Hamisa Mobetto avujisha picha zake na Diamond

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
"Ujana ni Nusu ya uwendaazimu"


Karithi tabia ya Mama yake.....we umeona wapi Mama mtu mzima anakwenda kuvuliwa chupi na kijana umri sawa na mwanawe? Ngoja nimuulize Ommy Dimpoz hii issue.
 
Dah ! Hizi ndo akili za wabongo discussing nonsense matters all the time , we have a millénium a head to make Tanzania a prosperous State
 
Karithi tabia ya Mama yake.....we umeona wapi Mama mtu mzima anakwenda kuvuliwa chupi na kijana umri sawa na mwanawe? Ngoja nimuulize Ommy Dimpoz hii issue.
Mdau mambo hayo yanataka uwe na ushahidi usije pelekwa polisi kama huyo Dimpoz.
 
Ahsante sana umemaliza kila kitu anatafuta huruma haswaa kwa kua hamisa wengi wasichana wa kibongo hawamkubali
 
Hata mimi ningefanya km hamisa tu
 
Ahsante sana umemaliza kila kitu anatafuta huruma haswaa kwa kua hamisa wengi wasichana wa kibongo hawamkubali
Na hawawezi kumkubali maana visichana vya bongo navyo vyataka nafasi aliyoipata Hamisa kwa Diamond
Sasa mfano tu unategemea Wolper atamkubali Misa wakati njia ya Hamisa nae alipita
 
Asante mkuu ukivaa viatu vya hamisa utajua kwanini kafanya hayo, haiwezekani unitombe na mimba juu na bado kwenye public unanitusi eti natafuta umaarufu then nikukalie kimya, hamisa katuonyesha kwamba jamani kithibitisho ni hiki,
 
Na hawawezi kumkubali maana visichana vya bongo navyo vyataka nafasi aliyoipata Hamisa kwa Diamond
Sasa mfano tu unategemea Wolper atamkubali Misa wakati njia ya Hamisa nae alipita
Mama umeongea ukweli mtupu Mimi Alichonikera kukataa mtoto acha amlipue wana husuda wabongo
 
Nani alikudanganya kuna wakati tunatia nje kuboresha

Mahusiano ya ndani ...huwezi kila siku unapiga kitu kile

kile tu .....that is abomination put that to your little head
Yaani mume wangu atie nje kwa kigezo cha kuboresha mahusiano ya ndani !! HUO NI UMALAYA TU maana siku nitakapojua hakutakua na maboresho ya ndani kama usemavyo
 
Asante mkuu ukivaa viatu vya hamisa utajua kwanini kafanya hayo, haiwezekani unitombe na mimba juu na bado kwenye public unanitusi eti natafuta umaarufu then nikukalie kimya, hamisa katuonyesha kwamba jamani kithibitisho ni hiki,
Mi namsifu hamisa kwanza amekaa sana kimya ila kukataliwa mtoto hapana kwa kweli
 
Hamisa ni mjinga tu.....hivi hajuwi kama hakuna mwanamme dunia hii anayependa kuzaa na changudoa? Diamond anaona haibu kujulikana kazaa na changu ila Hamisa hii bado hajajuwa.
Diamond angekua wa maana kama angeogopa kufanya ngono na changudoa! Otherwise wote ni machangu tu tofauti zao jinsia maana huwezi kushiriki tendo alafu ukakataa matokeo ya tendo uliloshiriki, Kama Hamisa anakataliwa kwa kua ni Malaya basi hata yeye Mond mamake alikataliwa na mzee Abdul kwa kisa hiko hiko cha umalaya wa Sandra!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…