Kabisa I see hili lichama mpaka linanuka sasaChama cha majizi , makahaba , majambazi , matapeli , mapunga , mataahira ( CCM )
Kwani kina Sugu na Prof Jay mbona wapo na hatuoni hilo balaa?
Lini ulikuwa mgumu?!
Kingendu,Diamond,harmonize,Wema,n.k.Aseee hilo bunge waingie akina steve na hamisa mbona balaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mbunge siyo kiongozi bali mwakilishi au mtumishi wa wananchi. Ni mtu aliyetumwa bungeni kuwasemea waliomtuma.Hao wasanii baadhi yao wanajiona wanauwezo wa kuongoza lakini sidhani kama kweli wanauwezo huo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unapenda sana ligi tuu, Sugu na Prof J ni wanaharakati kwa asili na mapambano yao yanaonekana hadi Leo.Kwani kina Sugu na Prof Jay mbona wapo na hatuoni hilo balaa?
Kwa vile spika amesema Bunge ni moja ya vivutio vya utalii, sawa anaweza kupewa tu huo ubunge wa Kinondoni.Lini ulikuwa mgumu?!