Hilo halina ubishi, ukiona mtu hataki basi ana lake.mmeanza mawivu yenu, hamisa ni mkaree mkubali mkatae huo ndo ukweli
Mie naishi kijijini saaana Jamani msinielewe vibaya kwa swali langu!!!!
HIVI DAWA YA UKIMWI ISHAPATIKANA HUKO MJINI???????
Umesema kweli. Japo wengine watasema ni wivu, wa kawaida na hapo karembwa. Si mrembo kivilee mpaka mtu ukosee njia.
Na wala hakuna wa kumuoneaa wivuu tunasema ukweli na makeup hua zina beba watu ni wa kawaida sema wanaume kwa kusifiaa hawajamboo
kinga ya ninii.....kavu tamuMi huwa najiulizaga kama huwa wanatumiaga kinga maana mmh hataree
MABETO.....MACHALI WA CHUGAAA MABETO KWETU NIMANANGAA,MA MKAMEMEE,MIBISUU AKA MAVISUU...so daidomo take care bradaaDiamond bado yuko katika ziara yake ya kitalii wa ndani katika mbuga za miili ya kina dada.
Kwa muda sasa nguli huyu asiye na mpinzani Afrika mashariki na anayeanza kugusa anga za magharibi mwa Afrika amekua na uhusiano na binti mwenye urembo wa ajabu ajulikanaye kama Hamisa aka Hamisa mabeto.
Habari za uhakika ni kwamba moyo wa Diamond umekufa umeoza kwa binti Hamisa ila kwa ajili ya kick za kibiashara Diamond anapenda watanzania wajue kuwa yuko na madam Wema Sepetu.
Habari kuwa Diamond haongi na ni bahili si za kweli kwani kijana amegharamika sana kwa binti Hamisa Mabeto ikiwa ni pamoja na kumpangishia binti huyo nyumba ya gharama.
Ujumbe wangu kwa Diamond,ukimwi upo na unaua.
hapa back voko haiimbiki kweli huo mkaoondo huyo Lazy Mate
Mbona wa kawaida saaaaana.
Nimeziona facebook ambazo hazijaphoto shopiwa za kawaida sana. Hizi za camera 360 hata usiziamini mwaya
Imepatikana ya washawasha kwani mavuno lini
Duh !Sihitaji tena dawa ya kuongeza nguvu za kiume, nlipoiangalia tu picha nikajihisi nimekuwa fiti kinoma! yaani nimerudi ujanani ghafla (ps!ps! nina miaka 70 na yale mambo yetu na wife kwa msimu, atanishangaaje leo?)