kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,706
- 6,901
Nimecheka sana kwamba muhuni analipa nusu hamalizi lote [emoji23][emoji23]huyo mshamba sio muhuni[emoji23][emoji23][emoji23] muhuni analipa deni japo nusu ila hamalizi lote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana kwamba muhuni analipa nusu hamalizi lote [emoji23][emoji23]huyo mshamba sio muhuni[emoji23][emoji23][emoji23] muhuni analipa deni japo nusu ila hamalizi lote.
Haya ndio Mungu asiyoyapenda, unaenda msikitni lakini naambulia patupu.Wewe bwana wewe . Huyu hata kwenye nyumba za ibada akiingia hupenda atambuliwe uwepo wake anakuja na mtoto wake naye anataka atambuliwe kama mtt wa kiongozi.
126KVKwamba mhe.Ni h...... 1.......v pozitiv???
Siku iona hiyo Kaka, ila huo ni ukosefu wa adabu na utu.Mimi iliniuma alivyompigisha kichurachura yule mjeda mtu mzima mbele ya kadamnas. Ile haikuwa sawa
Jamaa lazima akae mbele. Na anakuja kwa kuchelewa bora lipumba anakaa ppteHaya ndio Mungu asiyoyapenda, unaenda msikitni lakini naambulia patupu.
Simba hawana KOMBE hata moja, Kigwa imemchukua kisaikolojia sana mawazo ni mengi mno pole kwake na wanasimba kwa ujumla kwa kua na stress za kukosa ubingwa kila sehemu, naona Bwana Omary Said ni Yanga akawa anamletea utani wa Pesa Bwana Kigwa akaona ampige risasi za miguu tu asimletee ujinga maana kila alipoibetia Simba amekua akipoteza almost million 28 imemtoka baada ya Simba kupoteza mechi zake, pole sana KigwaDuh huyu jamaa kapatwa na nini?
Jamaa sikuhizi yuko frasturated sana
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Mkuu mimi nalipa kodi harafu naumia sana nikisikia huu ujinga pana kipindi Tunduma hata kabla ya mageti yao wala force zao mimi nasubiri ofisi ifunguliwe asubuhi nikalipie kodi muda mwingine unasumbuliwa unaambiwa hii bidha inataka kibali kutoka kwa mkemia mkuu unaanza upya kesi hiyo harafu huku wahuni wanajizolea tuu niliwahi waambia TRA wawe na kitengo cha kuangalia matumizi ya fedha wanazokusanya kama cha EFD na watupe taarifa kuliko huu ujinga pana watu kulipa kodi wao wanasema ni dhambi kubwa kwa sababu Kodi inachezewa tuu na biashara wanafanya miaka nenda rudi...
Lijinga sana hili lifalaDuhh!!hatari fire
Duh huyu jamaa kapatwa na nini?
Jamaa sikuhizi yuko frasturated sana
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Coca umeanza lini kunidanganya mimi???126KV
Ukipata nafasi ya kukwepa kulipa kodi wewe kwepa tu... kuliko iliwe hovyo na wajinga wajinga bora ununue nyama ule na familia yako, au uende vacations tuMkuu mimi nalipa kodi harafu naumia sana nikisikia huu ujinga pana kipindi Tunduma hata kabla ya mageti yao wala force zao mimi nasubiri ofisi ifunguliwe asubuhi nikalipie kodi muda mwingine unasumbuliwa unaambiwa hii bidha inataka kibali kutoka kwa mkemia mkuu unaanza upya kesi hiyo harafu huku wahuni wanajizolea tuu niliwahi waambia TRA wawe na kitengo cha kuangalia matumizi ya fedha wanazokusanya kama cha EFD na watupe taarifa kuliko huu ujinga pana watu kulipa kodi wao wanasema ni dhambi kubwa kwa sababu Kodi inachezewa tuu na biashara wanafanya miaka nenda rudi...
Hapo kuna waliowahi, watarudishwa nyuma kwa ajili yake.. Misikitini umeingia unafikir, masheikh hawakemei mambo kisa tu watu wana ukwasi nao huwa wanapaita elfu 2, 2. Dini hataki hayo.Jamaa lazima akae mbele. Na anakuja kwa kuchelewa bora lipumba anakaa ppte
Haya km hutakiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Coca umeanza lini kunidanganya mimi???
Anaonekana bado kijana na ana afya na nuru mno...haiwezekani kabisa awe na umemeHaya km hutakiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
126KV
Kweli kabisa jamaa hawatutendei haki kabisa aisee...angalia kwenye vifurushi vya simu ujambazi uliopo huko ni balaa bando ukiweka tu unapata meseji ya kuisha wakati hata haijatumika wahusika wakuu nao hawana majibu...Ukipata nafasi ya kukwepa kulipa kodi wewe kwepa tu... kuliko iliwe hovyo na wajinga wajinga bora ununue nyama ule na familia yako, au uende vacations tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yupooooHuyu kwenye Database ya waliounganishwa na umeme mkubwa HTT nilikuwa sina.
Kapiga risasi juu ikamjeruhi mtu mguuni hiyo ni risasi toleo jipyac&p....DR KIGWANGALA AMPIGA RISASI MFANYAKAZI WAKE NA KUMJERUHI VIBAYA SANA
Mh, Mbunge wa Nzega HAMIS KIGWANGALA Leo 23-5-2023 anatuhumiwa kumpiga Risasi na kumjeruhi Kijana Anayefahamika kwa jina la SAID OMARY ambaye ni mfanyakazi wake na kupelekea kumjeruhi vibaya sana Miguuni na sehemu Mbalimbali za mwili wake Katika eneo la NHUNGUMALWA Kwimba Eneo ambalo Mh Hamis Kigwangala amekodi kiwanda cha Pamba(Cotton Ginnery)
Chanzo cha mgogoro huo hadi kupelekea kupigwa Risasi na Mh Kigwangala ni kutokana na Bwana Said Omary kumdai malipo yake bwana Kigwangala baada ya kuona anadaiwa Mh Kigwangala alidai yeye ndiye anamdai Fedha milioni 28 Bwana Said kufuatia hilo Bwana Said Omary aliona ni kama Anataka kudhulumiwa ndipo ukatokea ubishani mkubwa uliopelekea Mh Kigwangala kufyatua Risasi Hewani na Moja kumpiga Miguuni na Sehemu Mbalimbali za Mwili Bwana Said Omary, Baada ya kutokea hilo Said alienda Polisi kuchukua Pf 3 na hatimaye Kutibiwa majeraha yake, Polisi kituo Kikuu Cha Ngudu Ililazimika kumweka Ndani Mh Hamis Kigwangala, Taarifa Zilizoifikia NGUDU ONLINE TV Zinasema kuwa jioni ya Leo Mh Kingwangala ametolewa kwa Dhamani kwa madai kuwa ANAWAHI Bungeni Dodoma, Na Taarifa zilizopo zinaonesha kuwa Zipo jitihada kubwa za kulizima jambo hili kimya kimya na JESHI LA POLISI KUPITIA KIGOGO MMOJA ALIYEPO POLISI MKOA WA MWANZA Kwa kushirikiana na OC CID KWIMBA Anaonekana kuwa kwenye Mpango huu wa Kumaliza kesi hii Ili ionekane Kijana Huyu Hajapigwa Risasi na Mh Hamis Kigwangala Kwa kubadilisha maelezo yaliyopo Na KUMBADILISHIA KESI Said Omary Ili Kumlinda Mh Hamis Kigwangala , kitu ambacho kinaonesha Waziwazi Uvunjaji wa Sheria za nchi, Baadhi ya Viongozi Katika Wilaya ya Kwimba waliohojiwa na NGUDU ONLINE TV Wakiwemo Watetezi wa Haki za Binadamu kutoka Maeneo mbalimbali Ya Mkoa wa Mwanza Wameoneshwa kusikitishwa na Kitendo cha Polisi kumwachilia Mh Kigwangala kwa haraka haraka bila kufuata taratibu nyinginezo Na wamezidi kuhoji kwa nini Watuhumiwa wengine huchukua hadi Siku 5 wakiwa Rumande bila dhamana kwa kisingizio cha Upelelezi kwa Nini huyu Aachiliwe kwa muda mfupi kupita Kiasi? Aidha Watetezi wa Haki za Binadamu Wameahidi kuendelea kufuatilia kwa Karibu Kesi hii Hasa dalili za Kijana Said Omary Kubadilishiwa Kesi na Yeye kuwekwa ndani ili kumlinda Mh Hamis Kigwangala
NGUDU ONLINE TV Ilipompigia Simu Bwana Said Omary Alikiri kweli kutokea kwa tukio hilo na AMEMUOMBA Mh Rais Kumsaidia kupata haki Yake!
Poleeeee yakoooo,Anaonekana bado kijana na ana afya na nuru mno...haiwezekani kabisa awe na umeme