Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni other side ipi inayoweza kumpa mtu haki ya kuua?!One sided story and hatred on the other side
Yeye ni tajiri, ana connection, na pia ni mbunge. Kashitaki kokoteAlifanya vibaya sana. Ana kiburi na kujiinua sana. He has ego.
Kwenda zako huko.One sided story and hatred on the other side
Ndio huu anao u prevail. CHADEMA tukatae kuutetea upumbavu wa mtu huyuUlevi wa Madaraka!
Alipenda wali hadi kuhatarisha masomo!!? Hebu tueleze hili vizuri. Nilifikiri utasema alikuwa anafanya ufisadi kwenye zile fremu za MUHASSo, kumbe wali! Hamna mtu hapo.Hamis Kigwangalla amekuwa kichaa kabisa. Nakumbuka akiwa Rais wa wanafunzi pale Muhimbili, alikuwa na akili safi sana, licha ya kwamba alikuwa anapenda sana wali, kiasi cha kuhatarisha masomo yake, aisee
Kigwangalla ni kiongozi wa taasisi gani?Katika viongozi mapimbi, huyu jamaa ni mmoja wapo, na hii ni sababu kubwa Tanzania kuto endelea, nchi ipo mikononi kwa mapimbi wengi.
Sasa wewe unaandika uzi kana kwamba kila mtu anaelewa kinachoendeleaYaani doc, nimesikitika sana, umeshindwaje kudhibiti hasira zako hadharani?
Kwanini uwe gumzo kwa migogoro na wafanyakazi wako, hasa kwenye kuwanyima haki zao?
Haya yetu macho
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hamis Kigwangalla amekuwa kichaa kabisa. Nakumbuka akiwa Rais wa wanafunzi pale Muhimbili, alikuwa na akili safi sana, licha ya kwamba alikuwa anapenda sana wali, kiasi cha kuhatarisha masomo yake, aisee