Hamisa atakuwepo?Waarabu huko Dubai wameisha andaa Nov 26-27 maonesho na mkutano wa kimataifa wa technologia na uwekezaji kwenye miradi ya madini.
Whats on | Mining Show
The MENA, Central Asian and the Subcontinent’s biggest mining conference and exhibition is back to connect and develop the world’s next frontierwww.terrapinn.com
Elimu yake?Anatafuta maisha, wamemtumia yeye na,Salim kikeke kutangaza hafla yao.
Iko siku atatulia, Hoyce Temu aluanza hivi hivi kabla hajala shavu UN.
Mumsaidie msimbeze, kujitafuta ni process.
Kweli Kuna mawaziri madomo zege yaani wanashindwa kumpata demu kama mobeto mpaka wajidharilisha namna hii?Nimeona Wizara ya Madini wameandaa mkutano wa TANZANIA MINING AND INVESTMENT CONFERENCE 2024 (TMIC2024)
Wameuita USIKU WA MADINI utakuwa 20th Nov 2024 Mlimani City Mall, DSM
Hamisa naye atakuwepo, nimeshangaa sana. Hivi kweli Wizara imekosa wachimbaji wakubwa wa kati na wadogo ili waje kutoa hamasa kwenye mkutano huo!
Kuna wanawake wengi tu wanafanya kazi kule migodini ambao walitakiwa kupewa kipaumbele.
Wapo wadada na akina mama wanaowekeza kwenye madini na wanayapambania mnakuja kubeba waigizaji?
Ajabu wametuletea Hamisa acha tuone hayo madini atakayotoa.
Na ikumbukwe huu ni mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini.
Nikiwa kama mdau wa hii sekta hili jambo limenishangaza sana.
View attachment 3155006
Hili taifa linaendeshwa kishikaji sana
Hili tukio halina tofauti na wasanii kupelekwa Korea Kusini ilhali Tanzania tuna sekta nyingi mbovu ambazo tulitakiwa tuwasilishe watu Korea ili tuambukizwe ujuzi.Wanawapa kipaumbele mademu zao tu, wadau tutafikiriwa. Kuna upuuzi mwingi sana
Waziri wa madini bado kijana, huelewi nini?🥱Nimeona Wizara ya Madini wameandaa mkutano wa TANZANIA MINING AND INVESTMENT CONFERENCE 2024 (TMIC2024)
Wameuita USIKU WA MADINI utakuwa 20th Nov 2024 Mlimani City Mall, DSM
Hamisa naye atakuwepo, nimeshangaa sana. Hivi kweli Wizara imekosa wachimbaji wakubwa wa kati na wadogo ili waje kutoa hamasa kwenye mkutano huo!
Kuna wanawake wengi tu wanafanya kazi kule migodini ambao walitakiwa kupewa kipaumbele.
Wapo wadada na akina mama wanaowekeza kwenye madini na wanayapambania mnakuja kubeba waigizaji?
Ajabu wametuletea Hamisa acha tuone hayo madini atakayotoa.
Na ikumbukwe huu ni mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini.
Nikiwa kama mdau wa hii sekta hili jambo limenishangaza sana.
View attachment 3155006
Hili taifa linaendeshwa kishikaji sana
enfluensa (kwa sauti ya Dotto Magari)Anaalikwa kama nani?
Yani wale watu wanaofanya vitu kinyume na maadili ndio unawapa kipaombele!!! kweli fisi wamechoka
Na kizazi cha mabinti wanaokuja wanakiharibu kishenzi! Kwa sababu wanaona ndiyo maisha haya!
Hawa malaya ilibidi wapigwe pini mpaka mitandao yao ya kijamii!
Hope atakua ni MCHIMBAJI MADINI YA HAPO KATIKATI ZINGATIA NENO KATIKATI.Nimeona Wizara ya Madini wameandaa mkutano wa TANZANIA MINING AND INVESTMENT CONFERENCE 2024 (TMIC2024)
Wameuita USIKU WA MADINI utakuwa 20th Nov 2024 Mlimani City Mall, DSM
Hamisa naye atakuwepo, nimeshangaa sana. Hivi kweli Wizara imekosa wachimbaji wakubwa wa kati na wadogo ili waje kutoa hamasa kwenye mkutano huo!
Kuna wanawake wengi tu wanafanya kazi kule migodini ambao walitakiwa kupewa kipaumbele.
Wapo wadada na akina mama wanaowekeza kwenye madini na wanayapambania mnakuja kubeba waigizaji?
Ajabu wametuletea Hamisa acha tuone hayo madini atakayotoa.
Na ikumbukwe huu ni mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini.
Nikiwa kama mdau wa hii sekta hili jambo limenishangaza sana.
View attachment 3155006
Hili taifa linaendeshwa kishikaji sana
Nini kifanyike mkuu?
Kweli Kuna mawaziri madomo zege yaani wanashindwa kumpata demu kama mobeto mpaka wajidharilisha namna hii?
Nyalandu kipindi akiwa waziri wa utaliii alisafiri na Aunti Ezakiel US,akadai walienda kutangaza utalii US.
Hili tukio halina tofauti na wasanii kupelekwa Korea Kusini ilhali Tanzania tuna sekta nyingi mbovu ambazo tulitakiwa tuwasilishe watu Korea ili tuambukizwe ujuzi.
Unaenda kupeleka tasnia ya filamu ilhali haiingizi hata 20% ya pato la taifa.
Wakati huo wewe mfumo wako wa elimu ni mfumo duni,huwezi kuendesha mradi wowote ule wa kiserikali,hauna wahandisi wazuri wa barabara😂😂😂😂😂😂😂😂😂aaaalooooooh!
Hii bongo ina laana aisee the one who cursed us might be dead.