Hamdi, Kocha wa Yanga aanza na malalamiko baada ya suluhu na JKT Tanzania

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Hamdi Kocha wa Yanga

"Ukiwa unafukuzia ubingwa ni ngumu kukaa kileleni, ni bora kukaa nafasi ya pili ukiwa unampumulia kinara wa ligi, narudia tena hakuna kazi ngumu kama kukaa kileleni"

"Halafu leo sijapendezwa na refa, muda wote alisimamisha mchezo na kupoteza muda"
Your browser is not able to display this video.
 
Hahahahhhahahahaah hata sisi hatutaki kileleni nyie pandeni tuu mkae...
 
Hahahah!! Karibu nyuma mwiko.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…