Hamis Kigwangalla inakuwaje unashindwa kudhibiti hasira zako? Ona sasa umepatwa na janga

Hamis Kigwangalla inakuwaje unashindwa kudhibiti hasira zako? Ona sasa umepatwa na janga

Kigwangala aliumwa unyafuzi na kwashiorkor utotoni ( kulingana na maelezo yake mwenyewe) so lazima nati kadhaa kichwani zimelegea jumlisha na madhara ya kuteseka na kukosa malezi ya baba utotoni lazima awe na matatizo ya kisaikolojia na akili
 
Kigwangalla ni TAKATAKA ila huwezi kumjua mpaka u deal naye Moja kwa Moja. Hata Magufuli alipo mpa uwaziri hakujua kwamba amempa mtu BOGUS. Alikuja juwa too late baada ya Kigwangalla kuanza ufisadi kwenye wizara ya utalii
 
Kwenye kuwa na Akili ( Intelligent ) nakubaliana nawe 100% kwani kuna mahala niliwahi Kukutana nae na nikaligundua hilo.

Psychiatrists wajaribu kukaa nae kwani nahisi kuna linalomsibu na halijatatuliwa lakini pia mlio nae karibu mwambieni aachane na kupenda mno Waganga wa Kienyeji na ajikite Kumuamini Mwenyezi Mungu ( Allah ) pekee.

Nimesikitika sana kama kafanya hili.
Unazungumzia intelligence gani?
Au we ni kilaza ndugu?
Huyo hawezi kuwa kwenye kundi laa watu intelligents,yupo kwenye kundi la watu wanaokumbuka kile walichoona na kusikia.
Hawa ndio wanafaulu shuleni na mnawaita intelligents.Lakini ukweli hawana ubunifu wowote na hawawapendi watu wabunifu ila kutokana na kipaji chao cha kukumbuka wanapewa madaraka na kuyatumia kuiba na kujitajirisha huku wakiendelea kudhulumu wafanyakazi wao.
Mifano ipo mingi.
 
CCM wote kwa ujumla hata vyuoni ni watu wasiojitambua hawana critical thinking nashangaaga Mtu anapowachukulia serious Ccm kitendo Cha Mtu kuwa Ccm automatically anapoteza Huwezo wa kufikiria Maisha ya watu wengine na kujiona yeye ni Bora kuliko wengine.
 
Tanzania rahaaa yaani kiongozi unapiga risasi mtu na polisi wala haikukamati.

Mama Samia Suluhu Hassan nipe ubunge kuna mtu ananidai huku nae nipige risasi akome kunidai manin..a zake[emoji1787][emoji1787]
Mshasikiliza maelezo ya upande wa pili? mnadhani anamiliki siraha kama pambo? vipi kama huyo kijana alimshambulia kwa nini asijilinde?
 
Huyo Kijana kwanza apande Basi aondoke huo mkoa kwa muda aje hata Dar. Kisha ajifiche. Aje akutane na mawakili huku Dar na amfungulie kesi ya attempted Murder ni kesi kubwa sana hii na penalty yake ni kifungo tena cha muda mrefu sana.

Kama kigwangala akitaka mazungumzo amwambie aweke milioni 200 mezani. Hataki kesi aipeleke kila Media outlets ili ingurume.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
c&p....DR KIGWANGALA AMPIGA RISASI MFANYAKAZI WAKE NA KUMJERUHI VIBAYA SANA


Mh, Mbunge wa Nzega HAMIS KIGWANGALA Leo 23-5-2023 anatuhumiwa kumpiga Risasi na kumjeruhi Kijana Anayefahamika kwa jina la SAID OMARY ambaye ni mfanyakazi wake na kupelekea kumjeruhi vibaya sana Miguuni na sehemu Mbalimbali za mwili wake Katika eneo la NHUNGUMALWA Kwimba Eneo ambalo Mh Hamis Kigwangala amekodi kiwanda cha Pamba(Cotton Ginnery)
Chanzo cha mgogoro huo hadi kupelekea kupigwa Risasi na Mh Kigwangala ni kutokana na Bwana Said Omary kumdai malipo yake bwana Kigwangala baada ya kuona anadaiwa Mh Kigwangala alidai yeye ndiye anamdai Fedha milioni 28 Bwana Said kufuatia hilo Bwana Said Omary aliona ni kama Anataka kudhulumiwa ndipo ukatokea ubishani mkubwa uliopelekea Mh Kigwangala kufyatua Risasi Hewani na Moja kumpiga Miguuni na Sehemu Mbalimbali za Mwili Bwana Said Omary, Baada ya kutokea hilo Said alienda Polisi kuchukua Pf 3 na hatimaye Kutibiwa majeraha yake, Polisi kituo Kikuu Cha Ngudu Ililazimika kumweka Ndani Mh Hamis Kigwangala, Taarifa Zilizoifikia NGUDU ONLINE TV Zinasema kuwa jioni ya Leo Mh Kingwangala ametolewa kwa Dhamani kwa madai kuwa ANAWAHI Bungeni Dodoma, Na Taarifa zilizopo zinaonesha kuwa Zipo jitihada kubwa za kulizima jambo hili kimya kimya na JESHI LA POLISI KUPITIA KIGOGO MMOJA ALIYEPO POLISI MKOA WA MWANZA Kwa kushirikiana na OC CID KWIMBA Anaonekana kuwa kwenye Mpango huu wa Kumaliza kesi hii Ili ionekane Kijana Huyu Hajapigwa Risasi na Mh Hamis Kigwangala Kwa kubadilisha maelezo yaliyopo Na KUMBADILISHIA KESI Said Omary Ili Kumlinda Mh Hamis Kigwangala , kitu ambacho kinaonesha Waziwazi Uvunjaji wa Sheria za nchi, Baadhi ya Viongozi Katika Wilaya ya Kwimba waliohojiwa na NGUDU ONLINE TV Wakiwemo Watetezi wa Haki za Binadamu kutoka Maeneo mbalimbali Ya Mkoa wa Mwanza Wameoneshwa kusikitishwa na Kitendo cha Polisi kumwachilia Mh Kigwangala kwa haraka haraka bila kufuata taratibu nyinginezo Na wamezidi kuhoji kwa nini Watuhumiwa wengine huchukua hadi Siku 5 wakiwa Rumande bila dhamana kwa kisingizio cha Upelelezi kwa Nini huyu Aachiliwe kwa muda mfupi kupita Kiasi? Aidha Watetezi wa Haki za Binadamu Wameahidi kuendelea kufuatilia kwa Karibu Kesi hii Hasa dalili za Kijana Said Omary Kubadilishiwa Kesi na Yeye kuwekwa ndani ili kumlinda Mh Hamis Kigwangala

NGUDU ONLINE TV Ilipompigia Simu Bwana Said Omary Alikiri kweli kutokea kwa tukio hilo na AMEMUOMBA Mh Rais Kumsaidia kupata haki Yake!
Duhh!!hatari fire
 
Back
Top Bottom