Bob Lee Swagger
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 1,362
- 517
Yule mzee le mutuz amesema atarudisha kadi hayo yakitokea!!? (Eti naye anatishia kurudisha kadi!?) Ndo ajiandae nadhani!
Kuna signature ya mkuu flan humu simkumbuki jina inasoma, ukijamba kwa hasira utaharisha.. sijui, huyu mzee anayeishi kwa wazazi anaelekea huko!!
Kuna signature ya mkuu flan humu simkumbuki jina inasoma, ukijamba kwa hasira utaharisha.. sijui, huyu mzee anayeishi kwa wazazi anaelekea huko!!