Hamas yakubali pendekezo la kusitisha mapigano, wananchi wa Rifah washangilia

Hamas yakubali pendekezo la kusitisha mapigano, wananchi wa Rifah washangilia

1. Kwa asiyekubaliana na nyie ni HAMAS?

Kuelekea Maridhiano kusimamisha vita, Israel yajikuta njia panda!

2. Kwani Hadi Sasa hujui alichokubali HAMAS ni Nini, makubaliano yalikuwa yapi na alichokuwa hataki ni nini?

3. Pia ungali hujui Israel alikuwa hataki Nini na Yuko kwenye Hali Gani?

Mazungumzo ya kusimamisha vita Gaza, hati hati kukwama; Israel, HAMAS yupi ana hoja?

4. Kwa taarifa yako Sasa hivi Israel anapumulia machine!

View attachment 2983097
Hivi COVID iliishia wapi??
 
Khe.. jamani news za waislamu hazina tofauti na Quran full uongo na ujinga.. rubbish.. matokeo ya mtihani wa Quran haya

1. Taarifa ya waislam ndiyo ipi?

IMG_20240507_040953.jpg


2. Kwani rejea iliyokuwemo na ushahidi wote mle hukuiona?

IMG_20240507_040902.jpg


3. Kulikoni kudhani kila mtu ni mfia dini kama ninyi?

images.jpeg


4. Wafia dini ni wafia dini tu, wawe waislam, wakristo, Buddha nk, tofauti yao ni majina tu!

5. Usinihusishe kwenye ufia dini wenu na kina MK254; huko endeleeni kivyenu vyenu!

6. Bure kabisa!
 
Wakristo wenzangu kwenye hili ndio natofautiana na nyie, huwezi ua watoto na watu wasio na hatia then useme israel taifa teule, huyo Mungu gani? Labda ni Mungu kichaa huyo, ndio maana hizi dini naziona ni vyama vya kisiasa vya kale, uongo ongo mtupu, ila ndio ivyo sunday school na madrasa zimewaminisha na nyie mmekalili
Kama ni mkristo na unasoma bible
Kasome kitabu Cha Joshua
Ndo uje Tena hapa ufute ujinga wako

Ukoimwangalia Mungu kisiasa tu hutamwelewa
 
Wakristo wenzangu kwenye hili ndio natofautiana na nyie, huwezi ua watoto na watu wasio na hatia then useme israel taifa teule, huyo Mungu gani? Labda ni Mungu kichaa huyo, ndio maana hizi dini naziona ni vyama vya kisiasa vya kale, uongo ongo mtupu, ila ndio ivyo sunday school na madrasa zimewaminisha na nyie mmekalili
Kama ni mkristo na unasoma bible
Kasome kitabu Cha Joshua
Ndo uje Tena hapa

Ukoimwangalia Mungu kisiasa tu hutamwelewa
 
Wakristo wenzangu kwenye hili ndio natofautiana na nyie, huwezi ua watoto na watu wasio na hatia then useme israel taifa teule, huyo Mungu gani? Labda ni Mungu kichaa huyo, ndio maana hizi dini naziona ni vyama vya kisiasa vya kale, uongo ongo mtupu, ila ndio ivyo sunday school na madrasa zimewaminisha na nyie mmekalili
Israel haikuamka na kuanza kuua wanawake na watoto. Yaliyotokea Okt 7 unayafahamu vzr. Mwana kulitafuta,,mwana kulinywa
 
Back
Top Bottom