madrasa zimewaminisha na nyie mmekalili
Kama ni mkristo na unasoma bibleWakristo wenzangu kwenye hili ndio natofautiana na nyie, huwezi ua watoto na watu wasio na hatia then useme israel taifa teule, huyo Mungu gani? Labda ni Mungu kichaa huyo, ndio maana hizi dini naziona ni vyama vya kisiasa vya kale, uongo ongo mtupu, ila ndio ivyo sunday school na madrasa zimewaminisha na nyie mmekalili
Sasa aliebana akaachia nani hamas wamesimamia msimamo wao mpka wanachotaka kimefanyikaIsmail Haniyeh kabanaaaa mwishowe kaachia dah
Sasa aliebana akaachia nani hamas wamesimamia msimamo wao mpka wanachotaka kimefanyika
Kipi kimefanyika kipondo kinatembea huko myahudi kakataa porojo za wafuasi wa alahSasa aliebana akaachia nani hamas wamesimamia msimamo wao mpka wanachotaka kimefanyika
Israel haikuamka na kuanza kuua wanawake na watoto. Yaliyotokea Okt 7 unayafahamu vzr. Mwana kulitafuta,,mwana kulinywaWakristo wenzangu kwenye hili ndio natofautiana na nyie, huwezi ua watoto na watu wasio na hatia then useme israel taifa teule, huyo Mungu gani? Labda ni Mungu kichaa huyo, ndio maana hizi dini naziona ni vyama vya kisiasa vya kale, uongo ongo mtupu, ila ndio ivyo sunday school na madrasa zimewaminisha na nyie mmekalili