Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Umaarufu wake na ushiriki wake kwenye mambo ya Sanaa na michezo ni muda muafaka wa kumpa majukumu rasmi ya wizara. Uzi huu utumike kama rejea. Uzi tayari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ImelaaniwaAongeze kuimbaa...View attachment 3125714
Kiukweli wameisha juzi kuna rfk yangu ananiambia makonda anafaa kiwa rais... !! Nilichoka sanaSitaki kuamini kwamba wabongo wenye akili waliisha kabisa yani
Hivi akili zenu huwa mnaziacha wapi hadi kuandika utumbo huu? MwanaFA apewe uwaziri kwa kipi hasa alichofanikisha kwenye u-Naibu?Umaarufu wake na ushiriki wake kwenye mambo ya Sanaa na michezo ni muda muafaka wa kumpa majukumu rasmi ya wizara. Uzi huu utumike kama rejea. Uzi tayari.
Huu ndiyo tunaita upuuzi Jazz band.Nchi Imelaaniwa
Kwenye Mitandao Mama
Michezoni Mama
Radioni Mama
Majukwaani Mama
Kwenye Television Mama
Kwenye Mpira Mama
Kwenye Muziki Mama
Me najua yeye ndiye waziri, kumbeUmaarufu wake na ushiriki wake kwenye mambo ya Sanaa na michezo ni muda muafaka wa kumpa majukumu rasmi ya wizara. Uzi huu utumike kama rejea. Uzi tayari.
Huyo ndio utashangaa kwao ndio mwenye akili.Sitaki kuamini kwamba wabongo wenye akili waliisha kabisa yani