Naona hili tangazo la TANDABUI hapa Jamii Forums kila siku. Linasema bofya hapa, kinachonipa wasiwasi ni picha ya huyu jamaa, anaoneka mtu wa ndumu huyu. Hivi hii Institute ni kweli wako serious?
Hahahahahahhh!haya mambo bhana..
Ama kweli furaha ya mwanamke ni kuona mwenzake anaumiaHeheeh mi nasubiria tu ,maana daimond kakataa so tuone picha ,,halaf ndio inatokea wanafanana hatare na daimond[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KWAIYO MWANAMKE AKIMWITA MWANAE ABDUL NDO ATAKUA KAZAA NA DIAMOND AU? SIJAELEWAHamisa Mobetto amempa mtoto wake jina la Abdul Naseeb. Jina ambalo limeanza kumaliza maswali mengi ya mashabiki ambao walitaka kumjua baba wa mtoto huyo.
Jina hilo ni la Babu yake anayeitwa Abdul. Jina la Diamond ni Naseeb Abdul.
Last week, kamera za Shilawadu ziliinasa familia ya Diamond ikiwa hospitali aliyokuwepo Hamissa baada ya kujifungua, soma VIDEO: Mama yake Diamond Platnumz alimtembelea Hamisa Mobeto hospitalini
Nani kaumia nikafurahi?
Wakati nasoma hii thread na kucoment sikuwa namfikiria zari kabisa
Utasubiri hadi ufeeeThe fall of him, huyu dogo tuhesabu siku tu. Nyimbo zenyewe anawaiga sana wapopo
Replay uliyo iquote na haya maelezo yako uliyo yatoa mbona hayaendani.Sasa wewe ulitaka mtoto amtupe....kama umri unamruhusu na kajisikia kuzaa kwa nini asizae kwani dunia nzima watoto wote mama zao wameolewa acha ujinga pambana na haliyako......sembuse mumeo nae uko kazaa nje. Wewe umeona kuvua chup tu wale ni wasanii waache waishi kisanii wewe kwani inakuuma nini.
Kumbuka pia Diamond hajakuli wala hamisa hajakili ni mambo ya mtandao tu sasa sijui pov la nini mwacheni yeye sio wa kwanza kuzaa nje ya ndoa nyi wenyew mliondani ya ndoa mnalia kilasiku daadek Uganda Baby Vs Tanzania Baby
[emoji13] no watatu ataza na mwanaume gani sjui.Raha ya mume umjue mke mwenzio! tena ukimjua unajichetua haswaa,safi Hamisa komaa na hali yako bibie.ukizaa wapil muite Esmaplatinumz. Uzalendo nyumbani kwanza.
Atazaa tu na Dimondo!hahaha[emoji13] no watatu ataza na mwanaume gani sjui.
Maana kama kambuzi.[emoji188] [emoji188]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naona hili tangazo la TANDABUI hapa Jamii Forums kila siku. Linasema bofya hapa, kinachonipa wasiwasi ni picha ya huyu jamaa, anaoneka mtu wa ndumu huyu. Hivi hii Institute ni kweli wako serious?