Tetesi: Hamisa kanyang'anywa mtoto na Majizo!!

Tetesi: Hamisa kanyang'anywa mtoto na Majizo!!

Ninachojua tu ni kwamba kwa Mwanaume / Mzazi mwenye akili, anayejitambua na mwenye maadili ya Kutukuka hawezi kukubali kuacha Mtoto wake alelewe na Hamisa Mobeto. Hamisa Mobeto ni Kielelezo tosha cha Mabinti / Wanawake hopeless wanaopatikana sana Kusini mwa Jangwa la Sahara ambao uwezo wao wa Kufikiri unaishia tu Kitandani na Bafuni.
Mkuu hivi kuna wadada wataisoma hii kweli au mbona kama wanaipotezea Mkuu... You have said alll thanks
 
Dada etu.. Ana bahati ya kuzaa na wenye vijisent.
Tatizo Dada etu. Mshauri wake mange.
Angekuwa Ana mkimbiza mwizi taratibu.
Kwa majay yupo. Kwa diamond yupo. Anakula huku na huku.
Watoto ndo ngao yake.
Siku akimwambia diamond Dylan anaumwa njoo nyumbani. Diamond atakataa?
Akija diamond anampa penzi Zito. Unafikiri diamond atamkumbuka zari?
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Ni bora tu
Maana labda alianza kumrushia yeye hasira kwa kuona kamkosa Diamond. Kawaona D na Z wapo England kikazi kaweuka tena.. na kutaka kujaribu kuwaharibia safari yao ila anagonga mwamba. Jingaaaaaa
Hater[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Envy
 
hivi mnaomsema Hamisa

huyo diamond ana tabia njema gani?
huyo zari ana tabia njema gani?
huyo mama diamond ana tabia gani njema?

acheni kumpiga mawe mtoto wa watu!!!
hawezi kuamua vita ya panga kwa fimbo.
unapoamua kukimbizana na vichaa lazima ujitoe ufahamu!!
hio familia ya madale bila dongo juu ya dongo huwezi ishi nao!!!!
kila siku wao wanamwaga mboga, sasa wamepata wa kumwaga ugali!!!
huyo zarina juzi tu katoa live video anamdiss hamisa, kwahiyo yeye ndio mwema????

muacheni hamisa mimba hakujibebesha mwenyewe!! mtt ana baba yule mwacheni am-take care!!!!
Umeongea sahihi kabisa!
Tatizo wabongo wengi tuna nyoyo dhaifuu mnoo!chuki husda na roho mbaya mnoo
Wengi wanamchukia hamisa kwa kua kazaa na diamond
Hilo ndo tatizo wengi wamechukia kwa kua hawakutegemea kama atazaa na mbongo tena hamisa mobeto bad enough mondi kamkubali mtoto[emoji2] [emoji2] [emoji2] na wanafanana mbaya!!
Huyo zari matoto matatu ya mwanaume mwingine hawamwiti incubator!
Mama mtu mzima anajikojoza kwenye video hawalioni hilooi

Ptuuu watakufa na roho zao mbaya
 
Umeongea sahihi kabisa!
Tatizo wabongo wengi tuna nyoyo dhaifuu mnoo!chuki husda na roho mbaya mnoo
Wengi wanamchukia hamisa kwa kua kazaa na diamond
Hilo ndo tatizo wengi wamechukia kwa kua hawakutegemea kama atazaa na mbongo tena hamisa mobeto bad enough mondi kamkubali mtoto[emoji2] [emoji2] [emoji2] na wanafanana mbaya!!
Huyo zari matoto matatu ya mwanaume mwingine hawamwiti incubator!
Mama mtu mzima anajikojoza kwenye video hawalioni hilooi

Ptuuu watakufa na roho zao mbaya
Nadhani Hamisa ajikite Kwenye shughuli binafsi zakumuongezea Kipato itamuweka nafasi nzuri. Unajua hata ukifanya mambo ya kitoto Ukiwa na Pesa watu hawaoni Ila Ukiwa huna alafu ukifanya mambo ya kijinga unazidi kuonekana mjinga.
 
Hamisa angekuwa mkenya ama mnigeria mwenye watoto wa4 na baba mwingine,halafu azae na domo wabongo wangempongeza sana,hahahahah

Wangesema ana akil,smart,ana hela na kila sifa angepewa.
Hawa ndo wabongo ,hadi aibu kujitambulisha kama mtz kwa mataifa mengine.
 
Nadhani Hamisa ajikite Kwenye shughuli binafsi zakumuongezea Kipato itamuweka nafasi nzuri. Unajua hata ukifanya mambo ya kitoto Ukiwa na Pesa watu hawaoni Ila Ukiwa huna alafu ukifanya mambo ya kijinga unazidi kuonekana mjinga.
Wabongo tuna tabia ya kushobokea wa nje na kuwaponda wetu!

Hamisa ana mambo yake anazindua film next week

Ukitaka waona wabongo wanafki they don't show any support!

Tukubali tukatae watz wengi tuna chuki mnoooo!haswaa wanawake
 
Hamisa angekuwa mkenya ama mnigeria mwenye watoto wa4 na baba mwingine,halafu azae na domo wabongo wangempongeza sana,hahahahah

Wangesema ana akil,smart,ana hela na kila sifa angepewa.
Hawa ndo wabongo ,hadi aibu kujitambulisha kama mtz kwa mataifa mengine.
Kabisa yaaani sisy agiza soda ntalipa Mimi kwa mangi
 
Ninachojua tu ni kwamba kwa Mwanaume / Mzazi mwenye akili, anayejitambua na mwenye maadili ya Kutukuka hawezi kukubali kuacha Mtoto wake alelewe na Hamisa Mobeto. Hamisa Mobeto ni Kielelezo tosha cha Mabinti / Wanawake hopeless wanaopatikana sana Kusini mwa Jangwa la Sahara ambao uwezo wao wa Kufikiri unaishia tu Kitandani, katika Dressing table na Bafuni.
Umemaliza mkuu...
 
Back
Top Bottom