Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Sema labda bado mbichi sarakasi za mchangani sijui saizi yakee
Atupigie zingine akiwa hana makeup tuonee
Huyu hata kwa Jokate hafui dafuu
Subiri afanywe kopo na domo
Ila kamdomoo kakee mhhhhh!!!
Hamisa Is Beautiful...
Ila huyu demu ni balaa kama malaika mtoto softiiii no pimples..aiseh apo diamond kapat kifaa kwa kweli, na atakuwa amemsaidiaabeto kuwa kwenye chart maana kasota sana kusaka umaarufu aka kadenu
Ushawahi kumuona malaikaa!!!,atakua chart kwelii magazeti kila siku
Ila huyu demu ni balaa kama malaika mtoto softiiii no pimples..aiseh apo diamond kapat kifaa kwa kweli, na atakuwa amemsaidiaabeto kuwa kwenye chart maana kasota sana kusaka umaarufu aka kadenu
yaani kwakweli ni mzuri sanaaaaa
wa kawaida sana.... atasubiri sana na photoshopu zake.
Wema ana kazi.nasikia Huyu hadi mamamkwe anamkubali. bonus tena
Mimi mwenzenu hata mama dayamondi naona kama vile simwelewi. Yaani yeye mlango wake uko wazi kila siku analetewa wakwe wapya anapokea! Mwe mamangu mie alivyo mnoko, kakangu alishawahitangaziwa kabisaaa kuwa siku akiwa na uhakika wa anachokitaka ndo akilete lakini sio leo huyu kesho huyu maana mama alisema yeye anao watoto wa kike sasa anahisi kama watakuwa wanachezewa kama kaka anavyotaka kuchezea wa wenzake.
Mimi mwenzenu hata mama dayamondi naona kama vile simwelewi. Yaani yeye mlango wake uko wazi kila siku analetewa wakwe wapya anapokea! Mwe mamangu mie alivyo mnoko, kakangu alishawahitangaziwa kabisaaa kuwa siku akiwa na uhakika wa anachokitaka ndo akilete lakini sio leo huyu kesho huyu maana mama alisema yeye anao watoto wa kike sasa anahisi kama watakuwa wanachezewa kama kaka anavyotaka kuchezea wa wenzake.