Hamisa Mobetto atarajia kufungua Duka la nguo na urembo

Si unaona bandiko langu Pakawa. Siwezi kumtakia mabaya Mtanzania mwenzangu au binadamu mwenzangu hakuna asiye na mapungufu kitabia. Si ajabu hata mwenyewe hili sakata la kesi analijutia na angepewa nafasi nyingine labda hiyo laki 5 kwa mwezi angeendelea kuichukua kimya kimya bila kuanika mambo hadharani.

Mkuu wewe je?
Mimi nam support sana huyu mtoto ana mapungufu lakini ni utoto akikua ataacha.
Acha atengeneze pesa ya kulea wajukuu zetu damu yetu Tz.
 
Nakubaliana na wewe. Pesa ya kupewa au kurithi mbaya sana. Mungu amsimamie Mama huyu, Binti huyu, Mtoto wetu na zaidi Mtanzania Mwenzetu! Charity begins at home!
Saaafiii ahsante
 
Mkuu umesahau kuweka picha za bidhaa kama sample...
Mahali duka lilipo
Bei za bidhaa ili wanunuzi waende na pesa...
 
Kuna kitu si bure. Bora afocus sasa kwenye mambo yake ya msingi na ya kujenga.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] madam una akili sana umeona eeeehhh!!!

Watu wanalambwa visogooo!ht Mimi nililiwaza nikakonekti doti....jibu likaja
 
Hoja hujibiwa kwa hoja, nitakujibu hapa hapa.
Nimesema zaidi ya 90% ya wasanii wa Tz hawajui kufanya biashara zaidi za kudandia fursa na kutafuna mitaji tu, hivyo kama kuna wasanii wamepiga hatua kibiashara basi labda hiyo 10% iliyobakia.

Tuje kwa hao wakina Lulu, Wolper, Shilole. (Sijui kuhusu Zamaradi kama ni msanii au ni mtangazaji). Embu tuwe wakweli hapa, ukiondoa biashara ya kuuza Uchi, hivi hizo biashara zingine ndio zinawalipa hapa mjini?
Hivi wewe huwezi kujiuliza haya...
1/Mwanamke anayemudu biashara zake vyema, umalaya wa nini tena?

2/Mwanamke mwenye biashara yake nzuri, kwanini yuko kutwa instagram kupost picha zake za nusu uchi na wala sio bidhaa zake za biashara?

3/Mwanamke mwenye kumudu biashara zake vyema, hataki kuolewa lakini kutwa yuko kudandia wanaume. Hii inakuwaje?
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] madam una akili sana umeona eeeehhh!!!

Watu wanalambwa visogooo!ht Mimi nililiwaza nikakonekti doti....jibu likaja
Hahahaaaa!! Kuna namna mpz, yaani kama ni kweli basi nampa boonge la big up. Afungue tu duka tutamuungisha mwanamke mwenzetu.
 
Hongera zake kwa kuwekeza maana duniani usipojifunza utafunzwa ila usipojitunza hakuna atakaye kutunza...

OP
Ila diamond na hamisa wana roho ngumu.
Hamisa alikuwa anatembea na mond tena madale kabisa ila zari akiwepo kwenye 40 anacheza na kumtunza kama vile hakuna kitu.
Diamond yeye alikuwa namkana hamisa hadharani tena akiwa na zari anaonyesha mahaba mazito, alivyo na roho ngumu hadi kaimba kuwa majizzo na moneto zilipendwa, kumbe alikuwa nashangilia kuwa yeye ndiye anayejilua kwa sasa.
 
Hahahaaaa!! Kuna namna mpz, yaani kama ni kweli basi nampa boonge la big up. Afungue tu duka tutamuungisha mwanamke mwenzetu.
Sana tu maana ile kesi dai ingemnyea lipo lililitendeka...
Ghafla tuuu clothing line!

Tutamsapoti haswaa
 
Nimekupata BAK
Lakini inawezekana mtaji ulitoka kwa aliyepelekwa mahakamani
Kuna mtu anadanganywa hapa
Anyways tunawaombea heri wakuze watoto!
 
Si aseme duka la mtu aliongea nae atumie jina lake.. malipo wanajuana wenyewe.

Atakayeamini ni lake yeye naye ni kituko. Bora watu wamtumie tu kupata chao naye apate vijisenti.
 
Kuchangamkia fursa inategemea mtu na mtu. Maybe unawaona wanauza kwakuwa ni maarufu ila hawana tofauti na wanawake wengine.

Kuolewa ni maamuzi kama yalivyo maamuzi mengine. Afterall kibongo bongo sio wasanii tu ila wanawake tulikuwa tumelala fulani, ila sasa tunaamka na kuzichangamkia fursa. Hivyo mtupe support hayo mengine achana nayo.
 
Jiulize wewe unaekomaa na hamisa kuliko ya kwako binafs
Katoto ka 24yrs kanawajambishaaa[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Formation imevurugwa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hao niliokutajia kwa sasa wako busy na bizness!

Umalaya ni hulka ya mtu awe maarufu asiwe maarufu

Japo wapo ambao wanaendekeza ujinga ila wapo wanaojitambua pia na ndo tunawasapoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…