Hamisa Mobeto: Nilidungwa mimba mara tatu na Diamond

Hamisa Mobeto: Nilidungwa mimba mara tatu na Diamond

Anapata deals kubwa kubwa tu

Kutangaza belaire kalamba milioni kazaa

Kwenye promo ya tigo ya wa kishua yupo yeye mobetto, millard ayo, mario, fei toto na manula.

Kila mmoja kalamba zaidi ya milioni 50 from tigo.

Bado deals zake mobetto na makampuni ya nywele za wanawake..

Yaani kwa ufupi mobetto ni malaya mjanja sana.. juzi juzi tu alikuwa nigeria kwenye event ya dstv na sound city kama host. Kalamba hela za kutosha tu from dstv

Hapo kazaa na majizo

Kazaa na diamond

Kote huko kwenye mirathi anaingia na child support zao anakula na ada analipiwa.

Watoto wake hawasomi kayumba na wana uhakika wa maisha
huyo mtoto familia ya mond walishamtosa kitambo baada ya kugundukia sio wa kwao (DNA) ndio maana birthday za mtoto hutawaona tena familia ya mond wakimposti
 
Kitendo Cha kugombana kdg na Diamond

Akaanza kumpost Dylan na billnass plus caption kibao za makopa kopa Ni upuuz usiovumilika kwa Mwanaume anaejitambua.

Kwa akili ya haraka haraka
Lzm ujue Huyu Mtoto nmepigwa, aliepostiwa ndo baba halisi ukzngatia kapost kusudi ili aumie roho.

Tukumbuke:
mwanamke mwenye hasira ndo huongea kweli
😀😀😀
 
Diamond anajua mtoto sio wake kabambikiwa na mobetto.. ila shida DNA zilisoma ni wa diamond.

Na mtoto kisheria ni wa diamond.

Child support anatoa kama kawaida na kwenye mirathi anaingia kama kawaida

Huu ni uongo wa hali ya juu
 
Hata billnass hajalazimishwa mtoto
Ujue kwa alipofikia HAMISA Kwa Sasa amempuuza tu Mondi na hataki hizo drama
Hyo intavyuu ya miaka mingi kipindi hicho HAMISA nadhani Bado ana akili za kitoto na kishamba
Kwa Sasa HAMISA huyu sio yule wa kipindi kile kutukannwa na ukoo mzima na Bado anaenda kuliwa na Mondi
HAMISA wa Sasa amekaa kimya anawaona wote wapuuzi tu kuhusu DNA mwanzoni walipima walitaka wakapime Tena HAMISA amekataa na sio yeye hata Mimi km nna hakika mtoto ni wako ukisema DNA nakataa asee kama kumkataa mkatae wangapi wanekataliwa wamelelewa single mama na wanafanikiwa
Amechoka na drama za bi Sandra na wanawe,wale hawajitambui they are dying for fame ndo maana yule mama na mwanawe waliweza kwenda kwenye Radio wakasema diamond sio mtoto wa Mzee Abdul aliolewa na Mimba tu ila Mzee Abdul uliona hekima aliyotumia?na Ndo uzazi ulivyo brother...
Kwa Sasa Missa Yuko too far from dramas anafanya umalaya wake kimpango wake Ile familia Iko tayari Kwa lolote Ili tubaki wabaki juu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Daa
 
Hamisa ni Tako lisilo na Ubongo, Mpuuzeni hata yeye hajui anasema nini ila point yake kubwa ni kwamba licha ya kusuguliwa sana na Simba pia amezoea kutoa Mimba.

Tuitenge jamii yetu ya watoto wa 2005 mbali na hawa Malaya wa kitaifa tutakosa wake uko mbeleni.
Kuna bint wa 2005 nimeona yeye DP, na Wallpaper zake zote ni Giggy money na anavaa kama Yammy vitovu nje muda wote huyu ni Pre University habari gani kwa walioishia la 7?
 
Hamisa ni Tako lisilo na Ubongo, Mpuuzeni hata yeye hajui anasema nini ila point yake kubwa ni kwamba licha ya kusuguliwa sana na Simba pia amezoea kutoa Mimba.

Tuitenge jamii yetu ya watoto wa 2005 mbali na hawa Malaya wa kitaifa tutakosa wake uko mbeleni.
Kuna bint wa 2005 nimeona yeye DP, na Wallpaper zake zote ni Giggy money na anavaa kama Yammy vitovu nje muda wote huyu ni Pre University habari gani kwa walioishia la 7?
Hatar sana

Ova
 
Back
Top Bottom