Hamisa Mabeto,kifaa kipya cha Diamond pPatnumz

Hamisa Mabeto,kifaa kipya cha Diamond pPatnumz

Mnaogopa ban tu ingekua mko kwingine mngeshatukana misukule ya Wema!umeshawahi kumuona live huyo Hamisa?acha wivu mtoto mzuri sana na angalia wanaume wangapi kwenye hii thread wamemsifia,na sisi wanaume ndio tunajua mwanamke mzuri(kwa appearance) kuliko nyinyi wenyew


Haya bwana ruksa we tukana tu as far as matusi si mkuki, pia matusi huonesha ni jinsi gani umeishiwa hoja na malaya wako kubeto. ila ndo kazi ya kufikiria kwa kutumia athumani kichwa wazi.....mtu yeyote akiwa akiwa uchi lazima akili kwa wanaume ihame.
 
Kademu kazuri sana,kana kishepu balaa..sema nilikaona siku moja sikukafatilia kiivo ila kana uswahili fulani..Ni vile videmu ukikatengeneza kidogo unapiga
 
Daaaaaagh....huyu manze ni shidaaaaagh,ni hatareee ni balaaaaa
 
Haya bwana ruksa we tukana tu as far as matusi si mkuki, pia matusi huonesha ni jinsi gani umeishiwa hoja na malaya wako kubeto. ila ndo kazi ya kufikiria kwa kutumia athumani kichwa wazi.....mtu yeyote akiwa akiwa uchi lazima akili kwa wanaume ihame.

elewa nilichoandika acha jazba na wemania yako,nimemaanisha wewe ndo unaogopa ban kwa kutukana kama mnavyotukana kwenye blogs na IG sababu ya hao mastaa wenu,Hamisa mzuri Truth has to be told
 
Back
Top Bottom