MajikupwaMajikujaa
New Member
- Sep 13, 2017
- 1
- 0
[emoji18][emoji18][emoji18]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kupambana na maisha yetu.Watajijua tushawachoka na kiki zao , wengine tupo bize kumwombea mzee lissu
Hakika yaan anajidhalilisha sana. Mbona ht kukaa kimya nalo ni jibu tosha.Halafu huyo ndio anaitwa mama kisa kaingia leba. Kuna mtu tulibishana sana.
Kwa kutumia reference ya mama angu huyo hata dada angu hawezi kuwa.
Sio mzee kiumri lkn kwa busara zake na harakati zake. Ni neno flan hv la heshima.Lissu nae ni mzee?!
Hivi hizi discussion zipo Dunia gani!?!?View attachment 591318 jina limebadilishwa na kama mnavyoona picha baba wa mtoto ni daimond ,na za chino ya kapeti mama mtu na Esma eti hiyo ni kumkomesha zari[emoji23][emoji23]
Hamissa nilikua nasubiri hii siku maana nilikua siamini
Kesho daimond sijui atasemaje,na hapo unaambiwa Hamisa hajanya akinya team zari mtakufwa na presha,,,
Hata mi ningekuwa hamissa huko kukanwa vepe kwani Zari ana nini
Tena hamisa iingie fasta nyingine ulete wa pili mlingane [emoji23][emoji23][emoji23]
duller square jamano hana hamuView attachment 591327
kwanza umeshajadili maisha ya watu. pili MALAYA ni huyo dai....hivi angetuliza kengele zake huyo hamisa angembaka?Sijadili maisha ya watu, lakini Hamisa ni MALAYA. Si mwanamke wa kuoa. Na diamond akikosea amwache Zari, eti aoe huyu malaya, hatatulia tena.
Hakuna mwanamke mwenye busara na aliyetulia, atakuwa na matabia kama ya hiki kijukuu changu hamisa. Ninahisi amelelewa bila baba wa maana ndiyo sababu anakishi kichangudoa doa. Anachokifanya ni kumdhalilisha mtoto./QUOTE]
eti hamisa Malaya!! na mond tumuitaje fuska ama
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aiseeh!hii inaitwa jishaue mke mkubwa akutambue[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha tusubiri part2
Team povi,team roho mbaya,team mnaafiki!!!!!Sijadili maisha ya watu, lakini Hamisa ni MALAYA. Si mwanamke wa kuoa. Na diamond akikosea amwache Zari, eti aoe huyu malaya, hatatulia tena.
Hakuna mwanamke mwenye busara na aliyetulia, atakuwa na matabia kama ya hiki kijukuu changu hamisa. Ninahisi amelelewa bila baba wa maana ndiyo sababu anakishi kichangudoa doa. Anachokifanya ni kumdhalilisha mtoto.