Hamisa Mobeto ana mchango gani kwenye sekta ya madini? Wizara ya Madini mjitafakari sana kuelekea TMIC2024

Hamisa Mobeto ana mchango gani kwenye sekta ya madini? Wizara ya Madini mjitafakari sana kuelekea TMIC2024

Waarabu huko Dubai wameisha andaa Nov 26-27 maonesho na mkutano wa kimataifa wa technologia na uwekezaji kwenye miradi ya madini.
 
Waarabu huko Dubai wameisha andaa Nov 26-27 maonesho na mkutano wa kimataifa wa technologia na uwekezaji kwenye miradi ya madini.
Hamisa atakuwepo?
 
Anatafuta maisha, wamemtumia yeye na,Salim kikeke kutangaza hafla yao.
Iko siku atatulia, Hoyce Temu aluanza hivi hivi kabla hajala shavu UN.
Mumsaidie msimbeze, kujitafuta ni process.
 
Xi Jinping You and I don't see eye to eye very often, but here are my two cents.

Nilipoona ad ya huyu bidada mwenyewe nilishangaa anafanya nini kwenye hii sekta ila ukituliza akili utaelewa.

Dhumuni la huu mkutano ni kukutanisha wadau na wasio washiriki wa hii sekta (outsiders). How do you attract the outsiders?

Tuseme hapo aende Achimwene, Mdimi, GGM, Barrick na wadau wengine tu unadhani mtu wa kawaida atashawishika kwenda kujifunza? Wengi wamesikia kuhusu huu mkutano baada ya hawa so called influencers kuwa invited otherwise wangekutana watu wale wale waliopo ndani ya sekta kubadilishana mawazo yale yale.

Unless huyu mwanamama ana sifa mbaya kwenye jamii, sijui her personal life in details, hakuna sababu ya kumrushia mawe.
 
Nimeona Wizara ya Madini wameandaa mkutano wa TANZANIA MINING AND INVESTMENT CONFERENCE 2024 (TMIC2024)

Wameuita USIKU WA MADINI utakuwa 20th Nov 2024 Mlimani City Mall, DSM

Hamisa naye atakuwepo, nimeshangaa sana. Hivi kweli Wizara imekosa wachimbaji wakubwa wa kati na wadogo ili waje kutoa hamasa kwenye mkutano huo!

Kuna wanawake wengi tu wanafanya kazi kule migodini ambao walitakiwa kupewa kipaumbele.

Wapo wadada na akina mama wanaowekeza kwenye madini na wanayapambania mnakuja kubeba waigizaji?

Ajabu wametuletea Hamisa acha tuone hayo madini atakayotoa.

Na ikumbukwe huu ni mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini.

Nikiwa kama mdau wa hii sekta hili jambo limenishangaza sana.

View attachment 3155006

Hili taifa linaendeshwa kishikaji sana
Kweli Kuna mawaziri madomo zege yaani wanashindwa kumpata demu kama mobeto mpaka wajidharilisha namna hii?
 
Wanawapa kipaumbele mademu zao tu, wadau tutafikiriwa. Kuna upuuzi mwingi sana
Hili tukio halina tofauti na wasanii kupelekwa Korea Kusini ilhali Tanzania tuna sekta nyingi mbovu ambazo tulitakiwa tuwasilishe watu Korea ili tuambukizwe ujuzi.
Unaenda kupeleka tasnia ya filamu ilhali haiingizi hata 20% ya pato la taifa.
Wakati huo wewe mfumo wako wa elimu ni mfumo duni,huwezi kuendesha mradi wowote ule wa kiserikali,hauna wahandisi wazuri wa barabara😂😂😂😂😂😂😂😂😂aaaalooooooh!
Hii bongo ina laana aisee the one who cursed us might be dead.
 
Nimeona Wizara ya Madini wameandaa mkutano wa TANZANIA MINING AND INVESTMENT CONFERENCE 2024 (TMIC2024)

Wameuita USIKU WA MADINI utakuwa 20th Nov 2024 Mlimani City Mall, DSM

Hamisa naye atakuwepo, nimeshangaa sana. Hivi kweli Wizara imekosa wachimbaji wakubwa wa kati na wadogo ili waje kutoa hamasa kwenye mkutano huo!

Kuna wanawake wengi tu wanafanya kazi kule migodini ambao walitakiwa kupewa kipaumbele.

Wapo wadada na akina mama wanaowekeza kwenye madini na wanayapambania mnakuja kubeba waigizaji?

Ajabu wametuletea Hamisa acha tuone hayo madini atakayotoa.

Na ikumbukwe huu ni mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini.

Nikiwa kama mdau wa hii sekta hili jambo limenishangaza sana.

View attachment 3155006

Hili taifa linaendeshwa kishikaji sana
Waziri wa madini bado kijana, huelewi nini?🥱
 
Nimeona Wizara ya Madini wameandaa mkutano wa TANZANIA MINING AND INVESTMENT CONFERENCE 2024 (TMIC2024)

Wameuita USIKU WA MADINI utakuwa 20th Nov 2024 Mlimani City Mall, DSM

Hamisa naye atakuwepo, nimeshangaa sana. Hivi kweli Wizara imekosa wachimbaji wakubwa wa kati na wadogo ili waje kutoa hamasa kwenye mkutano huo!

Kuna wanawake wengi tu wanafanya kazi kule migodini ambao walitakiwa kupewa kipaumbele.

Wapo wadada na akina mama wanaowekeza kwenye madini na wanayapambania mnakuja kubeba waigizaji?

Ajabu wametuletea Hamisa acha tuone hayo madini atakayotoa.

Na ikumbukwe huu ni mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini.

Nikiwa kama mdau wa hii sekta hili jambo limenishangaza sana.

View attachment 3155006

Hili taifa linaendeshwa kishikaji sana
Hope atakua ni MCHIMBAJI MADINI YA HAPO KATIKATI ZINGATIA NENO KATIKATI.
 
Nini kifanyike mkuu?


Turejee kwenye misingi ya kufanya kazi kwa kuzingatia uadilifu.
Tusichanganye mapenzi na kazi zenye maslahi ya umma.
Uamuzi unaofanya angalia athari zake kwa jamii nzima maana unaweza ukajikuta unabomoa badala ya kujenga.
Mabinti wengi watajifunza kuwa Umalaya utakufanya ukubalike serikalini.
Hata walikuwa wanafanya kwa Siri watajinadi hadharani.
Umalaya ni kinyume na dini na utamaduni na desturi ya watanzania.
 
Hili tukio halina tofauti na wasanii kupelekwa Korea Kusini ilhali Tanzania tuna sekta nyingi mbovu ambazo tulitakiwa tuwasilishe watu Korea ili tuambukizwe ujuzi.
Unaenda kupeleka tasnia ya filamu ilhali haiingizi hata 20% ya pato la taifa.
Wakati huo wewe mfumo wako wa elimu ni mfumo duni,huwezi kuendesha mradi wowote ule wa kiserikali,hauna wahandisi wazuri wa barabara😂😂😂😂😂😂😂😂😂aaaalooooooh!
Hii bongo ina laana aisee the one who cursed us might be dead.


Afadhali hizo Hela zingejenga mabweni ya wanafunzi wa kike wa sekondari maana ni zaidi ya tatizo nchini.
 
Back
Top Bottom