Hamas yatoa takwimu za misikiti na makanisa yaliyoharibiwa na mayahudi. Yatoa wito kwa waislamu na wakristo kulinda tamaduni zao

Hamas yatoa takwimu za misikiti na makanisa yaliyoharibiwa na mayahudi. Yatoa wito kwa waislamu na wakristo kulinda tamaduni zao

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
1724569517584.png


Hamas kupitia wasemaji wake imetoa takwimu ya uharibifu uliofanywa na mayahudi katika kipindi chote cha vita mpaka sasa,
Jumla ya misikti 610 ya Gaza na makanisa matatu yamebomolewa kabisa na kwa makusudi na majeshi ya IDF,
Miongoni mwa majengo hayo ya kiibada yaliyovunjwa yamo yenye historia ndefu sana na yanayotunzwa na Unesco.
Kibaya zaidi walichofanya majeshi hayo ni kuchoma moto Qur'an na kuifanyia dharau.Kwa hilo Hamas wametoa wito kwa nchi za kiislamu,mataifa ya kiarabu na wakristo kuja juu kulinda urithi wa dini zao.


Hamas urges anger and condemnation over Quran burning by Israeli soldiers

 
View attachment 3078599

Hamas kupitia wasemaji wake imetoa takwimu ya uharibifu uliofanywa na mayahudi katika kipindi chote cha vita mpaka sasa,
Jumla ya misikti 610 ya Gaza na makanisa matatu yamebomolewa kabisa na kwa makusudi na majeshi ya IDF,
Miongoni mwa majengo hayo ya kiibada yaliyovunjwa yamo yenye historia ndefu sana na yanayotunzwa na Unesco.
Kibaya zaidi walichofanya majeshi hayo ni kuchoma moto Qur'an na kuifanyia dharau.Kwa hilo Hamas wametoa wito kwa nchi za kiislamu,mataifa ya kiarabu na wakristo kuja juu kulinda urithi wa dini zao.


Hamas urges anger and condemnation over Quran burning by Israeli soldiers

Waambie cku nyingine wasijaribu kumshika simba makalio.
 
View attachment 3078599

Hamas kupitia wasemaji wake imetoa takwimu ya uharibifu uliofanywa na mayahudi katika kipindi chote cha vita mpaka sasa,
Jumla ya misikti 610 ya Gaza na makanisa matatu yamebomolewa kabisa na kwa makusudi na majeshi ya IDF,
Miongoni mwa majengo hayo ya kiibada yaliyovunjwa yamo yenye historia ndefu sana na yanayotunzwa na Unesco.
Kibaya zaidi walichofanya majeshi hayo ni kuchoma moto Qur'an na kuifanyia dharau.Kwa hilo Hamas wametoa wito kwa nchi za kiislamu,mataifa ya kiarabu na wakristo kuja juu kulinda urithi wa dini zao.


Hamas urges anger and condemnation over Quran burning by Israeli soldiers

Hii vita imeenda sambamba na jinai za kutosha, raia wema wameteseka mno.
 
Hamas walitumia misikiti na makanisa kuteka na kushambulia Israel wakitarajia makanisa yetu wakiristo yakishambuliwa na majeshi ya Israel tutalaani Israel

Hakuna kitu kama hicho

Wakristo na wayahudi baba yetu mmoja Ibrahim pamoja na kuwa kiimani tunatofautiana wao wengi wao hawaaamini imani ya Kikristo iliiyoanzishwa na myahudi Yesu Kristo lakini tunaheshimiana na kupendana bila kujali tofauti zetu za kiimani tofauti na waislamu wanajitia ohh Ibrahim ndugu yao lakini mayahudi hawana undugu nao.Sisi wakristo tunaamini t8mezal8wa na Ibrahim wayahudi na wakristo lakini tuna imani tofauti lakini hatubali hata siku moja kuwa na uhasama na wayahudi wa aina yeyote na hauji kutokea

Hivyo hata makanisa yetu yaliyoshamhuliwa ili kuwapiga hamas waliojificha kwenye hayo makanisa huwezi sikia wakristo wakilaani Israel Vita ikiisha serikali ya Israel itajenga bila shida.


Wakristo tunaunga mkono Hamas wapigwe tu wakijificha kwenye makanisa wapigwe hata kama makanisa yatabomolewa na mabomu wakiwapiga ruksa
 
View attachment 3078599

Hamas kupitia wasemaji wake imetoa takwimu ya uharibifu uliofanywa na mayahudi katika kipindi chote cha vita mpaka sasa,
Jumla ya misikti 610 ya Gaza na makanisa matatu yamebomolewa kabisa na kwa makusudi na majeshi ya IDF,
Miongoni mwa majengo hayo ya kiibada yaliyovunjwa yamo yenye historia ndefu sana na yanayotunzwa na Unesco.
Kibaya zaidi walichofanya majeshi hayo ni kuchoma moto Qur'an na kuifanyia dharau.Kwa hilo Hamas wametoa wito kwa nchi za kiislamu,mataifa ya kiarabu na wakristo kuja juu kulinda urithi wa dini zao.


Hamas urges anger and condemnation over Quran burning by Israeli soldiers

hao waislam huku afrika wanatuua hatuez waung mkono
 
Hamas walitumia misikiti na makanisa kuteka na kushambulia Israel wakitarajia makanisa yetu wakiristo yakishambuliwa na majeshi ya Israel tutalaani Israel

Hakuna kitu kama hicho

Wakristo na wayahudi baba yetu mmoja Ibrahim pamoja na kuwa kiimani tunatofautiana wao wengi wao hawaaamini imani ya Kikristo iliiyoanzishwa na myahudi Yesu Kristo lakini tunaheshimiana na kupendana bila kujali tofauti zetu za kiimani tofauti na waislamu wanajitia ohh Ibrahim ndugu yao lakini mayahudi hawana undugu nao.Sisi wakristo tunaamini t8mezal8wa na Ibrahim wayahudi na wakristo lakini tuna imani tofauti lakini hatubali hata siku moja kuwa na uhasama na wayahudi wa aina yeyote na hauji kutokea

Hivyo hata makanisa yetu yaliyoshamhuliwa ili kuwapiga hamas waliojificha kwenye hayo makanisa huwezi sikia wakristo wakilaani Israel Vita ikiisha serikali ya Israel itajenga bila shida.


Wakristo tunaunga mkono Hamas wapigwe tu wakijificha kwenye makanisa wapigwe hata kama makanisa yatabomolewa na mabomu wakiwapiga ruksa
Ama hakika usichokijua ni usiku mnene.
 
Back
Top Bottom