Hamisa Mobeto: Nilidungwa mimba mara tatu na Diamond

Hamisa Mobeto: Nilidungwa mimba mara tatu na Diamond

Ha ha ha h!!!Pole kwa nnavokusoma tu wewe in envyyyyyy kwa Missa
Punguz chuki brooo
Km rahisi kuuza nenda kauze na wewe ndugu uhongwe reeeeeeeeeeeeenjiiiii(in Aristotle voice")
Km kuuza rahisi kauze na wewe upate followers 10.2m
Km mtu mwenye followers laki Moja anaishi kupitia matangazo sembuse Hao wasaniii wakitangaza kwenye pages zao
Kuuza rahisi kauze na wewe kwa Diamond utrend baasi umsingizie Mimba,upate umaarufuuu
Umetumia nguvu kubwa sana kutetea
 
Yaani Tanzania malaya mjanja anatakatisha umalaya wake kama sio kwenye kuigiza basi ataimba hapo thamani yake inapanda au ataanzisha duka la nguo sinza
Teh teh,kesho anakuambia yeye ni kioo cha jamii

Ova
 
Kitendo Cha kugombana kdg na Diamond

Akaanza kumpost Dylan na billnass plus caption kibao za makopa kopa Ni upuuz usiovumilika kwa Mwanaume anaejitambua.

Kwa akili ya haraka haraka
Lzm ujue Huyu Mtoto nmepigwa, aliepostiwa ndo baba halisi ukzngatia kapost kusudi ili aumie roho.

Tukumbuke:
mwanamke mwenye hasira ndo huongea kweli
Duh! Kumbe huyu dada Ni mjinga kiasi hiki?
 
Dada wa watu kajaaliwa sura kasoro akili.Inasikitisha Sana.
 
Mobetto kaliwa na Bro wangu wa kazini. Dem alianza hapa bongo hawezi kuingi hotelin jamaa akajua dem anazingua akamwambia tunaenda south. Demu hakuchomoa wakaenda south akaliwa, hawa masupastaa ni dau lako tu. Tena huwezi kuwala kama hujapitia kwa maagent wao[emoji119][emoji119]
Maagent wakina tivu

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Mtoto yule alikubaliwa bila DNA na lile tukio mwanzo mpaka mwisho liliripotiwa na akina Soudybrown,Diamond akaa baadae watu wakamchana akaamua kwenda kuhakikisha kupima DNA na kugundua mtoto sio wake.

Sasa kama hujui mtoto ni wa Billnass na kama hujui Billnass na Mobetto kunawaka huko,MONDI KAKATA HUDUMA ZOTE HATOI HATA SENTI.

Sikulazimishi maana unaonekana ni mbishi ila hiki ninacho kwambia nina uhakika nacho ,yule mtoto hana chake kwa Mondi. Hizi tetesi nilizisikia zamani, nikaja kugundua ni kweli baada ya mama yake Mondi kumwambia asilazimishe undugu na juzijuzi tu hapo Mpoki ndio akamaliza kila kitu. So kama unabisha endelea kubisha .

Msikilize hapo .
Wewe jamaa mtu analeta reference statement ya mahakama na wewe unaleta reference sudy brown na mpoki!

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Hata billnass hajalazimishwa mtoto
Ujue kwa alipofikia HAMISA Kwa Sasa amempuuza tu Mondi na hataki hizo drama
Hyo intavyuu ya miaka mingi kipindi hicho HAMISA nadhani Bado ana akili za kitoto na kishamba
Kwa Sasa HAMISA huyu sio yule wa kipindi kile kutukannwa na ukoo mzima na Bado anaenda kuliwa na Mondi
HAMISA wa Sasa amekaa kimya anawaona wote wapuuzi tu kuhusu DNA mwanzoni walipima walitaka wakapime Tena HAMISA amekataa na sio yeye hata Mimi km nna hakika mtoto ni wako ukisema DNA nakataa asee kama kumkataa mkatae wangapi wanekataliwa wamelelewa single mama na wanafanikiwa
Amechoka na drama za bi Sandra na wanawe,wale hawajitambui they are dying for fame ndo maana yule mama na mwanawe waliweza kwenda kwenye Radio wakasema diamond sio mtoto wa Mzee Abdul aliolewa na Mimba tu ila Mzee Abdul uliona hekima aliyotumia?na Ndo uzazi ulivyo brother...
Kwa Sasa Missa Yuko too far from dramas anafanya umalaya wake kimpango wake Ile familia Iko tayari Kwa lolote Ili tubaki wabaki juu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Haswaaa dear
 
Hasaaa ana shida ya pesa kwa Sasa kwani?!!!!
Acheni majungu wanaume muacheni hamisa na umalaya wake
Kwani ushamsikia analalamika child support kwa Sasa?!
Sip level,ni lazima muumie kwa Sasa ma'am wengine mmesoma ila ndo hvyo unga unga mwana, wengine mmeambikiziwa watoto mnaleta hasira kwa mobeytooooooo,Malaya mjanjaaaa kazaaa na wenye helaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]fancy tayari ana nyumba yake
Mna hasira n an Missa km mke Mwenzenu dada zenu wanaliwa kwa bei cheeeeeap na wanazalishwa wanaachwa hovyoo hasira za kulea wajomba zenu waso na baba mnaleta kwa watu msowajua[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Pyeeeee!!!!pole weeeee!!!!mobeto anawatia hasira sana wanaume baadhi w kiswahili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yule si anadanga,Child support anayotoa Majizzo kwa mtoto wake inamtosha ila kwa matumizi mengineyo ya kwake hapo lazima adange.



Majizo alishamchukua Mtoto siku nyingiiii sasa hiyo child support ataitoa kwa misingi ipi?

Kuna wanaume wana misimamo anakwambia nipe Mtoto na usinipangie wa kwenda kuishi naye hata kama ni mama wa kambo ilimradi baba Nipo nitafuatilia hutaki baki na mtoto lakini hata mia sikupi.
Budget za kugawagawanl nani anazitaka?
 
Back
Top Bottom