Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Nimependa jina lako. T 1990 ELY.. hongeraMtoto mzuri kweli
Lipsi kama za mama yake
Umemaliza mkuu...
Huyu jamaa aliyenunua mijumba ya Lugumi atamfaa.Majanga ya ya Incubators, malipo kwa kutumia watoto kama vyanzo vya mapato, azae tena na lodi lofa mwingine!
Team zari wakisika jina la hamissa nahisi huwa wanakosa ata usingiziHamisa namuona mjinga sbb aliamua kuzaa wkati bado yy mchepuko! Ujinga wa karne!
Haiwezekani we uwe wa kificho tu halafu kuna wanaotambulika!!?
Kwa hili alichemka !mwisho kudhalilishwa tu km hivi!
Pili hakujifunza kutoka mwanzo,ushazalishwa,tulua basi upate wa kwako unazaa tena na mtu mwenye mahusuano yake ambae unaona kabisa .....no no alichemka hapa
Abebe msalaba wake
Hahaha mie napiga Windhoek barid,na vile niko likizo sasa hivi itafaa kushushia hii nyama ya bataKabisa yaaani sisy agiza soda ntalipa Mimi kwa mangi
Kama mama yake hahahaKatoto kazuri jamani
Mabinti wa team za instagramNinachojua tu ni kwamba kwa Mwanaume / Mzazi mwenye akili, anayejitambua na mwenye maadili ya Kutukuka hawezi kukubali kuacha Mtoto wake alelewe na Hamisa Mobeto. Hamisa Mobeto ni Kielelezo tosha cha Mabinti / Wanawake hopeless wanaopatikana sana Kusini mwa Jangwa la Sahara ambao uwezo wao wa Kufikiri unaishia tu Kitandani, katika Dressing table na Bafuni.
Umbea mtupu! ya kwenu hatuyajui ila kutangaza ya wengine ndiyo kimbelembele. (That is personal issue)Naona umepotea njia
Mwambie huyoU
Umbea mtupu! ya kwenu hatuyajui ila kutangaza ya wengine ndiyo kimbelembele. (That is personal issue)
This is celebrities forum... Umekosea njiaU
Umbea mtupu! ya kwenu hatuyajui ila kutangaza ya wengine ndiyo kimbelembele. (That is personal issue)
Haaaaa haaaaa...mi nshamjua anaanza na "E"Hahaha mie napiga Windhoek barid,na vile niko likizo sasa hivi itafaa kushushia hii nyama ya bata
Tatizo la wabongo ushamba,ulimbukeni,elimu ndogo na roho za kwann,kama kwenye huu Uzi asilimia 90 wanaitamani nafac ya misa sema ndio hivyo tena.
Mtu hajui hata mchana atakula nn unashinda JF kumponda mtu usiyemfikia hata robo.
Ukisoma comments zao utawaelewa,wengine walimu wa up,wengine beki3,wengine mariooo,wengine kama yule Mily wa Instagram hahaha,basi full tafran
Inabid uwazoee maisha yamewachapa hahaha kama nanihii naogopa kumtaja asijenitolea povu,anakuwaga na hasila huyo hahaha
Hahaha Dada pambana na hali yako ,misa hakukufanya uwe beki 3 au mwalimu wa la 3 b kuleee hahahah