Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Dini inaruhusu bibiee...hata miye sikatai kuolewa mke wa pili!!!Namsamehe tu,siwezi muacha nisharogwa na mengi
Kuzini na kuoa bora kuoa!!+
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini inaruhusu bibiee...hata miye sikatai kuolewa mke wa pili!!!Namsamehe tu,siwezi muacha nisharogwa na mengi
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Ndio
Watu wanavyojifanya kushangaa wakati wengi tu wameolewa wake wadogo na wameridhia mbona sio kitu cha ajabu,wakristo hawahalalishi lakin nyumba ndogo kibaoDini inaruhusu bibiee...hata miye sikatai kuolewa mke wa pili!!!
Kuzini na kuoa bora kuoa!!+
Walitaka asimuongelee mtu kazaa nae [emoji23][emoji23][emoji23] watu utafikiri wamemzaa diamondWengine walimuongelea diamond mpk BBC [emoji3][emoji16][emoji23]jamani mbona vitu vya kawaida hvyo hata km humpendi mtu!!!sio kihvyo koko !!!
Huyu binti naona anakuzwa sana,she z not of that class...she is too low but she is there coz ya public sympath + u team..!!Akihojiwa katika kituo cha radio citizen nchini Kenya mrembo kutoka Tanzania hamisa Mobeto anasema alikuwa anajua Kama Diamond yupo na Zari na alikubali kufanya mahusiano yake na Diamond yawe ya Siri ili Zari asijue kwasababu Diamond alimwambia dini yake inaruhusu kuoa wanawake wanne na yeye alikubali ili mradi anapata mahitaji yake muhimu.
Hamisa" Diamond aliniambia dini yake inaruhusu kuoa wanawake wanne na Mimi nilikubali kuwa mke wa pili sikuona tatizo kushare na Zari, muhimu mahitaji yangu napata sio lazima Kila mtu ajue nipo na Nani, ila ndo hivo diamond hajielewi".
Kwasasa naelekeza nguvu zangu kwenye musiki nimesha move on na maisha yangu.View attachment 878568
Ni ngumu kwa sababu ni sehemu ya maisha yakee...lazma amuongeleee...Walitaka asimuongelee mtu kazaa nae [emoji23][emoji23][emoji23] watu utafikiri wamemzaa diamond
Anatumia fursa endelea kumdharau hvyo hvyoo...!!!siku zote ukitaka kufanikiwa kubali kudharaulika....!!!!Huyu binti naona anakuzwa sana,she not of that class...she is too low but ndo hivyo tena public sympath inamuweka kwa peak
Hahahaha kuandika kwenye keyboard unavyotaka rahisi kweliNi ngumu kwa sababu ni sehemu ya maisha yakee...lazma amuongeleee...
Watu wa humu wakikuchukia tafrani yaani wao wanajiona wakamilifu
Unaaaafiki wa kiwango cha treni za umeme na barabara zake...humu ndo umejaa...Watu wanavyojifanya kushangaa wakati wengi tu wameolewa wake wadogo na wameridhia mbona sio kitu cha ajabu,wakristo hawahalalishi lakin nyumba ndogo kibao
Ahahahahahhaha acha tuUnaaaafiki wa kiwango cha treni za umeme na barabara zake...humu ndo umejaa...
Wengine humu nyumba ndogo tena michepuko...tu!!hasira zao wanamalizia kwa hamisa[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23]!!!
Jamani wengine waislamu dini yaruhusu!!!
ila haibadili ukweli kwamba she z not of that class no matter what....sijamdharau but naongelea ukweli...otherwise best of lucky to her!!Anatumia fursa endelea kumdharau hvyo hvyoo...!!!siku zote ukitaka kufanikiwa kubali kudharaulika....!!!!
Hamisa wa juzi sio wa Jana,wa Jana sio wa Leo wala wa kesho...yuko mbioni kwenda America (yaweza kua wewe umefika pia huko ila wengine bado twatamani kabisaa)so endelea kumdharau!!kaka
Hujasikia kenya njemba mbili zilikuwa zimeoa mwanamke mmoja na wakawa wanaishi nyumba mojaHakuna mwanaume anaekubali kushare unless labda mke wa mtu unajua unapiga alafu unatembea lakini sio kuweka makazi hapo
Wengine walimuongelea diamond mpk BBC [emoji3][emoji16][emoji23]jamani mbona vitu vya kawaida hvyo hata km humpendi mtu!!!sio kihvyo koko !!!
[emoji119][emoji122]... Niivi Macelebs hawa, yaan kushea na Zari mwanaume kwao ndio Big deal !!
Wala tatizo sio Jamaa
Kuna Dada aliniambiaga, "Mwanamke mjinga anaweza kukubali kumvulia chupi mume wamtu, ili tu huyo mume wamtu amtie juu ya kitanda anacholalia yeye na mke wake"Vijinga mno
Ndio nini hiki Mkuu?miscarage