Hamisa Mobetto avujisha picha zake na Diamond

Hamisa Mobetto avujisha picha zake na Diamond

Dah!ila kama kweli kazaa na daimond hamisa ni wale wanawake nyoka kabisa hafai hata kumsogelea,alichofanya sio kumkomoa bali ni kuumiza nafsi ya daimond,na hakuna mwanaume anayekubali kushindwa yatamtokea pua.
Nampenda sna zari,kama mwanamke nimeumizw sana jamani mwanaume anauma haswa ukimpeda...wenye povu fueni tu hakunaa namna
Hatufulii tunadekia chooni Leo!

Wanaume sio watu ukute alimuambia tuzae sasa je?
 
Yaan mi naona hamisa anajidhailisha tu jamani, hapa kweli kuna mwanaume atakuja kutia mguu kutaka kuoa?
Kwnn asingekaa kimya tu, najisikia aibu km ndio mm.
Mtu kama anakukubali wala huwa haitumiki nguvu kubwa hv kujitangaza. Km hali ndio iko hivi ndio mana majizo aliondoka zake.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwa hyo alivyomkataa mlikua mnashangilia?
Poleni
 
Naona kumshusha kimuziki imeshindikana, sasa ni upande wa pili kumshusha kimahusiano.

Hamisa kama alimegwa kamegwa tu, na si alikua amejitega kwa sababu ya nia yake aliyokua anaijua????

Basi sawa kwa mwanamke anayejitambua kama Zari atakaaa chini atasoma lengo la huyo Hamisa kiundani
Atampotezea na watasameheana yataisha.

Funzo ukichepuka na wanawake namna hii, kuwa makini sanaaaa, maaana huwa wanaelewa wamefatwa kwa ajili ya mahusiano ila wao wanaamua ibu ya wengine

Twendeee mzee Mondi, najua team hater's leo wanajidai wanahuruma sana na Zari, maana dizaini fulani hivi wameona kama wanaanza kufanikiwa kuwatenganisha.

Huko walipo Mange na Wema naona kwa wakifanikiwa kwa hili watafanya party kabisa, maana si kwa battle hili la miaka 3 mfululizo hawachoki kupambania kuharibu mahusiano haya
 
Hizi ajali za kwenye KINENA zisikie kwa mwenzako, ila mondi akituliza kichwa anasolve vizuri na zari kwani ishu yake si kubwa kwa experience kutokana na matukio niliyoyaona. Watu wamezaa nje zaidi ya mara moja na bado wameyamaliza na wanaishi na wake zao. Ila tuangalie na michepuko ya kugonga, mengine ni micharuko (mf Hamisa) iliyoshindikana.
 
Upepo tu huu utapita kama upepo mwingine

Sasa mnashangaa kidume kufanya yake wakati mtu kajipendekeza mwenyewe na anaonesha live nia yake ilikua ni nini.

Kwa hyo akaamua kupiga na picha za siri kuhifadhi ili kuja kuonesha ndo ushahid,haya sasa naye si anajidhalilisha maana baada ya hii saga ni nani ataonekana malaya namba moja Tanzania????
 
Kujishusha atajishusha mwenyewe kwa juhudi zake.Mange hakumtuma afanye ufuska bila kutumia kinga na kumkana mtoto kisha kumuita mamake bitch!!!!

Umlale mwanamke umzalishe kisha umuite Malaya? na hata kama ni malaya wewe uliyemtafuta malaya kisha ukampeleka kwako kwenye kitanda cha mkeo tukuite Nani.
amezoea kudhalilisha wenzie sasa zamu yake
 
Naona kumshusha kimuziki imeshindikana,sasa ni upande wa pili kumshusha kimahusiano.

HAMISA KAMA ALIMEGWA KAMEGWA TU,NA SI ALIKUA AMEJITEGA KWA SABABU YA NIA YAKE ALIYOKUA ANAIJUA????

BASI SAWA KWA MWANA MKE ANAYEJITAMBUA KAMA ZARI ATAKAAA CHINI ATASOMA LENGO LA HUYO HAMISA KIUNDANI
ATAMPOTEZEA NA WATASAMEHEANA YATAISHA.


FUNZO UKICHEPUKA NA WANAWAKE NAMNA HII,KUA MAKINI SANAAAA,MAAANA HUA WANAELEWA WAMEFATWA KWA AJILI YA MAHUSIANO ILA WAO WANAAMUA IBU YA WENGINE




Twendeee mzee mondi,najua TEAM HATER'S LEO WANAJIDAI WANAHURUMA SANA NA ZARI,MAANA DIZAIN FULANI HIVI WAMEONA KAMA WANAANZA KUFANIKIWA KUWATENGANISHA.


Huko WALIPO mange na wema naona kwa wakifanikiwa kwa hili watafanya party kabisa,maana si kwa battle hili la miaka3 mfululizo hawachoki kupambania kuharibu MAHUSIANO haya

Mbona ashashuka tena sana ashuke Mara ya ngapi??
 
kujishusha atajishusha mwenyewe kwa juhudi zake.
Hahahhaa, mshamaliza ishu ya seduce mekwamba imevunja record

Imekwisha na mnaona kipigo mlichokipata

Sasa wiki ilopita mkahamia namibia

Mmerud Tz sasa

Daaaahhh,roho za chuki mbaya sanaaa

Haya sasa hamisa ka kazwa na kwa kua mondi alikua yupo hoi,na kwa kua ni malaya basi ndo hvyo yaniiiiii

Maisha yaendeleena alee mtoto kama wanawake wengine tu
 
Yaani hamissa ananifurahisha sana, yeye haongei ni vitendo tu...nimeona kaachia na video nyingine wapo na mond

Halafu sielewi mtu unamtukana hamissa eti anaharibu mahusiano ya watu, alijipeleka? Alitongozwa kama ambavyo angetongozwa mwingine. Mwenye kosa ni mond alieshindwa kutulia na Zarina
 
Hapa hata sielewi unampambania diamond na wake zake au? Mahusiano hayaingiliwi nyie jikiteni kwenye kushabikia kazi zake.
 
Hahahhaa, MSHAMALIZA ISHU YA SEDUCE MEKWAMBA IMEVUNJA RECORD


IMEKWISHA NA MNAONA KIPIGO MLICHOKIPATA



SASA WIKI ILOPITA MKAHAMIA NAMIBIA


MMERUD TZ SASA

DAAAAHHH,ROHO ZA CHUKI MBAYA SANAAA


HAYA SASA HAMISA KA KAZWA NA KWA KUA MONDI ALIKUA YUPO HOI,NA KWA KUA NI MALAYA BASI NDO HVYO YANIIIIII



MAISHA YAENDELEENA ALEE MTOTO KAMA WANAWAKE WENGINE TU
Wewe endelea na mipasho yako lkn anayelala na malaya nayeye ni malaya tu.
 
Yaani hamissa ananifurahisha sana, yeye haongei ni vitendo tu...nimeona kaachia na video nyingine wapo na mond

Halafu sielewi mtu unamtukana hamissa eti anaharibu mahusiano ya watu, alijipeleka? Alitongozwa kama ambavyo angetongozwa mwingine. Mwenye kosa ni mond alieshindwa kutulia na Zarina
Watu wapole wabaya sana asee...yaani mi nakaonaga kapoole!

..alivyofyatuka sasa hivi dooh! ....Domo angekausha hiyo interview, tutatumiwa picha ya utupu wake very soon, shauri yake!
 
Diamond Anaangaika kujishusha mwenyewe tu, iweje atembee na Malaya kwenye nyumba yake?, kwa nini isiwe hotelini?
Wanaomchukia ndio wanapitia kwenye nyufa anazozitengeneza mwenyewe

Pamoja na hayo, Huyo Msichana anayesambaza picha akiwa na Diamond ni mwanamke mwenye upeo mdogo sana, na itashangaza sana kwa Diamond kama hatamuomba msamaha Zari na akubali kuachana na Zari kirahisi hivyo
Mabeto haingii hata Robo ya Zari kwa Uzoefu wa kukaa na Mwanaume, kutafuta pesa na pia jinsi ya kujiweka kwenye class kitu ambacho alimsaidia sana Diamond,
Sasa huyo Mabeto kazi yake ni Video queen ndio kweli atashindana na Zari?, Mabeto amejidharirisha sana kujionyesha kuwa kweli yeye ni wa kuchapwa tu
 
Back
Top Bottom